Napenda nimpate mchumba wa kike umri 19-25, mkristo, mfanyakazi(ameajiriwa), mrefu wastani, rangi yoyote, si mnene si mwembamba. aliye tayari ani-PM
Mimi
nina miaka 27 mwanaume,ni mtumishi wa...
Jamani wadau uuuuuh, leo ndo nimegundua majungu kazini yanatisha.
Watu wana wivu wa mambo ya kitoto jamani, hapa nimekwazwa na bosi pamoja na wafanyakazi wengine, siku yangu imeharibika kabisa...
Sofia alikuwa msichana mwenye tabasamu,mchangamfu na mwepesi sana wa kupata marafiki.
Katika umri wa miaka 16 umbile lake lilikuwa sawa na binti aliyetayari kuolewa na kuanza majukumu ya...
The #1 reason why you may be single is...
"Is your family keeping you single?" could be the title of a reality TV show these days. But the truth is, your relatives may actually have a bigger...
Habari zenu wanajamvi wote na hongereni kwa kuingia 2013, amani na upendo kwenu wote. Jamani leo naombeni mnisaidie nimjibuje huyu binamu yangu maana tangu juzi ananipigia simu hajui afanyaje...
Kwanza kabisa napenda kuwatakia heri ya mwaka mpya 2013...wana jf wote hasa wadau wa safu hii ya mapenzi
jamani kuna rafikiyangu alikua na demu wake chumbani kwake ghafla nikaona ananigongea...
Hello members wa MMU,
Nina mpenzi wangu tunayependana kwa dhati sana na tuna malengo ktk future yetu. Juzi kati aliniaga anasafiri kidogo nje ya mkoa na nikamwelewa tu kivizuri kwa vile alikuwa...
I WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2013
BUT BACK TO MY SIDE,
Am not very happy man coz there are some things have been happens and I dont real like about the world in general.
So, Lets me...
Ni tabia ya mwanaume akitembea barabaran akiwa na mchumba wake au mke wake,ghafla akapita msichana/mwanamke amevaa vizuri,au mrembo sana au amejazia jazia,utaona mwanaume anageuza shingo na...
Hugh Hefner Marries Crystal Harris
Mr. and Mrs. Hugh Hefner at the altar. (Instagram)
Hugh Hefner and Crystal Harris are on their way to happily ever after!
The Playboy founder, 86...
Habari wanajf...
Natatizwa na hili swala jaman nisaidieni
Hv kuna madhara yoyote kuendelea kuwasiliana na x-boy /x-girl wako,wakati unadate na mtu mwingine??
Nahitaji msaada wakuu
wanajamvi! Mie n kijana w kitz,nimebatika kusafiri nchi kadhaa ktk east afrika. KTK pitapita zangu,nimepigwa na butwaa na kubaki nikishika tama!!nimetafuta suluhu kw wengi...
Pale wapenzi wanapofumaniana au pale mmojawao anapokuwa na hisia za kusalitiwa,msalitiwa humuuliza msaliti:'kwani huyu/yule ana nini ambacho mimi sina?' Ni swali gumu kwa wengi.Wengi hubaki kimya...
@
Mjisikie huru kuweka wimbo wowote ule iwe Bongoflava, taarab, zilipendwa, za kikabila, bolingo n.k. katika kusherehekea kuuaga mwaka wa 2012 na kuukaribisha mwaka 2013.
Heri ya Mwaka Mpya...
nawashuri wale wote ambao hamjafungwa katika jela ya mapenzi fanyeni hima mje gerezani,mwenzenu naingia mwaka wa tisa huu gerezani raha tupu,au hamjui ilipo mahakama za mapenzi ? Wajuzi waambieni...
Hii imetokea leo mlimani city eneo ilipo bank ya nmb, ambapo jamaa mmoja mtanashati alipogongana uso kwa uso na njemba moja iliyokuwa imeongozana na mke wake sijui yule. Yule mdada alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.