Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari zenu Wadau Nimefanya alot of adventures in my life from one night stands,hook ups and random sex with different women ila that was during my youth life and nimeacha na kuamua kusettle...
0 Reactions
77 Replies
8K Views
Jamani, nimeone niliseme hapa ili muweze kunisaidia kutokana na tatizo ambalo lilianza mwaka jana mwezi wa 11. Nimevumilia lakini niliseme tu hapa. Nikiwa nimelala usiku, ikifika muda wa saa kumi...
1 Reactions
86 Replies
7K Views
WIKI hii nitazungumzia juu mbinu mbalimbali ambazo unaweza kuzitumia katika kujijenga heshima katika jamii unayoishi. Kila mtu anapenda kutambulika na kuheshimiwa. Sidhani kama yupo hata mtu...
6 Reactions
19 Replies
9K Views
Ni kweli kabisa japo wengi hawalijui hilo na kama wanalijua wanakuwa wabishi kuelewa
0 Reactions
13 Replies
3K Views
NDUGU zangu, kuna ambao wapo katika uhusiano lakini hawajui mambo ya kufanya ili wawe bora kwa wapenzi wao. Mada hii itagusia pande mbili. Upande wa kwanza ni kwa wale ambao ndiyo kwanza wapo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau habari za mchana huu jana nilisafiri na kaka mmoja kwenye ndege alikuwa ni mtu mwenye mawazo mengi sana badae akaamua kuzungumza namnukuu kama ifuatavyo. (Dada mm naitwa...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
habari wana MMU......... shemeji/wifi yenu alikuwa amesafiri sasa leo kanipigia simu kwa suprise kuwa yupo njiani anakuja...........hata sielewi kilichotokea ila niliingiwa na mchecheto utadhani...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Kwa jinsi mabanngo ya Ma dokta wa kienyeji wanao "ongeza" nguvu za kiume dar yalivo mengi tofauti na mkoa wowote ule Tanzania. Ukweli ni upi kati ya haya? 1. Wanaume wa dar ni...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Niko na mpenzi wangu mwaka wa 11 sasa, Tumetambulishana kwa ndugu na jamaa za pande zote mbili. Mara nyingi tuna shiriki sherehe mbalimbali pamoja na misba, kilicho tokea mwanzo mwa mwaka...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
soma hii, Jamaa wawili walikutana kwenye kituo cha basi wakafanya mazungumzo. Mmoja aling'ang'nia kuzungumzia kero za familia yake hatimaye mwenzake akasema "unadhani familia yako ina...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hamjambo?Haya ni mapito yangu.......niliyapita nikiwa binti mdogo sana (soon after high school) Ni kama miaka 5 au 6 iliyopita nilipokutana na huyu kijana kutoka kanda ya ziwa kwa jila X (sio...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
wapo wanaoamini kwamba kukaa na GIRLFRIEND au BOYFRIEND kwa muda mrefu uhakika wa kuolewa au kuoa ni mdogo maana watu wanakuwa wamechokana na wanajuana vizuri hasa mapungufu baina yao ndio maana...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
A Capricorn born on December 25 is drawn to life's mysteries. New Age learning and holistic healing have special appeal for them. They are introspective people who can transcend their own...
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Bandugu, nisaidieni hii ndoto kwa wale wanaojua kuzielezea ndoto, ucku kucha mke wangu amekuwa anaota kama anang'atwa na nyoka, tafsiri yake nini hii?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hi wanaJF! Wengi tunakubaliana kuwa kuna ongezeko kubwa sana la kuzaliwa watoto wa kike zaidi ya watoto wa kiume, pengine kuliko kipindi cha miaka ya nyuma. Sio tu hapa tz lakini hata sehemu...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana tena kupitia safu hii iliyokwenda shule nikiamini kwamba u bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Kusema ukweli nitakuwa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Hallo wanaJF! Ukweli ni kuwa wanaume walio wengi na hata wanawake pia hawajaelewa vizuri nini maana ya upungufu ama udhaifu wa nguvu za kiume, huo ndio ukweli. Lakini mbali na utafiti...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanajamvi habari za asubuhi, Naomba tupeane mawazo kwani natamani kutoa kauli ila roho inaninyima nguvu za kufanya hivyo kwani mke na HG(House Girl) wametofautiana kufikia hatua ya kukimbizana...
7 Reactions
197 Replies
13K Views
Different between and MAN and BOY A BOY keeps a password on his cellphone while a MAN is confident enough to say "baby can u answer that for me"!! A BOY runs the streets & chill with his...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom