Wapendwa wana jf
Heri ya mwaka mpya!!!
sui la akei yia 2013!!!
Heri ya mwaka msha vandu voose!!!
kwanku chung ne year!!!
Happy new year to you out there!!!
Mimi nimekuwa nafuatlia JF kwa muda...
Nawatakia wote kheri ya mwaka mpya 2013 na kuwakumbuka wana MMU wote ambao walijeruhiwa kimahusiano, kimapenzi,kiurafiki mungu awape nguvu mwaka huu kuwa na mahusiano bora zaidi
Kila la kheri...
wana jf mungu wabariki sana na mwaka ujao yaan dakika chache zijazo mungu atupe hekima na kuifanya jukwaa letu liwe na hadhi yake kama zamani maana siku hizi kimtindo tumeanza kupoteza dira. mungu...
Kama hujawai kuambiwa na mkeo kwamba we ni mtamu. Basi ujue umrizishi mkeo. Jaribu kuwa mbunifu katika mwaka huu wa 2013 hadi siku ukisikia mkeo kakwambia hivyo ujue umefaulu.
Happy New Year.
Habari wanajamvi!
Nimeingia kwenye mahusiano mapya mda si mrefu sana ila kiukweli ninampenda huyu binti na yeye pia ananipenda, wakati tunaanza kufahamiana tulianza kuwa marafiki tunaoheshimiana...
Hallo Wana namshukuru sana Mungu kwa kuniwezesha na kunipitisha katika mapito mbalimbali ya ujana. Namshukuru kwa kuniwezesha kufunga pingu za maisha na mke wangu mpenzi siku ya Jumapili ya tarehe...
basi nilimkimbilia, nikamkumbatia, nikamkiss kwa hisia kali, nae pasipo ajizi alijibu kwa mahaba. Hivyo ndivyo nilivyoukaribisha mwaka mpya huu 2013 na shemeji yenu. Tulikuwa hatujaonana tangu...
Mwanaume ana miaka 38 na girlfriend ana 21,haya mahusiano yanawezekana??mwanamke yupo real hayupo kimaslahi maana anauwezo wa kujikimu na kujitosheleza,Mwanaume nae pia ni tajiri na hana mke wala...
Mimi najiuliza sipati jibu hasa kwa hawa marafiki ukuta wanashirikiana kila kitu ila ikifika kushirikiana wapenzi watu wanatoana ngeu ni kitu gani hasa kipo kwenye mapenzi?kwanini watu wanapeana...
2013 ni heri niwe pekeanguuu,,
au 2013 ni heri niwe na mmojaaa,,
2013 ni heri niwe na subiraaaa,,
au 2013 ni heri nibadili tabiaaa??
2013 ni heri tubadili tabiaa ukimwi watishaaa,,,
happy new...
Wanajamii
Kipindi hiki cha Sikukuu nilikuwa nina mjadala na Sisters zangu na Shemeji yangu mmoja juu ya nini nini hasa kinampa Heshima Mwanaume katika Jamii hasa pale tu akutanapo na watu wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.