Ni saa 4 usiku nipo maeneo ya geto kwangu hapa, sasa naishi na jirani yangu ambae aling'oa dogo mmoja wa mwaka wa kwanza udsm, dogo kaja bila taarifa kuspend weekend kwa mchizi, mchizi kafunga...
kuna binti moja nnasoma naye kwangu anakila sifa za kuwa mwenza wangu wa maisha bt nakosa pozi kabisa la kumtokea nawza kaa akinitosa itakuwaje, napata wakati mgumu sana kila nnapo waza juu ya...
Possessiveness na control ni tatizo kubwa .possessivess ni pale unapoanza kumfuatilia mpenzi wako every move ,mpaka marafiki anaongea na nani,simu yake ndio yako ,facebook,email wengine mpaka...
Umepigiwa simu kuwa mumeo/ yuko guest fulani anavunja amri ya sita, je kuna umuhimu wa wewe kwenda kufumania?
Kwanini uende?
je unadhani utafaidia au utaathirika?
Habari zenu wana Jf. Nina umri wa miaka ishirini na nane.Mpaka hapa nilipo sijawahi kufanya tendo la ndoa, hii ni kutokana na tatizo kubwa linalonikabiri na kunipa huzuni kwa takribani miaka 15...
Naombeni ushauri ili niweze kumshauri rafiki aliyeniuliza kama anaweza kumhoji mumewe kuhusu mali na vitu vingine alivyonavyo maana huyo mumewe amepata ajali mbaya sana na hali yake hairidhishi...
hivi ni kweli wanaume wana mapenzi ya kweli zaid ya wanawake? nauliza maana hili swala linanitatiza sana maana naona wanaume ndo hawana ....
please mawazo yenu wana JF.
Mtu ninakuwa nawe kimapenzi kwa muda mrefu tena tukipeana mapenzi na ahadi motomoto!
Tunafanya mengi katika sehemu mbalimbali, nikiwa na matumaini mwisho wa yote tutakuwa pamoja katika ndoa...
Ni nani kwa Tanzania hii unataka na kupenda uwe naye katika mahusiano ya kimapenzi naye..
Awe mwamaume au mwanamke aidha ni mwanasiasa, au msanii au mwanamuziki, au mwandishi wa habari au...
Desemba 24, 1993, siku moja kabla ya sikukuu ya Krismas, msichana Trish Zemba alipanda farasi akiwa anataka kwenda kutembea, pengine kuwaalika wenzake kwa ajili ya sikukuu ya Krismas au kwa sababu...
Wajameni WanaJF! Kila abiria achunge mzigo wake. Mdau kama una mpenzi au mke wako anafanyakazi ofisi fulani, kuwa makini na nyenendo zake za kila siku. Kuna taasisi moja inalipa vizuri wafanyakazi...
Wanasaikolojia wanadai wamethibitisha kwamba wasichana wengi hujikuta wakiolewa na wanaume ambao ni sawa na baba zao kitabia.
Kumbe ndio maana akina mama wengi huwa wanalia sana wakati binti zao...
Namshukuru Mungu kwa 2012 kwa kila jambo, bila ya kusahau family yangu ndugu zangu,na rafiki zangu.
Shukrani za pekee ziwaendee members wote wa JF kwa ushauri wao mbalimbali.pia tusamehe popote...
Aliendelea kutusimulia tulikuwa makini kumsikiliza mzee huyu ambae mafanikio ya maisha yalionekana kumfuata,
::
"Basi,niliendelea na huduma yangu ya uchungaji ktk kanisa dogo huko...
Jaman nna girl wangu kama miezi 4 sasa, alinipa password ktk account yake fb pia yangu anayo. Sasa katika pita zangu kuna mdogo wa mama yake (uncle yake) yuko masomoni abroad huwa anachat nae...
Naomba kuwauliza WaJF juzi kati nlikutana na mwanandoa mmoja akawa ananipa story anavyolalamikiwa na mkewe kuwa siku hizi amempata nani baada ya mkewe kumtuhumu kuwa kilometer zimepungua wakati wa...
Hii ilitokea miaka kadhaa iliyopita wakati nasoma Secondary School!
Wakati tupo kidato cha tatu, kuna jamaa mmoja (jina kapuni and not my friend by then) alikuwa amempenda mdada mmoja ambaye...
kwa mtu kama mimi ambaye damu inachemka na Kutojiingiza ktk masuala ya nyeto na ubakaji husiokusudiwa
vilevile Kutokana na huduma mbovuu za machangu Mixa kuwekeana madawa ya kulevya,
Huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.