Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wajumbe wa jukwaa amani iwe nanyi, Binadamu tuna majukumu mengi sana hapa duniani, lakini jukumu moja na muhimu zaidi ni kuzaa watoto, kuwalea na kuwawezesha ili nao wazae watoto na kuendeleza...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie...
20 Reactions
56 Replies
2K Views
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri. Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3. Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana...
87 Reactions
1K Replies
71K Views
Ilikuwa mwaka huu huu unaoishia na kama sijakosea ilikuwa mwezi wa sita. Kwenye page yangu ya facebook nikianza kuona pale kwenye messangers notifications za salamu za mwanamke fulani na wala...
19 Reactions
71 Replies
8K Views
Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede, Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa, Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu? Kutulia na mke...
2 Reactions
2K Replies
129K Views
Shalom, Katika pitapita zangu kwenye baadhi ya mikoa na wilaya zake hapa Tanzania kuna mikoa ni kiboko kwa wake za watu kijitegeza vibarazani na nyakati za kwenda kuoga kwa kuvaa kijola laini au...
4 Reactions
5 Replies
727 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Bila shaka, hapa kuna maelezo zaidi kuhusu maisha: Maisha ni nini? Maisha ni hali ya kuwa hai. Ni kipindi kati ya kuzaliwa na kufa kwa kiumbe. Maisha yanajumuisha mambo mengi, ikiwa ni pamoja na...
2 Reactions
1 Replies
77 Views
Kwa wanandoa hii inahusu sana wanawake familia nyingi ziko mbioni kuharibika kwa sababu mke na mme wote ni viburi hakuna mtu wakushusha sauti jamani wanawake ebu jitambueni kuwa ninyi ni nani...
3 Reactions
14 Replies
267 Views
Natumai mu buheri wa afya tele, Bila kupoteza wakati, naombeni tiba ya kutatua tatizo hili. Nina tatzo la kumchukia mtu yeyote nnayekutana nae barabarani anaefanana na adui yangu ama mtu...
2 Reactions
8 Replies
368 Views
Wasalam! Hii habari ni mwendelezo wa matukio yangu halisi. Ni muda sasa kama mwaka tangu nitengane na mke wangu kutokana na swala LA uzinzi ambapo aliamua kuondoka kuishi maisha yake na hawara...
58 Reactions
281 Replies
16K Views
Kwenye ndoa kuna changamoto nyingi mojawapo ambayo naomba sana dada zangu mzingatie, msilazimishe kupigwa. Please please nawaomba ile tabia ya "nipige kama wewe mwanaume kweli" si kauli nzuri. Ila...
15 Reactions
127 Replies
7K Views
Katika pita pita zangu nilibahatika kuwa na huyo kijana wa kisukuma kwa jina namuhifadhi, huyu kijana aliniambia yeye amesoma chuo lakini alikosa ajira kaamua kuwa dereva boda boda, mara nyingi...
16 Reactions
188 Replies
4K Views
SIFA ZA WANAWAKE WA KICHAGA 1. Wakarimu 2. Waaminifu 3 . Wavumilivu 4. Wachapakazi 5. Hawapendi ela wanapenda maendeleo😌 Nani anabisha ? 😁ajifanye kama anajikuna😁😁😁😁😁
18 Reactions
183 Replies
40K Views
Kuna umalaya au udangaji unaendelea kwenye ndoa. Yani ule muda unaomba tendo la ndoa, ndio mke anakukumbushia kitu ambacho ameomba au anakwambia nimechoka, au kama wataka umpe hela. Ni jambo...
14 Reactions
72 Replies
1K Views
Kisaikolojia mwanaume huwa hapendi sana isipokuwa Mwanamke ndiyo ambaye huwa anapenda sana. Ikitokea mwanaume anampenda sana Mwanamke husababisha migogoro ya kimapenzi yenye kujirudia rudia...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Mapenzi hayana bima wala hayana formula maalumu ambayo kila mtu anaweza kuitumia na kupata matokeo yenye kufanana. Unaweza kutengana na mwenza wako saa yoyote,muda wowote bila kujali uwekezaji...
0 Reactions
5 Replies
520 Views
Katika zama hizi, kuna mijadala mingi kuhusu muda unaohitajika kabla ya watu wawili kuamua kufunga ndoa. Wengine wanaamini kwamba muda wa uchumba wa miaka kadhaa ni muhimu ili kufahamu tabia...
0 Reactions
8 Replies
459 Views
Wakuu Hakuna hata mmoja asiyemjua holoholo humu jukwaani. Kila mmoja wenu anajua kuwa mimi ni nani, nafanya nini na uhalisia wangu ukoje ijapokuwa hamjawahi kuniona hata mmoja wenu. Wengi...
4 Reactions
23 Replies
242 Views
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani...
63 Reactions
5K Replies
368K Views
Back
Top Bottom