Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Madeni na changamoto za kifedha vinaweza kuathiri afya ya mwili kwa njia nyingi, ikiwemo afya ya Uzazi wa Mwanamke. Wakati mtu anakabiliwa na Msongo wa Mawazo kutokana na hali ngumu ya kifedha...
3 Reactions
9 Replies
202 Views
Kama vile tujuavyo ya kwamba hakuna maisha bila mahusiano ya mapenzi na Upendo ni Sheria ya asili ambayo ipo ndani ya Mwanadamu. Kuna aina mbalimbali za uhusiano wa mapenzi, na kila mmoja...
1 Reactions
13 Replies
277 Views
Wakuu, Kua uyaone na si magari wala maghorofa.katika familia nyingi za kiafrika wanaume wengi wanalea watoto ambao sio wao,na kiukweli hawalijui hilo,wanawake wengi wanapewa ujauzito nje ya ndoa...
3 Reactions
11 Replies
222 Views
Waungwana watanielewa tu. Kwakweli inawaumiza baadhi ya watoto kutomjua baba! Ila nashukuru watoto wengi hawaumii ktk hilo. Watoto wanapaswa kuwa na adabu ktk hili hata Kama inawaumiza! Na mbaya...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo. Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini...
7 Reactions
98 Replies
874 Views
Maisha bila uzinzi yanawezekana, na nimetambua hilo baada ya kutimiza miaka miwili+ bila kuwa na uhusiano wala ukaribu wowote wa kimwili dhidi ya mwanamke/binti yeyote ndani ya muda huo...
32 Reactions
157 Replies
2K Views
Wakuu Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina. mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi...
8 Reactions
80 Replies
2K Views
WAnaume wakileo. Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ?? Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani?? Dunia ilipoanza...
11 Reactions
91 Replies
948 Views
Habari Wana jamii forum, Mimi ni mfanyabiashara wa duka la rejareja, naomba kuukiza condom gani ni nzuri na Zina utamu Sana niweke dukani kwangu na zitapendwa na wateja na Zina utamu Sana
8 Reactions
25 Replies
1K Views
JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE WAKO AWE NA FURAHA! Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Watibeli tunajua kufurahisha Wake zetu. Na Wanawake wa kitibeli hujua kuwapa Raha Waume zào. Ingawaje mapenzi Kwa...
28 Reactions
342 Replies
9K Views
Huyu demu ni mzuri na anaonekana very decent kwa nje. Msukuma wa Shinyanga. Mimi kiukweli niitegemea ngekaa kwake kwa utulivu but baadaye nikaja ona ana ujanja wa kishamba. Mimi nlikutana naye JF...
89 Reactions
374 Replies
17K Views
Habari kaka, mimi ni mama wa mtoto mmoja mwenye miaka 7 sasa. Nina miaka 2 tangu kuondoka kwa mume wangu, na niliondoka huku nikimuachia mtoto na kila kitu. Sababu ya kuondoka kwangu ni kwamba...
5 Reactions
45 Replies
4K Views
Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu! Baada ya kumuoa mke wangu, alinishawishi niachane na kazi ili nisaidie kusimamia biashara zake. Nilikuwa nimeajiriwa...
14 Reactions
49 Replies
2K Views
Habari za muda huu Wana JF Leo katika kukaazangu bila ya kazi nikamua bana kumcheki mpenzi wangu nakumuelezea Hali ya afya yangu ili kumpima atanichukuliaje? Chatting zikawa kama hivi...
3 Reactions
5 Replies
361 Views
Key point ni MAJUKUMU mengine ni minor issues kwa nini wadau wanajiweka mbali na single mother. Kitabu Cha Wasifu wa Malcolm X kinaelezea baada ya baba yake kufariki mama yake alikuwa na...
2 Reactions
4 Replies
135 Views
Ni saa 9:00 alasiri nakaribishwa na mwanamke ndani ya basi la AN COACH. anatabasamu na kunikatia tiketi kwa adabu na heshima na anaonyesha weledi mkubwa kwa kazi yake. Kwa haraka anaonekana kuwa...
16 Reactions
51 Replies
650 Views
Nipo Arusha na nimeshuhudia watumishi wa umma waliokuja Arusha wanavyofanya matusi. Asilimia kubwa wapo wawili wawili jambo ambalo ni kiashiria cha ukiukwaji wa viapo vya ndoa. Tumeona namna...
3 Reactions
7 Replies
442 Views
Kabla ya ndoa kufungwa,watarajiwa hulazimika kufanya vipimo vya afya zao hususan ukimwi.Hii imekuwa ni kanuni na imezoeleka hivyo. Kutokana na yanaondelea huko ndoani watu kufanyiani mambo ya...
0 Reactions
1 Replies
82 Views
Asee asee Nina changamoto moja, Mimi nimeoa mwanamke, kabila ni muhaya, Mwanzoni kumpata alinisumbua sana nikasema basi, nimemfuatilia kwa miezi kadhaa,.lakin baada ya kumpata ni kama nimejitia...
8 Reactions
64 Replies
9K Views
Nawasalimu. Kama tujuavyo, wivu ni sehemu ya mapenzi lakini jamani ukizidi nahisi ni kero kubwa Sana Kwa upande wangu sijui Kwa wengine. Mke wangu amekuwa na wivu ambao umekuwa Sam taim ni kero...
3 Reactions
45 Replies
9K Views
Back
Top Bottom