Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ukilala naye tu mabalaa na mikosi chungu nzima hukuandama? http://mp3.gol.ge/R/Ricky_Martin/The_Best_Of/Ricky_Martin_-_01_Livin_La_Vida_Loca.mp3
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Sisi wanaume ndio watongozaji nambari moja. Ni kawaida unapomtongoza binti au mmama fulani yeye hukimbilia kujua kama tuna wapenzi au la.Majibu yetu huwa rahisi sana.Husema kuwa tulikuwa nao...
0 Reactions
35 Replies
2K Views
Many successful people have been interviewed over the years and asked thequestion, “What do you think about, most of the time?” Their answers are simpleand consistent, and yet so profound that...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa wale mnaoenda tanga naombeni mmipm nina shida na ninyi
2 Reactions
62 Replies
4K Views
Nina demu wangu na tayar ana ujauzito wangu na anadai nimuoe,na bado cjaanza kazi,naona ngumu kwa sasa but nina mpango wa kumuoa.na yeye analazimisha nimuoe siku hizi za karibun.je nifanyeje wana jf?
0 Reactions
80 Replies
6K Views
Housegirl wetu kwa kweli alikuwa ni dada mzuri, kwa kazi, malezi ya watoto. Wote katika familia tulimpenda. Siku zinavyokwenda naona anazidisha upendo kwa familia yangu Majuzi kajilengesha hadi...
1 Reactions
126 Replies
11K Views
Tupo kwny mapumziko ya lunch tunabishana, eti mguu wa mbele na wa nyuma wa mbuzi, upi una nyama tamu?
0 Reactions
35 Replies
15K Views
Mimi ni mmoja wa wanaoamini ukiwa unamake love wakati mvua inanyesha huleta hamasa flani,wengne wakiamini kipndi hiki cha mvua mimba nyingi hupatikana je kuna ukweli hapo?and why inakua hvyo?
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Tuna mwaka na nusu ktk uhusiano wetu tumeanza kuduu kama miezi nane hivi lakini mwenzangu naona aninizidi nguvu maana tulianza na ratiba ya kuduu kila j2 baadae akadai anataka mara tatu kwa wiki...
3 Reactions
138 Replies
17K Views
Wiki iliyopita shemeji yangu kapigwa kibuti mke wake anataka divorce .sasa amenyong'onyea mnoo anakunywa pombe tu hajali kazi tena.Kwa nini wanaume Mna kuwa wagumu kukubali.
0 Reactions
37 Replies
6K Views
mimi ni punda niwapo mapenzini. Ni mpole, mvumilivu na ninafanya kazi kitandani bila kujipendelea ila nampendelea mwenzanguhadi nimfikishe kileleni. Je wewe unajitathmini vipi, na kujilinganisha...
0 Reactions
149 Replies
16K Views
Habari zenu wana jamvi wenzangu? Mimi nina boyfriend ambaye tumekuwa kwenye mahusiano karibia mwaka wa tano sasa. Kinachoniweka njia panda ni kwamba tunapendana sana lakini mama na ndugu wengine...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
WRITTEN IN BLOOD I act this spell upon you from my whole heart, wishing you to never resten nor eat no sleep the rest part of your life I hope your flesh will waste away and i hope you will never...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Naomba wenye ufahamu watusaidie mawazo kuhusu hili tatizo. Inatokea mkaka anafahamiana na mdada, na baada ya muda kidogo sms za jokes na za kufowadiana zinaanza, baadaye wote wawili (mwanamke na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
SALAAMU WANA JAMVI, Huku mitaani kuna jambo limenitatiza, kwa ufupi kuna rafiki yangu mmoja yupo njia panda na hali ni tete. Jamaa yangu ana uhusiano wa kimapenzi na ndugu yake na shemejiye (yaani...
1 Reactions
26 Replies
8K Views
Hivi ikitokea ulikua na mpenzi wako{wakike} tangu chuo,baada ya kumaliza masomo,mdada anatangulia kupata job kabla yako,then wewe mkaka unakaa kitaa hata 3yrs bila kazi,hivi huyo mwanamke...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Nimekuwa na Msichana kwa miaka mitatu tangu chuo hadi 2namaliza. Nikapata kazi Mkoani, nimefanya kazi kwa Miezi 5 nikiwa mbali na Mchumba wang lakin 2mekuwa 2kifanya Mawasiliano kwa kipind chote...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Wakubwa zangu shikamooni!!!!!!!!!! Peopleeeeeeeeeeeeesss!!!!!!!!!!!! (Salam ndo inamalizia mwaka) Leo nikiwa safarini bana nimekutana na wakuja flani hivi! Basi kaanza michakato ya kuomba...
10 Reactions
255 Replies
13K Views
John (Haijalishi John ni nani) alikuwa na mary kusikojulikana...Akawa na cupcake ambapo hapakuwa na nyingine basi ikabidi washee hiyo cake...Bila John kujua kitendo kile cha kushea cake kilimfanya...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nilipata demu 2lianza kama marafiki kwa mbwembwe nyingi simu,sms kwa sana siku ya siku 2kajikuta ndani ya penzi zito nikaogopa kuweka mambo wazi kama nina mpenzi juzi kati akasema niende...
0 Reactions
96 Replies
7K Views
Back
Top Bottom