Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jamani Hii siku ya Ukimwi duniani umejipangaje mwenzangu.Na takwimu zinaonesha hakuna familia/koo hapa nchini Tanzania ambayo haijaguswa na tatizo hilo. Chukua hatua hizi kuahikisha unajipa furaha...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi ni kweli katika kuchagua mpenzi eti kiwango cha elimu si kitu cha msingi cha kuangalia?
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Wazima wana jamviiiiiiii?????!!!!!!???? Kuna rafiki yangu ana mtoto wa nje ya ndoa, huyu mtoto amezalia baada ya yenye kuwa ameshaoa,yule mwanamke aliye mzalia huyu mtoto wake anataka kumpa...
3 Reactions
172 Replies
12K Views
Anazo sifa ambazo kamzidi mke wako kwa mbali. Ukianzia Upeo wake wa kimaisha wa kawaida, ustarabu wake na hasa ana vitu ambavyo ulikuwa una wish mke wako awe navyo vipo kwake. Na mda mwingine...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
jamani naombeni ushauri nina dada ambaye nilikuwa na uhusiano naye , mbaya zaidi ameanza kujitambulisha kwa wazazi wangu kuwa mimi nimeshamuoa na ananifuata hadi ofisini akisema amewambia wazazi...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Ni mtoto mweusi wa kiafrika mwenye umbo zuri lenye uwezo wa kugonganisha magari..urefu 6'2'' hivi, mwembamba kiasi, yani ni mzuri zaidi ya neno beautiful lenyewe,.. Nilikutana naye mara ya kwanza...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Serikali mkoani RUVUMA imesema kuwa mtu yeyote atakayetoa taarifa juu ya watu wanaowarubuni wanafunzi wa kike maarufu kama 'MAFATAKI' Atapewa zawadi ya shilingi elfu ishirini keshi, iwapo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Heshima kwenu wanajamiiforum. Awali ya yote naomba nianze kwa kudeclare kuwa ni mara yangu ya kwanza kuweka bandiko humu. nimekua nikifuatilia mijadala kwa muda mrefu kama Guest na sio mwanachama...
0 Reactions
49 Replies
12K Views
Baadhi yetu tumelelewa na kukutana na mazingira yaliyotufundisha hivyo kwa hiyo ndivyo tunavyoamini. Tunaamini kwamba tunapooa au kuolewa tunafanya hivyo ili kushiriki tendo la ndoa kama dhana...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
CAN TWO PEOPLE BECOME FRIENDS AFTER HAVING SEX MORE THAN OUNCE? JE WATU WAWILI WANAWEZA KUWA WAPENZI TENA BAADA YA KUFANTA MAPENZI ZAIDI YA MARA MOJA? Let me hear you :A S-rose::A S-rose::A...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
halo wanajf mimi huwa najiuliza sipati majibu,kwa nini siku hizi wanaume wengi sana wanajiuza kwa wanaume wenzao?nini kinachangia ushoga huu kukua kwa kasi?pia hata wanawake wengi wanataka kuliwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimetafakari sana wakati nataka kulileta jambo hili kwanu.Lakini nimeamua kulileta hapa kama lina ukweli basi wale watakaoona linafaa waamue..Pia linaweza kuonekana udhalilishaji au kituko kwa...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Matatizo ya ndugu au wazazi kuingilia ndoa ni suala lingine linalotajwa sana katika kuvunjika kwa ndoa nyingi. Bila shaka wengi wetu tunajua kwamba mila na desturi zetu (ni potofu, katika hili)...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wivu ni kipimo cha mapenzi. Na mapenzi ni uwekezaji. Hivyo kuna uhusiano wa karibu sana kati ya wivu na uwekezaji. Usipowekeza hisia zako kwa mtu huwezi kuwa na wivu na wale huwezi kumpenda...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
mimi ni mwanajamii mwenzenu naomba msaada wenu wa kimapenzi ninja mpezi wangu ni muislam mimi ni mkristo tunapendana sana ila wazazi wake hawataki awe na mkristo sasa nifanyaje
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF katika pitapita zangu nimekutana na hii picha ya mwanchi kapigilia vibwalo vya jeans inayozingatia sera za Uwazi na Ukweli, tafadhali nawe shuhudia!!!
1 Reactions
40 Replies
4K Views
kwa siku za karibun hili jambo naona linakua kwa kasi sana. Wadada wengi wanapenda kuwa au kujiita wasagaji. Mara nyingi imekuwa kitu cha kawaida ktk mitandao yao ya kijamii au mitaani ktk...
0 Reactions
89 Replies
15K Views
Wakubwa zangu shikamooni! Wera weraaaaaaaaaaa!!!!!! Mpoooooooooooo!!!! Fupa lililomshinda chiwawa kwa Fisi ni kama Big G tu!!!!!!!!! Lile Zee letu la Ukweee, zee la uhakika! Papaaaa mutambuzi...
9 Reactions
78 Replies
5K Views
Back
Top Bottom