Ilisemwa ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Huko nchini Brazil mwanamke mmoja ambaye alikuwa amemchoka mumewe na hivyo kutaka kuachana naye aliamua kufanya jambo moja baya sana ambalo si...
Wakubwa zangu shikamooni!
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kwanza kabisa nashow some love to JF dar wing waliomake things happen kwenye White Party! Mtambuzi uko juu sana my Broder! Mambo yalikuwa...
Naomba wataalam mnijulishe, shemeji yangu kaondoka nyumbani kwa mumewe ambaye ni kaka yangu kisa eti amekuta mumewe kaandikiana na mwanamke sms wakiitana darling
Ni kona muhimu kwako wewe na wengineo wanaoyajali maisha yao kwani hakika kila utakachokisoma hapa kitakuwa ni chenye manufaa kwako. Leo nitatoa somo kwa wanawake walio ndani ya ndoa, kwenye...
Zama Hizi "Wapendanao" Hatupigani! Naomba nichukue nafasi hii kusherehesha kidogo, maana kwa huku uswaz hapaishi vituko! Mara wanandoa hawa wamepigana, mara huyu kamfumania...
Girlfriends! Ukiambiwa uchague; kulizwa au kuliza utachagua nini?
I use to be a good girl, but it costed me a lot of cries and sleepless nights! Then siku moja mama mtu mzima akaniambia kuwa...
Poleni na majukumu ndugu zangu,.naomba kuuliza jamani naombeni msaada wenu wa mawazo;
Hivi mwanaume akiwa na mpenzi wake, ambaye anampenda na wameshafika mbali kama kuchumbiana na kushirikishana...
Kanisa KKKT laagiza Mabibiarusi kutovaa
nguo zinazoachia matiti nje na migongo wazi
Mivao kama hii haikubaliki kuingia nayo kanisani wakati wa ibada ya kufunga pingu za maisha, licha ya makwazo...
Habari zenu wana janvi,yamenifika shingoni mwenzenu ndio maana nimeamua kuomba msaada wa mawazo yenu.
Nina umri wa miaka 30 na mume wangu ana miaka 38 tunapendana sana na tumeoana miaka sita...
Jiunge nasi uone Mahusiano ya tofauti,karibu katika ulimwengu
wa uhalisia,njoo ujue umbali unao weza kwenda zaidi ya ulipo.
Usiboreke weekend hii,huhitaji kwenda Club,njoo uone utofauti...
Wana wa MMU tupo kwenye jukwaa letu la kujidai kwa sababu za kujuzani siku ziende za kupeana mashasham ya kuelimishana, kukosoana na kuburudishana. Ujue member wa jukwaa hili huwa wanaonekana...
Mkazi wa Kijiji cha Nakalonji, Wilaya ya Nachingwea, Mkoani Lindi, Husein Ngombe (35) amewajeruhi watoto wake wawili na baadaye kujinyonga baada ya kukataa kutoa talaka.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
Huu wimbo aliimba dada Norah Jones. I love the melancholy of the song.
Come away with me in the night
Come away with me
And I will write you a song
Come away with me on a bus
Come away where...
Rutgers University researchers have discovered that séxual árousal numbs the female nervous system to such an extent that she doesn't feel as much painonly pleasure.
Orgásm affects up to 30...
Jamani wanajamvi mwenzio akinyolewa nawe tia maji...............
Hapa nilipo nimechanganyikiwa ................laiti ningejua haya yatatokea nisingekubali.........
Haya ni maneno yaliyomtoka...
Upo msemo kuwa muonja asali haonji mara moja, na msemo huo hutumiwa sana kuwaelezea wanaume wanaowasaliti wenzi wao kwamba, hata wakifumaniwa, ipo siku watarudia tena.
Niliwahi kujadili jambo...
Asalaam Alleykhu Wale ndugu Zangu na Bwana Asifiwe , Hope Wanajamvi wote mpo poa.,
Kuna Demu nilikutana nae kwenye mtandao huu wa J.F juzi juzi tuu hapa., Nikaona ananiPM Kwa Sana Nikaona Kama...
Tatizo cjui ni nn kwa huyu binti,kipindi tunafanya mapenzi yy huwa anafanya shughuli zake 2 mfano,unaweza kuta anarusha nyimbo,anasoma sms,n.k.sasa sijui hana hisia za mapenz au haridhiki na mm??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.