If your single focus on being a better you instead of looking someone better than you. A better you will attract a better next. Dont wait for a perfect moment instead take a moment and make it...
Muda unakimbia. Maisha yetu hapa duniani yanaishia taratibu. Nashangaa nilikuwa mtoto sasa ni kijana. Natambua ujana huu ambao ni mzuri hautaendelea kukaa na mimi. Nina nguvu na sura nzuri lakini...
Kwanza nawapa heli ya mwaka mpya wana JF...Wenzangu me navyojua kwa kawaida mwanaume akifika kileleni umwaga manii,sasa tatizo langu ni kwa jinsia ya kike..hivi wakifa kileleni huwa inakuaje,pili...
Nilikua na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke M1 kutoka kijijini ambako tulikua tukiishi huyo mpnz wangu alikua akiniaga mara kwa mara kua anenda Jijini Dar kumsalimia dada yake na pia alikua...
Nakaribia Kufikisha Mwaka, toka niwe na rafiki wa kike ambae siku moja nilitegemea tuje kuishi pamoja na kujenga familia bora, nilimpenda sana na hata nilijitoa kwa ajili yake ili awe katika...
wana MMU leo nimekuja hapa na mada ambayo nataka tuijadili kwa undani zaidi.
leo nilipanda gari la ubungo kbh na ndani ya daladala hiyo kulikuwako akina mama wawili ambao ni marafiki wa siku...
Wadau ni suala ambalo mie limenisumbua kidogo. Kwa nini wake huwa hawaelewani na wifi zao? Je ni ujinga wa wake? au? Yaani wakati mwingine unaweza kuta mke ni msomi anashindwa kuelewana na wifi...
Hbr wana MMU?
Ktk kipindi hiki cha mwisho wa mwaka pamoja na shamra shamra za x-mas na mwaka mpya, nilikuwa nimejipanga kupata muda wa kumshukuru Mungu kutulinda mwaka huu wote na kutuepusha na...
mi ni kijana na nilikua na mpenzi wangu na tulikua tunapendana sana. ila dosari ilianza pale alipoenda kusoma mwanza, kila mtu alianza kucheat kwa upande wake, na kila mtu akawa ana wivu kwa...
Sikukuu hii niliamua kusherekea nikiwa kwa kaka yangu. Aliniita ili na watoto wake wanifahamu kwani waliniona wakiwa wadogo na hawanikumbuki. Kwake kuna hg mwenye miaka kama 18 hivi ambaye ndo...
::
Alikuwa muungwana
Kijana mwenye afya
Mpole,mcheshi pia
Wengi alituvutia
Waschana tulimpenda
Moyoni aliniingia.
::
Bahati ikanijia
Kumbe nae alinipenda
Bila kupoteza muda
Mipango...
habari,mimi nashindwa kuwaelewa watu wengne ati wanasema kua kama umemaliza chuo like around 23 yrs mpaka 30's hujapata mtu wa kuoa/kuolewa basi umelate,and that huez pata mwenza ukiwa...
Jamani naomba msaada, nipo kwenye process za kukamilisha mpango wa wangu wa maisha, nataka kumuipress zaidi na kweli nampenda sana kutoka moyoni mwangu! lakini je, nini nifanye ajue kweli...
mimi nimekutana na watu wengi hasa wanawke wakiwa na mabwana we4ngine ambapo maisha ya mme wake ni mazuri na siyo ya dhiki,jibu la msingi husema kuwa mme wake hamfanyi afurahie dunia ya kimapenzi...
Tumeaka mornie tukazindua siku (si boxing day leo?). Tulipomaliza nikaenda zangu sitting room, nikarudi ghafla chumbani baada ya nusu saa nikamkuta ana-shave.(tume-do kabla hajashave). Nikashangaa...
Mwanamke akiolewa na akazaa na mmewe huku mme akiwa amejenga nyumba, penzi na utamu wa ndoa unapo ingia nyongo na kufikia point ya kuachana basi utasikia mahakama inasema mgawane mali mlizo chuma...
Bwana harusi Chrispin Saadani (34) aliyekuwa akisherekea kufunga ndoa na mchumba ake usiku mwa tar.24 Disemba alijikuta anazuiwa kufunga ndoa na mchumba ake baada ya wanawake wawili alio zaa nao...
Jana katika taharifa ya habari ya ITV walionyesha wasichana zaidi ya 30 age zao kati ya miaka 16 na 20 wakiwa mabikra. Nawapongeza sana, ila sijajua utaratibu wa kuwachunguza na kuwahakiki...
Yeah I'm gonna change everything that holds a mem'ry of you oh yeah
I'm gonna start with the wall, TAKE stick the pictures off the wall and burn 'em
Move the chairs around take the window curtains...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.