Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nipo hapa maeneo ya Kimara kwenye baa maarufu sana hapa ya siku nyingi, baa hii ina huduma ya mapumziko (vyumba vya kulala). Bado wananchi hawajajaa sana leo wikiend, nimekuja kupata supu, hamna...
2 Reactions
24 Replies
12K Views
jaman wana jf naomba kuuliza eti ni vibaya kula kuku na mayai yake?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
<object><param name="allowfullscreen" value="true"></param><param name="movie" value="http://www.facebook.com/v/498084003547821"></param><embed src="http://www.facebook.com/v/498084003547821"...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
nitafika singida leo saa kumi na mbili je niende wapi nikapate kampani ya mwanamke nuwe nae usiku wote na kesho dom napo ntapata wapi kampani
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wadau, nimeoa mwezi uliopita. Mke wangu alipenda tusifanye ngono kabla ya kuoana nikakubaliana nae. Sasa baada ya kumwoa ndo shughuli imeanza. Nikisex nae huwa anapagawa kupita maelezo huwa...
2 Reactions
57 Replies
7K Views
Nimebahatika kuwa na mke mzuri sana,ni mchanganyiko wa mnyamwezi na muhaya,ni mzuri na ana tabia nzuri sana,tumebahatika watoto wawili,na ndoa yetu ina miaka sita sasa,nina kazi nzuri na nakaa...
2 Reactions
116 Replies
10K Views
mi nimetokea kuwa na negative attitude towards girls baada ya girlfriend wangu wa kwanza kuamua kuolewa sababu mi bado nasoma na niko mbali nae.nikaamua kuwa na mwingine nae nkagundua ana bwana...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Khabari wanajamvi,. Mi ni kijana wa kiume (28), ninatarajia kuoa hivi karibuni ila kama ilivyokawaida ya mila na tamaduni zetu za Kiafrika na hata za Kimagharibi ni lazima kutambulishana kwanza...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
10 Unspoken Marriage Rules You Must Follow Every married person knows to be faithful, stay truthful and be there for her partner through good times and bad--they're in the wedding vows...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Indeed,it is common amongst new couples to eat together.It's usually two times daily I.e morning and night.In the afternoon,everyone is busy at work.Then I wonder if they sustain this habit for...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Picha haihusiani na habari hii..... Alikuwa ni mtumishi wa nyumbani wa shemeji yangu ambaye aliolewa na kaka yangu binamu, kwa bahati mbaya huyo kaka yangu alishafariki na hata mkewe yaani huyo...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
In what ways have people tried to end your relationship? By people I mean outsiders including friends, siblings or anyone close enough to say or do something to end it and what was their reason...
0 Reactions
5 Replies
849 Views
Ni juzi tu nimeweza kufanikisha kwa mara ya kwanza kabisa maishani mwangu huyu binti kila alipo nambia niliona uongo kama wengine walionidanganya lakini siku yenyewe ilikuwa hivi; binti...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Khabari za asubuhi wanajmvi wenzangu! Leo ndo siku ya mwisho ya mwaka 2012, na Allah akitujalia kesho tutaanza mwaka mpya. Huzuni na furaha vyote kaumbiwa mwanadamu, ni kama pande mbili za...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello....! Naomba tusaidiane kuhusu athari chanya au hasi za kuwa mbali na mwenza/mpenzi wako kwa muda mrefu ! Kwangu mimi umbali huu hupelekea usaliti,
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Wakuu, mtoto huyu mbona balaa!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, Sijui nina tatizo la kisaikolojia? Hebu nisaidieni maana nimejikuta napenda na kutongoza wanawake ambao wamenizidi umri tena sana kitendo ambacho kinawashangaza pindi niwafuatapo ingawa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
mapenzi ni sumu ukinywa hata kwa maziwa hauponi
0 Reactions
3 Replies
848 Views
Ndugu wana javi ni kawaida sana kusikia kwa vijana wa leo wakisema usimwambia binti mapema kwamba utamwoa. Swali langu ni kwamba: kama unampenda kweli kwa nini usimwambia? Afu kama kweli...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom