Kucheka mara kwa mara kutakuondolea msongo wa mawazo na mifadhaiko; pia kutakufanya kulala usingizi mnono na kufurahia maisha yako. Uchekeshaji ni kitu muhimu sana na ndio maana viongozi wakuu...
Inatokea unamtokea binti umempenda sana. Baada tuu ya kufahamiana na kupeana namba za simu, na
Kabla ya kupanga appointment ya kukutana.
Jambo la kwanza utakuta msg chache za kimahaba kwa...
Kichwa habari cha husika, hali ya mwenza wangu s nzuri kama zamani, alkua ananpga shoo mpaka naomba poo ... tumelzungumzia lakn yeye haoni kama ni tatizo, tusaidieni!
Kama ambavyo wanawake wana matiti yenye ukubwa tofauti pia uume wa wanaume nao una ukubwa tofauti. Vile vile kama mbavyo kila mtu anapenda kwa vigezo vyake pia ukubwa au udogo wa uume siyo tija...
Habari wadau!
husika na kichwa cha habari hp juu,ni post ipi na ya nani ilikugusa kihisia iwe furaha au huzuni,na kwa kigezo kipi utaendelea kuikumbuka?
Siku moja wakati naingie "filling station" pale Kimara Resort ORYX, yapata saa saba na madakika fulani mchana, mara ikaja gari ndogo, jamaa nae alikuwa anataka kuweka mafuta, akasimamisha karibu...
Leo nimeshuhudia ugomvi wa familia wakimlaumu binti aachane na mume anaye ishi naye kwakua si mwanaume wa maana.Nimepata taabu kidogo tafsiri ya mwanaume wa maana,? Hivi ni mwenye sifa zipi?
Kuna mtu ameandika kwa Aunt Bettie (gazeti la mwananchi) anaomba ushauri eti uume wake mdogo afanyeje? Sasa tunajiuliza ameulinganisha na wanani na aliuona vipi? Kuna mtu ana wazo lolote? Sasa...
Wadau wife naona kanichosha, yaani mawasiliano kati yetu yamekuwa hafifu sana. Wakati mwingine nashindwa kumuelewa, mara aje na stori za watu wengine wanafanyaje ktk maisha yao mara alete stori za...
Habari wanajf. Mimi nimeoa na tuna watoto wawili ila mke wangu ni mkorofi sana mpaka nafikia hali ya kuwaza ameingiwa na nini. Yaani yeye anataka awe ndio muamuzi wa kila jambo ndani ya nyumba na...
Habari wanajamvi! nimekuwa nikijiuliza sana bila majibu sahihi,nimekuwa nikiskia sana wajawazito wanakuwa wanapenda sana kushiriki tendo la ndoa,je hii inasababishwa na nini? pia kuna faida yoyote...
Heshima kwenu brothers and sisters
Nimeguswa na hii kitu leo hii,, baada ya kuona jamaa yangu analalamika mchizi wetu kupata kazi nzuri sehem kwamba hana sifa na kazi itamshinda.. Na kuponda...
Chanjo hii itatolewa kwa Mabinti wa kuanzia umri wa miaka tisa hadi 12, ambao hawajaanza kufanya ngono ndio watakaopewa chanjo hiyo, inayotarajiwa kupunguza tatizo hilo kwa asilimia 75.
Kwa...
Hahahaaa. Katika utundu niliokuwa nao ni kutengeza concortions. Mojawapo ni cocktail ya juisi ya ukwaju na Konyagi.
Basi siku moja nimejikalia tu home sina jipya joto tu. Nikaingia jikoni fasta...
habar wanajamvi.
wito kwa wazazi.jaman najua upendo mlionao kwa watoto wenu lakini mtoto akishaanza kuongea mwamishen kutoka chumban mwenu.
kuna mtoto kaniuliza maana ya HONEY ni nini?nikamjibu...
KWENYE maisha kuna nyakati za kutofautiana na kukasirishana. Katika hali ya kawaida, kipindi hiki huwa ni cha hatari kwa sababu husababisha madhara makubwa.
Sote tunajua, watu hupigana...
Habari ya asubuhi wanajamvi.
Kiukweli naboreka sana na watu wanaotafuna chakula kwa kupiga kelele na kuachama midomo wakati wa kula.
Aibu hata mbele ya wageni jaman.
Mfano utakuta baba zima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.