Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
UNAWEZA KUDHANI NI MWANAUME SIO?? Anaitwa Renee Toney mwanamke body builder(mjenga misuli)na mnyanyua vitu vizito.Renee au Rene wanavyomfupisha asili yake ni Brazil lakini ni raia wa Marekani...
0 Reactions
17 Replies
11K Views
I have over heard ladies say that a boy becomes a man when he is 18 or 22. But may guys of that age now days are still being pampered either by their parents or guardians. While many at that age...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Nina rafiki yangu wa kike ambae ninampenda sana. Tupo kwenye mahusiano kwa miezi minne sasa. Mahusiano yetu ni mazuri, ila kila nikimuomba tushirikiane faragha (yaani kufanya...
3 Reactions
122 Replies
11K Views
Mimi na mke wangu wote tuna Masters (Second Degree), Tulioana mara baada ya kumaliza degree ya kwanza. Mimi nafanya kazi sekta binafsi na mke wangu yuko Serikalini. Kimapato mimi namzidi mke wangu...
4 Reactions
71 Replies
10K Views
Nimekuwa nikikerekwa sana na UNAFIKI wa baadhi yetu na tabia ya kuona jambo fulani ni dogo kwa kuwa tu si haki yetu inayokiukwa kwenye tukio fulani. Nimewatanguliza Wanaume Wakristo kwa kuwa...
5 Reactions
114 Replies
7K Views
Hata mimi kiukweli-kweli sipo. Nipo tu kama NN na wakati mwingine huwa siingii kwa miezi hata mitatu na zaidi. I'm just too private a person to put my personal business and pics in there...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
assume wewe ni mzazi mwenye mtoto wa umri huo, je huwa unafanyaje pale mtoto huyu anapokuwa anakataa kwenda shule?? ipi ni njia sahihi ya kumtia moyo hadi apende tena kwenda shule?? na je...
2 Reactions
73 Replies
7K Views
Habari wana MMU? Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulikuwa tunapendana sana na tulipanga Mungu akijaalia tufunge ndoa mwaka huu mwishoni. Sasa leo ameniandikia meseji akiniambia Mama yake...
4 Reactions
124 Replies
8K Views
Habari zenu wana MMU, kuna binti nimefahamiana nae km 2month ago na tumependana ki ukweli,nlikua nikitafuta mpenzi wa namna hii kwa muda mrefu. Huyu binti kamaliza chuo na anakazi kwa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mwenye sura hiyo ni mwanamke. Ninaamini umeshawahi kukutana na sura kama hiyo mahali na kama bado, huenda utakuja kukutana nayo. Kama ni hivyo, hebu soma kidogo kuhusu haiba za mtu mwenye sura...
11 Reactions
62 Replies
10K Views
Habarini wana jamvi. Namtafuta rafiki yangu mpendwa Evart Mpambije,uncle wangu Mary Kimbuzi pamoja na wale wote waliowahi kupitia MAKUTUPORA JKT OPRESHENI KAMBARAGE,B-COY chini ya makamanda...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau mwenye kulijua hili anisaidie,kuna dada nilizaa nae kabla sijafunga ndoa sasa mtoto amefikisha umri ambapo tumekubaliana nimchukue baaada ya kufuata taratibu zote za ustawi wa jamii,hatua...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
USHAURI KUTOKA KWA RAFKI YANGU Rafki yangu ni mwanamke mwenye umri wa 21. Tangu mwaka wa tatu huuu huwa ana hisi maumivu sehemu za siri akiwa na feeeling ya kumkumbuka boy wake wa Tanzania...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Ndugu wadau wapendwa, katika tafuta yangu nimemkwa huyu demu wa kidhungu lakini sasa kimekua kizunguzungu kwangu kwakua english yenyewe ni ndogo na hii ni barua ya 5 izo za nyuma nilijitahidi...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
A 29 years School drop-out woman whose parents died in an accident couldn't get help from any family member, because she was adopted. 10 years now, she had been staying with a weed smoker...
0 Reactions
3 Replies
866 Views
Hivi Mungu anamdharau Shetwain? Kama sivyo, ubavu wa binadamu kumdharau mwenzake umetoka wapi?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakubwa zangu shikamooni! IGWEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!! Wanawake wengi (mie nikiwemo) tumekuwa na tabia isiyo ya kistaarabu ambayo mwanaume humtaki wala nini nae huna ila kufaidi vitu vyake...
20 Reactions
93 Replies
7K Views
samahani kidogo kwa kutumia lugha kali............ lakini naomba tuelezane ''ukweli''.hoja ya kwamba infidelity is there to stay NAIKUBALI SANA...... lakini kuna hili swala la mwanaume kutoka...
4 Reactions
241 Replies
21K Views
Mauaji ya "Wivu wa Kimapenzi"Ndugu wana jamvi mimi kwa mudasasa kama mwaka hivi nimekuwa nikifuatilia kwa karibu haya mauaji ya wanawake au akina mama na wakati mwingine wamekuwa wakiuwawa kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Niko mbali na Tanzania kwa muda. Nimebahatika kkukutana na huyu mzaire, kijana ametuma maombi. najihisi kumpenda! Ila yeye sio wale wazaire wanaojichubua na kupenda vipodozi. haha majina kama...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Back
Top Bottom