Habari zenu vingozi!!
Jana Niko zangu kijiweni nikiwa na watu wangu wa Town, kichwani nina machungu ya kubwagwa saa chache baada ya kujijitumua kwa binti fuakani wa chuo hapa town...heh! stori...
huwa navutiwa na mademu walio nizidi umri,na wengi wao ni wake za watu ila tatizo linakuja ni jinsi nimwambie hadi anielewe, msahada wenu tafadhari wadau..
Aisee hii imenitoa kijasho chembamba, na sikuitegemea,
Ofcn kwetu kuna dada kaumbika kwelikweli na mke wa mtu ( wanaishi ila hawajafunga ndoa), tumezoeana kwa wingi wa utani na huwa ananiita...
Saa mbili asubuhi, siku kama ya leo. Mkeo amekuomba akae na simu yako kwa masaa kumi tu..hadi saa kumi na mbili jioni. Je utakubali?... utamuachia? Na kama la, ni kwa sababu gani?
kuna msichana alikua mtu wangu kwa miaka kadhaa iliyopita na nilikuja tengana nae baada ya yy kunibwaga kwa madai kwamba alikua anapoteza muda kwa kuwa na mm.Kwa kweli niliumia sana coz nilikua...
Habari wana Jf,
Mimi nimekuwa katika mchakato wa kutafuta mwenzi wa maisha wa maisha kwa muda mrefu na nikaweka malengo ya kwamba kabla ya kumalizika mwaka 2012 niwe nimeshampata...
Jamaa kaja gheto kwa jicho la kulaumu tu, analalamika namna ambavyo siku hizi mke wake amebadirika
Amekuwa ni mtu wa kurudi overtime yaani kiufupi haeleweki
Hakika jamaa anayo haki ya kunihoji...
Nimeoa mwanamke wa Tukuyu na hivi sasa tunaishi Tanga ambapo ndio ninafanya kazi na wazazi wa upande wangu wana-reside Tanga pia. Tatizo ni kwamba wakwe wanapenda sana mke wangu awe anarudirudi...
Sijawahi kuwa na mzungu, lakini nasikia watu hawa kitandani ni wabaridi sana.
Je ubaridi wao wasabishwa na nini? Smile, cacico, WiseLady, charminglady, sweetlady, gfsonwin, giLESi na wengine...
Ni mvulana mwenye umr wa 25 yrs,n ngumu kuelezea ila nilikua na mpnz niliyempenda sana tulianza uhusiano last year 2011,kabla.ya hapo nilikua na gf ambae nilizaa nae mtt wa kike mwenye umri wa 2...
Wakubwa zangu shikamooni!!!!!!
Peoplessssssssss!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mwaka huu unaisha sasa nimeona si busara kutotoa pongezi na Tuzo maalumu kwa hili kundi la wenzetu lenye upendo wa mshumaa...
wapendwa wana mmu
kwa furaha kubwa napenda kuwajulisha mimi na mke wangu mpendwa tumebarikiwa kupata mtoto wa pili wa kiume.Wa kwanza ni wa kike hivyo tume balance mambo!
tupia tips za malezi...
habari zenu,je ni sahihi kwa ndugu yako mfano dada yako,mama yako au hata housgal wako,au ndugu mwngne wa kike/kiume kuingia chumba unacho lala na mume/mke wako?
Nina mpenzi wangu ambae nampenda sana lakin kabla yangu alikua na mpenzi ambae walipendana sana mwanzon badae jamaa akawa haelewek na hapo ndipo nikawa nae lakin hawakuambiana kua wanaachana sasa...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 37 na nina mke na watoto watatu sasa. Kikazi mimi ni mtumishi serikalini na mke wangu by Professional ni mpishi na pia anao ujuzi kidogo wa ushonaji. Mke wangu...
Mwenzenu najiuliza halafu nakosa jibu hapa kipi hakipo sahihi!
Tuchukulie wewe ni mwanaume na umekuwa kwenye mahusiano ya urafiki na msichana fulani kwa muda mrefu kiasi kwamba mmezoeana...
hiv jamani nisadien mtu anaheshimiwa kwa kipato au jins alivyo?wapo wanaodai heshima pesa shikamoo makelee kwa maana hiyo vijana hasa ambao bado hatujaolewa kupata wachumba itakuwa shida...
Najua hamjaelewa ninataka kuzungumzia kitu gani. Labda nianzie mbali kidogo. Pindi mwanamke aingiapo katika uhusiano, msukumo wake wa kufanya mapenzi hupungua mno. Katika utafiti fulani uliowahi...
When I first fell in love..(about 10 years ago), it was the best feeling that Iv ever had!.. she was my classmate and my best friend.. she was everything to me na kama ungeniuliza kipindi hcho, I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.