Jamani naombeni masses wenu wanajf I had a bf ambaye tulikuwa in relationship for 4 years ila we couldn't make it tutaachana nikaolewa na mwanaume mwingine,
The problem is I can't forget my ex...
Is it proper as a father to ask your daughter (above 18) if she as never Be Intimate before.
I'm talking of the girl child still under your roof as a single girl.
ni sawa kwa wababa kumuuliza...
wadau kwa nia ya dhati niliweka bango la kuhitaji mchumba hapa jf na kweli nilipata,kwa muda mfupi tu baada ya kukutana nilibaini hatuwezi kuishi,na kwa kuwa lengo ilikuwa nipate mke basi nikaamua...
Waswahili hulonga..."penye chokochoko.."
Usiache kupapulizia papoe, pakitulia...
Basi ujue mambo yamejipa na ni shwari..
Pakiendelea kufurukuta basi elewa kazi ipo
Wajamani, "it feels good 2 know...
Mimi na wife wangu tuna miaka mitatu na zaidi sasa tangu tufunge pingu za maisha. na ni mwaka wa tano tangu tuwe wapenzi.
Ninamuamini saaana na yeye ananiamini saaaana tu. Huwa sikagui simu yake...
Ni zaidi ya miaka miwili nimekuwa kwenye mahusiano na mwanamke ambaye daima huwa ananambia kuwa hana mume. Jana nikakutana ma rafiki yake ambaye yeye ananifahamu mi simfahamu. Nikasikia ananiita...
habari wana Nzega!
Natafuta kampani ya wana JF waliopo Nzega.....iwe wa kiume au wa kike haina shida.
Nina miezi 6 tangu nimefika nzega ila niko bored ile mbaya.
nahitaji kampani kwaajili ya...
Kuna hekima kubwa ya kuishia nje wakati mkeo ana muona daktari. Au mkeo kubaki nje wakati unamuona dacktari. hii ni kwasababu uchunguzi mwingine nadhani haufai mkawa wote. Kwamfano, kipimo cha...
Nimekutana na rafiki yangu leo asubuhi huku akiwa na bashasha jingi usoni. Nikataka kufahamu, kulikoni. Akanieleza shemeji yako wiki iliopita kutwa alikuwa anakichefuchefu sasa tumetoka hospital...
wana jamvi wa mapenziWahindi mara wanapomaliza ku do:wanapongezana na kuulizana lini wata DO tena,,Wazungu nao baada ya ku...,huulizana kama wameenjoy......lakini hapa wabongo wakimaliza...
jaman dunia inamambo! mke wangu alikua anakuja narafikie hm cha ajabu rafikie alikua mtu wautani sn kama nilivo me. siku hiz haish kunipigia cm mpaka sa 6 ucku na me np mbali na wife kwan np...
mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 26.kuna swali huwa nina jiuliza sana ila nakosa jibu.nilipokua boarding ya wavulana niliona vijana wengi wakilala wanaweka mkono ndani ya boxer,na hata...
Shikamooni wanajamvi,wadogo marahaba.Natumaini wote mchana mmeuona kama hujauona bado karibu lunch kwa mama mremboo.
Nisiwapotezee muda niende streit tu ze point. Huyu kijana nimefanya maamuzi...
:welcome:Katika ulimwengu huu hususan nchi ya Tanzania kila mtu anacho kitu akipendacho kuliko vingine
Naomba kuuliza ni starehe ipi ambayo imeweza kuteka akili za watu wengi (majority) ambayo kwa...
Scott Peterson....
Amber Frey nyumba ndogo ya muuaji Scott....
Enzi ya uhai wa Laci Peterson
Scott Peterson akiwa na mwanasheria wake Mark Geragos
Scott Peterson
Mnamo Desemba 25...
Wakuu,
Habar kutoka A town ni njema sana
Huu ni Mkasa unaweza kuita Kisa kilichompata Msela wangu Sam.
Sam ameoa na Shemeji ni Mjamzito, 7 - 8 Months.
Jirani ya Sam kuna Mdada ame deliver siku si...
Diana na Gidion (si majina halisi) ni marafiki wa tangu utotoni,urafiki wao sasa umekua hadi kuwa wapenzi! Naam ni wapenzi,ambao vijana wengine wanawamezea mate! Wanavyotembea,wanavyojaliana,na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.