Dunia inamambo mengi sana wakati nikomdogonilijuakuamaisha niubwete sana na kuishi na mawanamke
nijambo ambalo kilamtu analiweza lakinibaada ya kupata akili timamu nimegundua kua yakupasa...
habari wanajamvini...
ningependa leo niwaombe wanaume watuelewe kama mlikuwa hamtujui, zaidi nazungumza na wanaume walio kwenye mahusiano, unaweza umkuta mpenzi wako amenuna na usijue...
Dear ........, Najua wewe ni mpz wa JF na ujumbe huu utakufikia. Kumbuka kwamba huu ni mwaka wa tano tangu univike pete ya uchumba. Baada ya kunivika pete ukajihalalishia kunigegeda kadri...
Kwanza napenda kuwashukuru nyote mlio komenti katika thread yangu ya "natafuta mwanamke wa kumlipa anizalie mtoto kwa mkataba"
ingawa wengine tulipishana kimtazamo katika kuwekana sawa naomba...
WASIOOA – WALIOACHIKA - KUFA MAPEMA.
Utafiti mpya wa masuala ya uhusiano umebainisha kuwa watu wenye umri kati ya miaka 35 na 40, ambao hawajaoa au kuolewa wapo kwenye hatari ya kufa mapema...
kutokana na kifungu flani (maloya wengine ni wakupe tukiwapa wataenda kukibadilisha itatolewa tu kwa ruhusa ya loya wangu). Open marriage inaruhusiwa kabisa kwa wanandoa kwa kuzingatia vigezo na...
Polen na majukumu ya kila siku
mimi ni kijana wa miaka 23 na bado nipo kimasomo katika chuo flani cha elimu ya juu ila nahitaji kuwa na mtoto m1 na hii nikutokana na shinikizo la mama kuniambia...
Hay wanajamvi
Leo nimeona niingie kwa namba 1 kama ipo kitu kinachonishangaza mie ni hawa watu yaani binadamu kwa kuwaangalia au kuwatazama huwezi kuwamaliza hata punje ya haradali...
Hali kama hii huko nyuma haikuwepo. Sijui ni ugumu wa maisha au basi tu kizazi kipya na swagga zake. Mtoto wa kiume kuomba ofa, au kunywa bia za mwanaume mwenzake na kitimoto na ndizi tano si...
Sura unayoiona hapo kulia ni sura ya mwanaume. Bila shaka umewahi kukutana na sura kama hiyo maishani mwako. Hata kama siyo inayofanana hivyo kwa kila kitu, bali ni sura ambayo unaweza kusema...
Several guys are quite comfortable with expressing their affections for the one they love.
But most guys have a hard time expressing their feelings the romantic way.
#1 He remembers what you...
Hii ni habari njema sana kwa wale wanaohangaika kutafuta tiba ya kukuza maumbile yao iwe ni matiti,makalio au uume kwani imetangazwa kwamba mti unaofahamika kama "Mvunge" umethibitishwa kuwa...
Habari za asubuhi wanajamvi.natumai weekend ilienda
vizuri na leo tunawajibika kama kawaida.
Kwenye pitapita zangu weekend hii nkakutana na hili swali kutoka kwa msichana m1 rafiki yangu.hivi...
Tulivyo anza mahusiano salam ilkuwa haigombi tena ilikua shikamoo,miaka inavyoenda shikamoo ilikufa ikabakia za saa hizi nayo imekufaa imebakia kutazamana sura nisipo anza salamu basi tutatazamana...
Najptisha uch uch karbu na chumba chake ila mshkaj kazuzu hata hanipgsh sound, nampikia, nampelekea maji bafuni, kumfulia, namletega zawadi na haitosh nimewah mpaka kulala kwake jamaa hakunigusa...
Wanajamvi naomba ushauri wenu, sasa nina miaka 28 nilibahatika kuanza mapenzi nilipoanza chuo mwaka 2006, nimeshakuwa na relation 4 tofauti tofauti, katika hz relation wawili nimewapata facebook...
WanaJF habari!!
Hapana shaka kuwa sehemu kubwa ya maisha ya binadamu yanataliwa zaidi na mahusiano ya -me na -ke. Bado sijajua sababu hasa ni nini lakini nikiangalia katika maandiko matakatifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.