Jana rafiki yangu pale kilabuni kaniambia eti watoto ambao mchana ndio mnaniio .. wanakuwa na sura na tabia nzuri kuliko wa usiku. Sina uthibitisho lakini hata mimi nina watoto 6 ndani ya ndoa...
Mtanisamehe kama kuna mtu ashawahi post ya aina hii...
Nimekaa nikawaza nikaona wanaume wengi wanaopenda kutongoza huku kwenye social networks huwa ni wazito kuongea a.k.a madomo zege kwenye...
Wazazi (hasa wanawake)nyakati za nyuma walihesabiwa kuwa ni wenye huruma kwa watoto.
"
Wanawake ambao walihesabiwa kuwa na upendo kwa watoto kwa sababu nyingi ikiwemo ya kubeba ujauzito miezi 9...
Kuna jamaa yangu hapa yupo standby anasubiri ushauri ili afanye kweli/achumbie.
Bado hawajafanya lolote hadi sasa(HAWAJAGUSANA) ndio maana spidi yake kali, yaani kilomita 1000 kwa saa. Mchumba...
mwanamke wa kweli mwenye moyo wa umama ametofautiana kwa kiasi kikubwa na mwanamke mwingine yeyote. mwanamke huyu awe amebarikiwa kupata watoto ama la lakin atakuwa na sifa zifuatazo.
1) ana...
Kwa kweli nimejikaza sana lakini nimeona ni kheri ni hoji...... Kwa muujibu wa imani zote za dini hususan ukristo na uisilamu kufanya mapenzi kabla ya kuoana ni uzinzi, wakati huo huo...
Ni upi mda muafaka kumuengage mwanamke? Na after engagement mnaweza stay for how long kabla ya kufunga ndoa na je is it necessary wazazi kuwa aware na hii event, either kuattend or not,, kwa...
Wakubwa zangu shikamooni!!!!!!!!!!
Peopleeeeeeeeeeeeessssssssss!
Sikukuu kama ya leo ndo muruwa kupima thamani yako kwa mpenzi wako! Leo The Ones wote wanapata lile golden chance la kula bata...
Habari zenu wana JF.
Heri ya Xmass na maandalizi mema ya kuukaribisha mwka mpya.
Familia inaomba ushauri wenu.
Najitokeza mbele yenu kuomba msaada wenu wa mawazo, nina mdogo wangu wa kike...
Kweli hawa vijana wana kazi sana jana nimemuona mdada anaoshwa kucha na jamaa mmoja huku akiwa kavaa kimini isitoshe anajiachia kabisa kwa kupanua miguu dah! Nikajisemea moyoni kweli hawa wajamaa...
If you want happiness for an hour,
Take a nap .......
If you want happiness for a week,
Go on a vacation .......
If you want happiness for a month,
Get married .......
If you want happiness...
"umaskini wako na maumbile yako ndivyo vimefanya ushindwe kusimamia shoo" hii ni kauli ya ney aliyenitumia leo asubuhi akinijulisha ya kwamba uhusiano wetu umekwisha rasmi,siumii kuachwa wala...
hili ni tatizo? jamani kila nikipata nafasi nakuwa na mwanamke na wala sitosheki.....! kwa siku nakuwa na wanawake wawili au watatu. hili ni tatizo gani?
sasa mimi ningejuaje kama yeye ni mke wa mtu na haNA hata pete kiganjani??
Yamenitokea jana na sio utani,huyu dada nimekua namfatilia kwa mda mrefu kias chake,,na ni wa hapa hapa mtaani,by the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.