Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakija, ananuna, anavuta midomo, anafanya vituko, atawananga, atawasema na kila tusi atawaporomoshea.
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Jamani naomba maoni kwa jambo hili linalontatiza.....best friend wangu ambae ni rafiki wa gf wangu ametokea kunpenda zaid ya upendo 2liokua nao wa kirafiki...mimi sitaki kumuumiza gal wangu na...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
JAMANI VIJANA WENZANGU KATIKA KIPIGANA NA MAISHA UNAISHI VP AU UNAFIGHT TU BILA DIRECTION ? WHO IS YOUR ROLE MODEL (somebody to be copied) TUSHEE HII STORY YA ROLE MODEL WANGUAbraham Lincoln on...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Inshallah mwenyezi mungu akileta rehma na kheri yake. Mwaka ujao 2013 dhamira yangu ni kuvuta jiko. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
2 Reactions
20 Replies
2K Views
It's a full-time job to be a good dad. True or false?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
.....A must read true life story)..... Written by a COLLEGE GIRL.. before she gave up the ghost...... I Took Off My UNDERWEAR.. I used to be that innocent girl who had the world at her feet. I...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
If the way to a man's heart is delicious food... Then what's the way to a woman's heart?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Khabari za asubuhi wanajmvi wenzangu! Leo ndo siku ya mwisho ya mwaka 2012, na Allah akitujalia kesho tutaanza mwaka mpya. Huzuni na furaha vyote kaumbiwa mwanadamu, ni kama pande mbili za...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Katika hali inayostajabisha,wanaume wawili wanakaribia kufanyiana ubaya kwa ajili ya mwanamke mmoja.Ilikuwa hivi: ...Rafiki yangu anampenda sana,huyu mwanamke.Sababu za kumpenda anazijua...
1 Reactions
47 Replies
3K Views
Hivi kwanini wenzetu nyie si wepesi hata kidogo wa kukiri makosa yenu na kuomba msamaha? Kwanini mara nyingi huwa mnatafuta means ya kujusfty makosa kuliko kuomba msamaha? je ni ubabe ama ni aibu...
14 Reactions
366 Replies
24K Views
It was nice having you here in Tanga, though it was a short stay. I am comfortable that you enjoyed your stay. It was so amazing that those great names I Have been reading in the forum we can meet...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Napenda kuchukua nafasi hii kwa niaba ya wadau wa Tanga, kuwashukuru wana MMU na CC walitutembelea hapa Tanga kuanzia Tarehe 28 hadi 30 Disemba 2012. Binafsi nilifarijika na ninashukuru sana...
9 Reactions
71 Replies
4K Views
Habari za majukumu wana jf, kwa mara ya kwanza nimejikuta nikiingia katika jukwaa hili nikiwa muhanga na majeruhi wa kufa leo au kesho kwa sababu ya mapenzi, ni miaka 2 sasa imepita toka nimfahamu...
2 Reactions
83 Replies
9K Views
Wapendwa wana jamvi, awali ya yote napenda kuwatakia maandalizi mema ya mwaka ujao wa 2013. Leo hii nimependa kuwakumbusha wale ambao ni wazazi na wale ambao wanategemea kuwa wazazi juu ya...
11 Reactions
54 Replies
3K Views
Wakubwa, Mipango yote ya safari ya Tanga hapo kesho imekamilika. Wana Arusha Wing wako full-loaded, wanahesabu masaa tu. Nitumie wakati huu kuwakumbusha wenzetu wote wa "MIKOANI" kuwa wafanye...
20 Reactions
293 Replies
15K Views
Heshima yenu wakuu.Kondom ndio mkombozi wetu mkuu katika maisha ya ngono.Tatizo kubwa linaanza kwenye ufunguaji wa hiyo zana,kondom zinafunguliwa kwa meno,hapa mihemko ndio adui mkuu,wanaume tuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wana jamii! kuna rafiki yangu wa kike ana mpenzi wake na alimkuta huyu mwanaume ana mtu wake wakati wanaanza mahusiano, sasa huyu rafiki yangu anampenda sana huyu kaka na kaka mwenyewe...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Habar zn wadau. Mim ni kijana ambae nasoma chuo fulani hap nchini (mwaka wa 2),kwa kwl nimetokea kumpnda mschana mmoja ambay yy ni mwaka wa 1.Siku ya kwanz kumuona na kuanza kuvutiwa na huyu...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
WanaJF, Kutokana na mahangaiko ya kila siku, si kila mara mwanaume utataka uende safari 2 na mkeo. Changamoto yangu ni kuwa ni kama mara 3 tu katika maisha yangu ya ndoa (miaka 10+ sasa)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mdada mmoja mke wa mtu alikuwa akisumbuliwa sana na jamaa mmoja aliyekuwa akimtaka kila siku, hatimae akamwambia mumewe. Mume akamwambia mkewe, we kubali tuu, ila mwambie aje mlale hapa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom