Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
hivi ikitolewa elimu ya uzalendo toka shule ya awali hadi vyuo kunaweza kupata viongozi makini atakayenusuru taifa kutoingia kwenye matatizo kama haya uibaji wa mali ya umma kutumia madaraka ya...
0 Reactions
1 Replies
816 Views
There's no way anyone in the world will say "i love you" without mentioning our names(YOU AND I). You and i are meant to be together cos you and i would last forever. You and i will live...
0 Reactions
0 Replies
634 Views
The only way 2 navigate Love iz 2 b lost within it, it iz neither a beast 2 b conquered nor a thought 2 cornered ur aguest in itz presence, a voyeur in th dark so feast nt, rather b th feast...
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Sura hiyo hapo juu ni ya mwanaume. Hebu itazame vizuri sana, kuanzia midomo, pua, macho na paji la uso. Hiyo ni sura ya mtu wa namna gani kitabia na je, umeshawahi kukutana na mwanaume mwenye sura...
12 Reactions
160 Replies
16K Views
there's a possibility that a sudden aroma-bacon wafting up from the kitchen, for example-could infiltrate your dream Other things which might affect your dream Sound, Spicy Food, Sleeping on...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Wadau nasikia kuna massage ya body to body nijuzeni ipoje? na huwa ni watu gani wanaotakiwa kuifanya hiyo
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habarizi za kuamka wana JF, sijui kama ni jukwaa husika ila naomba msaada kwa yeyote mwenye kujua huyu mtu yupo wapi. Ni kijana aliyekuwa anasoma shule ya secondary Ilboru Arusha alimaliza kidato...
4 Reactions
52 Replies
6K Views
Yaan mpaka namkumbuka mpenz wangu wa zamani, kwa vitimbi vya huyu wa sasa! Ni Mwaka Na Nusu Sasa Tangu Huyu Demu Anitongoze,Nakumbuka Wakati Huo Nilikuwa Zangu nangoja msururu wa watu kwenye...
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Kupenda mume wa mtu aliyekupenda mpaka mwisho kuna namna ya kuzuia? au tuache nature itimize mapenzi yake........... Jamani huyu mwanaume hataki tuachane...... Nampenda. :israel::crazy:
0 Reactions
58 Replies
9K Views
Kwanini tunasheherekea x-mass,ni imani?ni mazoea au ni kuiga?
0 Reactions
1 Replies
662 Views
Yapata miezi minne (4) tangu nimejuana na mpenzi wangu,na mapenzi yemetukolea kweli kweli. Yeye ana makazi yake nami yangu. Huwa tunatembeleana week ends,ikiwa ni pamoja na kulala kabi. Kila...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Dhamana yako katika mapenzi ni nini? I mean kipi kinachokufanya uendelee kupata hilo penzi unalolipata. Je ni fedha, Mali ulizonazo, elimu au just mapenzi. Au umeweka Collateral Moyo kwamba kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Five Ways to Get Your Wife to Have More Sex With You OK guys, stop all your whining and complaining for a second and listen up: If you want more sex from your wives, you have to grow up and...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ilikuwa ni ndani ya Daladala.... Jana majira ya asubuhi nilipanda daladala kutoka Gongo la Mboto kuelekea Posta kibaruani kwangu. Wanaonijua wanaweza kujiuliza imekuwaje nimelala Gongo la Mboto...
10 Reactions
81 Replies
7K Views
jamani ununuzi wa nyumba hizi za shilika la nyumba la taifa ukoje na kama mm mfanyakazi ntapata kweli kununua au ni za matajili tu hebu mwenye kujua tufahamishane
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naombeni ushauri wenu wana jf!,Nina gf wangu Anatokea Dar anakuja Mwanza na ndege ya mchana huu, cha ajabu nimemwambia kuwa nakuja kukupokea AIPORT amenikatalia anadai nisiende tutaonana nyumbani...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
''kila nikikutana na girl friends nilioachana nao nawatamani ni do..... (kuto***na).... nao'' Hii ni kauli ya jamaa mmoja. ckumshangaa coz hata mm imewahi nitokea wakati fulani Eti mwana...
0 Reactions
149 Replies
11K Views
Ilianza kwa kurusha voucher credit kwa binti (18yrs )kwa kukosea namba baada ya hapo akawa akinipigia na mimi nikimpigia. Alijitambulisha kwangu kama mwanafunzi anasoma kenya maswala ya urembo na...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Baada ya kuishi na mke wangu kwa miaka 14 hatimaye naelekea kushindwa kumuelewa. Nilibahatika kuoa mwanamke mwenye ajira na mapato yetu yanalingana yanakaribia jumla ya 4M kwa mwezi lakini jambo...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Ni hasubuhi leo siku nyingine kwa watu wengine na mambo mengine kama siku nyingine!........... kwanza kwa vidume na madume majumbani: napenda kuwadokeza vidokezo muhimu kweli ktk maisha ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom