Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Yani tumekaa miaka miwili hatujawahi kusex hata mara moja, naona uvumilivu umenishinda. SI MUDA MREFU NITAANZA KUM-CHEAT na sitaki kumuumiza moyo wake bora nimuache tu..
0 Reactions
10 Replies
1K Views
jamani wadada tuache tabia mbaya ya kuwategea wapenzi wetu, kila kitu ufanyiwe we wa kusubiri tu!asilimia kubwa wako hivyo. 1.zawadi yeye ndo akupe 2.mawsiliano ye ndo awe wa kwanza kukutafuta bla...
1 Reactions
203 Replies
11K Views
90% of Ugandan chicks have aborted a minimum of 5 times before their final year. *75%Of Kenyan chicks follow men because of money-gold diggers Only 20% of Campus girls in all African...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hamjambo wote wanajf happy new year Leo nina habari iliyonjema kwenu hasa wadada na makaka wa jf, ni vyema kwa mwaka huu ukajipanga unafanya nini na nini ambacho unataka kukifanya kwa mwaka...
10 Reactions
34 Replies
3K Views
Mke wangu amejiunga na VICOBA na pia NGO moja ya mambo ya kuwawezesha wanawake kibisahara. Amekuwa akisafiri mara kwa mara kwenda mikoani kwenye semina za hiyo NGO yao. Nimekuwa nikilalamika sana...
5 Reactions
171 Replies
24K Views
Huu ndio umri wao wa kufanya vibweka.......! Inaelezwa na wataalamu mbalimbali kwamba wanaume wanapofikisha umri wa miaka 40 mpaka 55 huingia kwenye hali ambayo kitaalamu hufahamika kama Middle...
15 Reactions
69 Replies
6K Views
Wanajamii habari za mchana? Namshukuru mwenyezi mungu kwa hatua niliyofikia, kimjumla nimeoa na nina watoto wawili na ninafanyakazi katika sekta ya Afya, nimeajiriwa mwaka mmoja uliopita (Ni Ajira...
0 Reactions
46 Replies
3K Views
Nawapa hay wanajf kwa siku ingine tena ya leo, imenibidi niseme yaliyojaa moyoni mwangu kwani kuna kitu kinakera sana acha na leo nikitapike hapa katika kolamu hii nilikuwa sitaki kukisema ila...
4 Reactions
72 Replies
6K Views
Hi wapendwa wangu! Jamani nisaidieni mwanaume kuzaa nje ya ndoa halafu anaomba radhi kwa mke wake na mke anamsamehe kwa moyo mweupe na kumweleza amlete mtoto nyumbani wamlee pamoja. Baada ya mke...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakubwa zangu shikamooni!!!!!! IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!! Ukistaajabu ya Musa hujayaona huyu kaka!!!!!! Huyu kaka X bwana alienda huko mkoani field zile za miez sita! Basi kufika yeye si...
17 Reactions
83 Replies
8K Views
Mama mmoja aliachana na mume wake muda kama miaka 12 hivi iliopita, baadae akapata bwana ambaye walikuwa wanakaa mbalimbali, ingawa alikuwa walikuwa wanatembeleana na mara nyingine analala hapo...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa nini wanaume hawawezi kutunza bikira zao mpaka siku ya ndoa na maana wasile ile kibibi mpaka baada ya ndoa ndio iwe mara yao ya kwanza kula hio maneno
1 Reactions
67 Replies
5K Views
Ilikuwa tar 24/01/2012 ndipo nilipoanzisha uhusiano wa kimapenzi na kadadaa(sio jina halisi)ana 23yrs.Kilichonifanya nianzishe uhusiano nae ni muonekano wake jinsi alivyo,usafi,pia tabia.Kadadaa...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Please accept my sympathy for the loss of your father. Sina maneno ya kusaidia kupunguza machungu unayopitia sasa, lakini . . Those we love remain with us, for love itself lives on, and...
32 Reactions
177 Replies
10K Views
Wapendwa wana mmu hawa hapa ni mtu na demu wake, size isiwatishe kwani wembamba wa reli treni hupita bila wasi wasi
0 Reactions
19 Replies
3K Views
"mummy,daddy wapi?".hili ni swali nimekuwa nikiulizwa na mwanangu wa miaka mitatu for the past two weeks. namdangayadanganya daddy atakuja au daddy kasafiri ila najisikia vibaya sana. kwa wale...
2 Reactions
114 Replies
7K Views
Stray Cat and Blind Dog Form Unlikely Friendship By Melissa Knowles It's the beginning of a new year, and couldn't we all use a heartwarming story to get us off to a solid start? This story is...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, Miaka kadhaa iliyopita nilibaatika kukutana na msichana mmoja ambaye tulikuwa tukisoma nae miaka mingi ilyopita wakati wa shule ya msingi na kwakweli tulikuwa mabesti sana...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
I recently did a road trip from Nairoberry to Dar n twas a trip to remember, damn!,journey started @ 7am n by 9:30 was @ Namanga after an hour I was cleared by both customs n I hit e road, road...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom