Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
kila muda anapiga cm kwa mpenzi wake umeivisha, umepika nn nije kula, nipikie basi nakuja kula, utaniandalia nn nije kula. nisaidieni mwanaume wa hivi nimueleweje au ndio kawaida kwa wapendanao!!!!
1 Reactions
36 Replies
3K Views
Familia ya Bwana na Bibi Tutor B wa jijini Mwanza wanayo furaha kuungana nawe Mwana JF katika sherehe ya mtoto wao mpendwa Akanganyila B kupata kipaimara. Sherehe hizo zitafanyika siku ya...
1 Reactions
36 Replies
5K Views
wana jf tusaidiane hapo
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mm ni mvulana, nampnz wangu nimedumu nae karibia mwaka 1, lakn kama mwezi umepita mpnz wangu ame nibadilikia sana, kwasabu nampenda nimevumilia mengi sana, cha kuchangaza nimeongea nae, ana...
3 Reactions
116 Replies
18K Views
Hivi sasa wanandoa wa Marekani hawako tayari tena kujiapiza kwamba, wataishi na mume hadi kifo kije kiwatengenishe. Badala yake, wengi hutaka kujiapiza kwa kusema, "tutaishi kwa shida na raha...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Kipi kilokukimbiza?, natamani kukijua mahaba nimetimiza, kadiri nilivyojua mpenzi umeniponza, moyoni ninaugua kidonda nakiuguza, sijui lini tapoa. Nateseka na giza, mawazo yanisumbua maswali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanasaikolojia sasa wamebaini kwamba, mwanamke ana uwezo mkubwa wa kuvumilia kwenye hali ngumu kuliko mwanaume. Kwa hiyo, anaweza kuanzia chini sana, kwa kuuza muhogo wa kukaanga hadi akafika juu...
17 Reactions
113 Replies
10K Views
Wanajamvi jana usiku mida ya saa 4 nimempigia simu mpenzi wangu simu ikaita bila kupokelewa nadhani alikuwa ameshalala,nikaamua kumtumia sms ya kumtakia usiku mwema na nikamwambia simu yangu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mara nyingi nimekuwa nikisikia maoni na mitizamo ya watu kuhusu uvaaji wa vyupi na boxer kwa wanaume. Baadhi ya watu wanasema vyupi vinaharibu uume na kupunguza nguvu sabau ya joto na kumbana...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Siku ya tukio,baba aliaga asubuhi kuwa anakwenda kazini,baba ni mfanya biashara wa simu za viganjani " Ilipofika muda wa mchana mama yake na binti akamuagiza aende kwa rafikie mama yake ili...
3 Reactions
42 Replies
11K Views
Dah! kila siku zinavyozidi kwenda ndo maadili yanaporomoka.... weekend nilikua mahali kuna vijana kama wanne hivi wote wanaume....wamekaa kaunta wanataniana kuhusu wake zao......Mmoja kati yao...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mara nyingi nikitaka kushiriki tendo la ndoa anakuwa na sababu nyingi, mara sijisikii,mara nausingizi, yaani kwa ujumla hapendelei kunipa ninapotaka kuwa naye, nifanyeje sina ujanja natafuta...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
  • Closed
Hii si Tamthilia na wala si swala la rafiki yangu kama ilivyozoeleka jukwaa hili watu huogopa kusema ni wao ndio wahusika. Hili linaihusu Familia yangu halisi. Kwa sababu mtandao huu unasomwa na...
4 Reactions
109 Replies
11K Views
Wajameni Mimi nilikua mwasilika wa hadithi za Willy Gamba. vitabu vyote nilivipitia vyote isipokua kile kilichopigwa marufuku cha Hujuma. Leo niwakumbushe kidogo wahusika KIKOMO mwadui shinyanga...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Je kama umeoa na bahati mbaya sehemu yako “nyeti” ni ndogo sana, je mkeo akidai talaka kwa kigezo hicho atakuwa amefanya makosa. Au mkeo sehemu zake “nyeti” ni kubwa sana je mmewe akiomba talaka...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari Wana JF! Kuna kitu nimewahi ki experience nikiwa sekondari na chuo. Kuna jamaa mmoja alivyokuwa anapiga paper kama ikitokea hajamaliza afu msimamizi akasema "time is over"... jamaa anamwaga...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
huwa naskia kuhusu celibacy. Ni nini? Inasaidia nini? Ni vitu gani usifanye ili celibacy iendelee kuwa valid. Msaada tafadhali . . .
7 Reactions
194 Replies
11K Views
Wana JF, mlichukua muda gani kuanzia kukutana na mwenza wako/ kuanza kudate mpaka ndoa? Kuna correlation kati ya muda unaochukua kumfahamu mtu, na furaha katika ndoa? Je mlikutana na surprises...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
  • Closed
Kwa niaba ya wanaume wote wanaokosa starehe ya tendo la ndoa kutoka kwa wake zao kwa sababu mbali mbali, Kwa niaba ya wanaume wote wanaokosa nafasi ya kufuatilia wasichana kwa miezi sita kwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nauliza ushauri wenzangu...mie nimelelewa kijijini kwa desturi za kitanzania kwa misingi ya kuwa mtu wa kabila lako kama ni mkubwa basi baba, shangazi, mjomba, au mama...kama ni lika sawa basi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom