Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari wakuu, Hii kitu naiona kwa upande wangu sijui kwa nyie wenzangu. Yaani upo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mtu na mpo karibu lakini kupata penzi ni kwa manati. Hapa naongelea wale ambao...
6 Reactions
175 Replies
13K Views
Wakuu wa idara habari Katika maisha ya mahusiano huwa najitaidi sana ikifika point ya kuachana na mtu nilienae basi huwa naacha nae kwa amani kabisa, yaani bila matusi bila kashfa yoyote na...
12 Reactions
26 Replies
3K Views
Sisi Watibeli Moja ya miiko yetu ni kutokuwa waharibifu. Hatuharibu vitu vizima. Hatuharibu vitu ambavyo ni vyema. Ukiwa mwema Sisi Watibeli hatuwezi kukutendea ubaya. Hiyo ni Kanuni yetu na ipo...
1 Reactions
21 Replies
263 Views
Ukubali ukatae huu ndio ukweli na utabaki kuwa ukweli, 1) Ukiwa umetoka kula bata na mume wa mtu, Wewe utaenda nyumbani kwenu lakini yeye atarudi nyumbani ambapo anaishi na familia yake...
13 Reactions
48 Replies
1K Views
Tunapoelekea mwisho wa mwaka, nikaona nijaribu kuleta kwenu hii hoja ambayo imekua ikiibuka Mara nyingi hasa Kwa wanandoa wanaume. Hapa naongelea Mme ameoa, anaamua kuchepuka anasema hawezifanya...
16 Reactions
104 Replies
4K Views
Habari za weekend wanajamvi! Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!! Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za...
20 Reactions
214 Replies
14K Views
Ilikuwa ni jana katika Kipindi kizuri kabisa cha kila Jumapili cha Familia ambacho hurushwa na Kituo cha Super Brand nchini Radio One kuanzia Saa 1 na nusu hadi Saa 4 kamili asubuhi pale ambapo '...
10 Reactions
40 Replies
4K Views
Salaam, Jamani nasumbuliwa na shemeji yenu ndoa hii ina tabu sana nimevumilia mpaka nimeona leo niwashikishe mke huyu anavuta ugoro, pariki, mlevi wa pombe na kikojozi choo kipo ndani yeye...
14 Reactions
311 Replies
19K Views
UCHUNGUZI WANGU UNAONYESHA WANAUME WENGI HUFA MAPEMA KWA SABABU HAWAKUPENDWA NA WAKE ZAO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Watu wengi hujiuliza Kwa nini Wanaume hutangulia Kufa Kabla ya Wake...
10 Reactions
33 Replies
2K Views
Nakumbuka miaka ya 2010 nikiwa nimetoka chuo, bado nanuka optimism ya maisha. Nilikuwa na uhakika kwamba mshahara wangu wa kwanza ungekuwa milioni moja, na mawazo mengine ya mchana kama hayo...
12 Reactions
38 Replies
1K Views
Hii imekaaje wadau?nimfanyeje?ni mpangaji jinsia yake ni ke tena anamchumba ingawa huyo mchumba wake ndiye aliyempngishia hapa tunapoishi.Mchumba wake huyo inaonekana ana familia na mke ila huyo...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa, Hapa nilipo niko nje ya bongo kisafari, na safari hiyo niko huku tangu mei mosi, sasa bwana ile nimefika tu hotelini si mnajua mambo yetu yale, nikanasa tundu bovu. Sasa...
9 Reactions
179 Replies
26K Views
Eti vp kwa upande wako ulishawahi kufukuzia mtu ambaye unamtaka kimapenzi na anaishi mbali na wewe hadi ukaamua kumfungia safari hukohuko? hebu niambie ulienda umbali gani kufukuzia mpenzi Mimi...
25 Reactions
302 Replies
19K Views
KIKAO CHA LEO Kinazungumzia Kwanini Hujaoa Na kwanini Huolewi Kikao Kimeanza Karibu Kwa Maoni✍️
10 Reactions
127 Replies
3K Views
Habari ya mapumziko ya EID na long weeked. Hii kwangu ilikuwa kali kwangu but km ipo means wapo pia. Nilienda msalimu rafiki yangu ambaye ni ndugu yangu pia, i told her the day before kuwa...
23 Reactions
405 Replies
36K Views
Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla...
8 Reactions
111 Replies
6K Views
Wakati hali ya amani na utulivu ikiwa imerejea katikati ya Jiji la Mbeya baada ya kutokea vurugu juzi mchana, jeshi la polisi limesema linawashikilia watu 18 akiwamo Katibu wa Wafanyabiashara wa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za weekend wakubwa! Naandika hii thread nikiwa nimetoka kusikiliza story kwa bint mmoja rafiki yangu, ambae mara nyingi hunishirikisha baadhi ya mambo yake ambayo yanastahili mimi...
3 Reactions
56 Replies
7K Views
Kazi zangu za chaka natumia nguvu nyingi sana lazima nile tena nipate msosi wa kutosha usiniulize mambo ya kwaresma. Wife ni wa dini ya upande wa pili ,mwezi mzima sipo nyumbani leo nimerudi...
9 Reactions
17 Replies
414 Views
Unakutana na mkaka mzuri umempenda kwasababu ni msafi, shati limepigwa pasi au t-shirt aliyovaa imeendana na rangi ya suruali. Mnaanza kuongea, unamwambia mfano kwa wale wa chuo, niko chuo mwaka...
12 Reactions
51 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…