Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
1. Darling 2. Dear 3. Sweet heart 4. Jina lake 5. Jina lake la utotoni 6. Jina la mama yake 7 jina lake la ukoo
0 Reactions
468 Replies
55K Views
Yupo huyu mdada kweli anapendeza sanaaaaaa Yupo huyu kijana kweli anampenda huyu mdada lol.. Penzi lao laelekea kuwaka na halina kizima moto lakini, Upo mushkeli katika dimbwi la mahaba yao...
27 Reactions
79 Replies
10K Views
Habari za hasubuhi waungwana, Jana nilienda msibani huko magondo poromoka, nikiwa na shogha yangu cha ajabu shoga hatulii sehemu moja mara katoka nje mara kaingia ndani nikamuliza kwani vp mbona...
1 Reactions
70 Replies
7K Views
Mwanaumme bila kazi hapendeki Shida akililiwa visingizio kibao Kumgalagaza mwenzie kitandani haoni kero Lakini matunda yake kamwe hayali Mwanaumme ni nini haswa? Binti alijipanga bila ya zengwe...
32 Reactions
87 Replies
10K Views
Wakubwa zangu shikamooni!!!!! Niajeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!! Ujue bana First dates zinakuwaga nzito sana kwa watu wengi, especially kwetu Uswazii huku sababu you show who you realy are from...
8 Reactions
55 Replies
4K Views
I am trying to imagine ingekuwa vp kama pasingekuwepo na hii kitu manake inaumiza saana vichwa vya watu! I am imagine kama pangekuwa na another means ya kupata watoto! interaction kati ya mwanaume...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nikiwa na miaka 13 waliingia majambaji nyumbani hawakuchukua kitu chochote bali walimbaka mama wakamalizia na mimi, baba hakuwepo alikuwa masomoni uingereza, siwezi kuisahau siku hiyo...
0 Reactions
76 Replies
9K Views
How To Stop Your Neighbors From Having Loud Sex
11 Reactions
46 Replies
12K Views
Habari zenu wana M.M.U. Leo nilipigiwa simu na mdogo wangu (he is 21yrs) yuko chuo pale ushirika moshi, amejaribu ku "do" na gf wake mara 2,mara ya kwanza ni three weeks ago na jana akawa...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Leo nilimpa lifti jirani yangu wa kike alikua anakwenda saluni, sasa wakati namshusha nikasikia mazungumzo ya wale kina dada waliokuwapo pale saluni. Mmoja kaja na hii “....ukitaka kujua kama...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari zenu wana MMU, Ninaomba mnishauri juu ya hili. Nina mtoto wa dadayangu (mvulana). Kukweli nampenda sana kama mwanangu, kwanza kalizaliwa mimi nikiwa chekechea, nilimlea and honestly I...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Kuna kundi la watu wanajulikana kama 'Psychopath' kutokana na hali za akili zao. Bahati mbaya zaidi hutokea pale anapompenda mtu, hataki kuelewa kama na aliyempenda ana mpenda ama lah. Huona...
5 Reactions
132 Replies
8K Views
Members, Sijui ni mimi mwenyewe nakerwa na haya mambo au kuna wenzangu pia mnakereka. Juzi Ijumaa Jioni Kuna rafiki yangu mmoja amekuja kunitembelea na kunisihi angalau Tutoke twende club...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Naomba mnisaidie, nina shoga angu ameniomba nmshauri nami cnabudi kulileta kwenu.Rafiki yangu ana boyfriend wake kwa muda mrefu sana,bt kwa sasa hawaelewan kwa kua huyo shemeji yangu amekuta sms...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
habarini wazee wa jamvi nina mchizi wangu anakademu kake kapo hot sana,anavodai,yaani kanamzuka sana kwenye mambo yetu ya 6x6 ila tatizo mchizi akiingiza tu anamwaga?sasa anaomba maujuzi kwa...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Ndugu, kweli mwenzenu ni na shida na sijui zitaishaje. Juzi tu nilikuwa na tatizo la mke wangu na bado halijakwisha. Likaja hili la GF wangu wa zamani. Lakini, ninao watoto wawili nje ya ndoa...
0 Reactions
143 Replies
9K Views
Hii swali ni limetokana na mada ya Wimbo. Mie sijasomea saikolojia, lakini kwa kutazama aliyoandika, nahisi bado ana kovu bichi kabisa moyoni. Naweza kuwa nimemsoma isivyo sahihi pia...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Kwa huku kwetu ni wanaume wachache sana wanaomsaidia mwanamke bila lengo la kumpata mwanamke huyo. Hata hivyo sio wanawake wengi wanaokubali kulipa fadhila kwa njia hiyo, lakini wanaume wengi...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Huyu Baba Mkwe simuelewi kabisa, saa sita au saba usiku eti anampigia simu bintie, kha, umelala usingizi unashtuka simu inaita au mtu anaongea na simu, haya mwenzetu nani huyo usiku huu, oooh Baba...
3 Reactions
90 Replies
12K Views
Matokeo ya uchunguzi wa DNA uliofanywa na TBS umethibitisha kwamba zaidi ya asilimia hamsini ya watoto waliopimwa DNA zao na TBS waligundulika kuwa si wa baba waliodhaniwa kuwa ndiyo baba zao...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom