Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jamani wana jamii forum kuna watu humu wanapenda jokes sana. Watu tupo serious then anatokea mtu anaku pm then mnaendelea na chat mnapeana contact alafu haraka anaenda tumia namba yako ili ajue...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
inakuaje unakuta mwanaume anamtongoza mwanaume mwenzake au akiwaona baadhi ya wanaume wengine anataman wasex ila akiona wasichana hapat hamu kabisa au mwanamke anamtongoza mwanamke mwenzake na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kila siku ukitembelea mitandao utakuta huyu anatafuta mchumba mke au mme hawa watu wakati mwingine vigezo vingi vingine hazina hata msingi wowote kama dini,rangi,ukabila,umri wakati kama mwanamke...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hivi huu mfumo wa kutoa mahari hivi kwa miaka ya sasa hivi una mantiki kweli???kama watu mmependana kweli ya nini umtoze mwenzio mahari,tuachane na mapokeo kutoka kwa wazazi wetu vp unaona kuna...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanajf shikamoooni woteee wakubwa kwa wadogo!! Jamani mwenzenu hapa ninamawazo mpaka homa imenijia nipo kitandani naugua kwa mawazo. Shemeji yenu miaka yake inakaribia 30 na Mungu akipenda...
3 Reactions
94 Replies
7K Views
Wakuu mmeamkaje?? Jamani mwenzenu hivi karibuni nilimpata mdada mmoja mzuri sana kiukweli alinipenda sana na mie nilimpenda pia mwanzoni sikujua ila baadae nilikuja kugundua kuwa ni mke wa mtu...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
Mimi ni Mmjoa ya wale watu wenye kumiliki Line za Mobile Telecom Operators wote Tanzania ukiacha TTCL na Zantel. Ni siku ya Alhamis nimerud home, nina tabia ya kuweka simu ama kwenye kabati au...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Wapendwa wana MMU, Awali ya yote nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunifanikisha na kunivusha katika hatua ya muhimu kwenye maisha yangu mnamo siku ya tarehe 24/11 ambapo nilijipatia mwenza wa maisha...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Waungwana wabarikiwa na wadau. marahabaaaaaaa wajukuu zangu! Sijapokea shikamooni zenu asee, nimezimisi mbaya.... Well: Hii ni kwa wale wanaokubali UKWELI ambao uko DHAHIRI kuwa INFIDELITY...
3 Reactions
58 Replies
5K Views
Hii Nimeikuta kule Yahoo: Dental Assistant Fired For Being 'Irresistible' Is 'Devastated' Dental Assistant Fired For Being 'Irresistible' Is 'Devastated' | ABC News Blogs - Yahoo!
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Habari za weekend! I always thought it was a good thing kuwa na mke ambaye mpo in the same professional hadi jana wakati nipo round table na some of my frnds ambao wapo married for sumtym walipo...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Unamkuta Baba na Mama wanabebana na watoto kutoka nyumbani kwao wanasafiri eti wanaeda nyumbani walikozaliwa kula sikukuu. Binafsi siliungi mkono hata kidogo. Mtu ukishakuwa na familia - basi...
0 Reactions
70 Replies
4K Views
Hivi unawezaje kusema ```mungu amlaze marehemu peponi ameen wakati unajua kabisa marehemu alikuwa muuaji, marehemu alikuwa anakula TIGO, marehemu kadhurumu haki za mayatima na mengi mabaya...
0 Reactions
2 Replies
928 Views
Ndugu wapendwa na wapenzi wa MMU, Nawatakia siku kuu njema... Ila...please yake care, http://www.gruntdoc.com/pics/12-STIS.SWF Babu DC!!
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Kuna mdada ofisini hapa anasema kuwa 2013 sio mwaka wa kufanya mapenzi tu as umefanya mapenzi ni mwaka wa kupandisha hadhi yako pamoja na title yako katika kimapenzi Ewe mwanamke fanya mapenzi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwanamke wa kweli ni mtii na heshima ( bt t depend on the c2ation) mwaminifu upendo & so so. Bt mwanamke wa kweli ni yule anaemdunda mumewe badala ya kimada akimfumania mumewe. ( ni mtazamo 2...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
…………(¯`O´¯) …………*./ | \ .* …………..*♫*. ………, • ‘*♥* ‘ • , ……. ‘*• ♫♫♫•*’ ….. ‘ *, • ‘♫ ‘ • ,* ‘ ….’ * • ♫*♥*♫• * ‘ … * , • Merry’ • , * ‘...
1 Reactions
0 Replies
523 Views
Nawatakia krismas njema na prosperous new year 2013
0 Reactions
4 Replies
869 Views
I opened this thread because I have noticed that oft-times when a guy who is interested in a girl comes as a friend, he ends up being just a friend and gets stuck in the "friend zone". Do you...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
jamani nauuliza kuwa na demu ni kujipa majukumu maaana kila demu unayempata mara unasikia npe hela kidogo mm naona kama kero hiv nyie mnafanyaje maaana tutashindwa kufanya mambo mengine
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Back
Top Bottom