Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Divorce and loss of the loved one is among the top three causes of psychiatric admission! Hii ni hata tanzania. Mtu anapokuja na topic inayomhusu mpendwa wake sana ambaye kumetokea kutokuelewana...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Huu wimbo sijui huwa unanikumbusha nini? Chege -- Mwanayumba (Official HD Video) - YouTube Jumapili Njema
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Usharo umejitia, wanase kiulaini, Mademu wajipalia, ili uzame chumvini, Upate kuwakamua, uone vyao vya ndani, Vile mie nionavyo, ahela waitafuta. Kifo wakikumbatia, tena kwa busu shavuni...
2 Reactions
0 Replies
734 Views
Inafahamika kwamba sisi sote ni binadamu, na kwa sababu hiyo kukosea tumeumbiwa. Hivyo sio kitu cha ajabu kwa wapenzi kuwa na ugomvi wa mara kwa mara na wala sitaki kuzuia ugomvi kutokea, kwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wana JF, habari nilizozipata hivi punde kutoka kwa mwana JF mwenzetu Mwita Maranya amenijulisha kwamba amepata mtoto wa kiume baada ya mkewe kujifungua kwa kufanyiwa upasuaji. Pole sana mama...
23 Reactions
120 Replies
8K Views
Habari zenu wana jf. Natafuta msichana wa kuanza naye maisha mwenye umri tajwa hapo juu . Awe anaishi Mwanza ,Magu au Bunda. Sifa kigezo cha elimu ni kuanzia kidato cha nne awe maji ya kunde si...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
iv kwann mpenz wako anapo kuliza unatka nkufanyie nn ambacho kita furahsha moyo wako,hua unakoxa uhuru na kuxema "chochote unachojckia"?
0 Reactions
3 Replies
927 Views
Aisee nilikuwa cjui kuhusu hili katika pitapita yangu maeneo ya manzese nikamckia jamaa akisema hivyo so kazi kwenu wenye mahawala madada makaka mababa na mamama wote wa JF
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Happy couples know that the real relationship begins when the honeymoon is over. They know that unless you maintain the garden of love, its beauty will wither and die. In a recent column, you...
0 Reactions
3 Replies
892 Views
Ndg wana Jf mwaka jana nilituma post ya mchumba wangu mchawi.Nashukuruni kwa mashauri yenu mazuri.Uamuzi niliochukua ni kuachana nae,pia nilihama ninaishi mbali nae kwa mikoa minne na nilibadili...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
KWA waliosoma katika shule za msingi za Tanzania kabla na mwanzoni mwa miaka ya 1990, bila shaka wanakumbuka hadithi ya “sungura mjanja na sizitaki mbichi hizi.” Hadithi hii iliandikwa kwa mtindo...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
habar za mwaka mpya wapenz....... Jaman watoto hawa,,,,,,,,,,,,, mwe.......shigha du.... Niko mkoani huku ukweni karibu mwez na visiku sasa, hapa nyumbani, kuna kawifi kangu ndio kwanza kana...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Siku na tarehe kama ya leo mwaka 2008 majira ya saa 2:30 asubuhi ndio siku ambayo baba yetu mpendwa mzee RK ulipoiaga dunia ukiwa na umri wa miaka 76. Ilikuwa ni Ijumaa ya terehe 4/1/2008 ndiyo...
16 Reactions
45 Replies
4K Views
Kuna wakati unaweza kulazimika kuhama nyumba kutokana na maudhi.... Majumbani mwetu ni eneo muhimu sana kwetu, kwani kuna dhima nyingi sana ambazo zinakamilishwa majumbani mwetu katika kutufanya...
6 Reactions
19 Replies
7K Views
Habari zenu wana jf, hongereni kwa kuwepo tena 2013. Miaka sita iliyopita kuna msichana tulitokea kua marafiki wa kawaida akisoma darasa la 7, alitokea kunizoea sana urafiki wetu uliendelea mpaka...
0 Reactions
61 Replies
6K Views
WanaJF Leo nilichokiona kimenishtua sana, sijui nimfanyeje huyu mdada... Ni hivi ninaishi na Housegirl kazi yake kubwa ni kutake care of my little daughter Sasa leo jioni hii...
2 Reactions
176 Replies
14K Views
Wakubwa zangu Shikamooni! Peopleeeeeeeeeeeess!!!!!!!!!!! Jamani haya mambo ya cheating yamegeuka wimbo wa Taifa jamani!!!!!! All i hear is Cheating, cheating cheating and more cheating...
11 Reactions
233 Replies
14K Views
Happy New year to all! WanaJF naomba majibu kwa maswala haya: katika mahusiano watu wengi wanaamini mwenza kuomba msamaha na kujutia kosa lake basi msamaha wa kweli unapatikana, lakini hoja hapa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
The kiss can be a mysterious thing; one in need of interpretation, at times. This is especially true when you first start dating someone. There are many different types of kisses, and trying to...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimeajiri housegirl ila sina amani sana mana mie nafanya kazi na Mr ni business man anatoka baada yangu na msichana ni bomba ila yuko poa anafanya kazi je kutakuwa na usalama BAADA YA MIMI KUTOKA
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Back
Top Bottom