Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wanajamvi salamu kwenu!! naombeni mnijuze kwa mtu anayejua sheria ya kazi / sheria za uzazi kuna mtu kanieleza jambo ambalo limenitatiza kuhusu likizo ya uzazi kwa wanawake! Ni kweli kuwa eti...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
wakuu mwenzenu nina tatizo, kila kona nikipita naona mabango dawa ya kuongeza ukubwa wa uume, lakini sijabahatika kukutana na wenye uwezo wa kupunguza ukubwa wa uume, maana hilo hasa ndo tatizo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Inawatangazia dawa mpya iitwayo "MNASO" imetoa mafanikio makubwa kwa kuwanasa wagoni wake Temeke. Kwa wale wote wenye matatizo ya kusalitiwa na wenza wao wanaweza wasiliana nasi, email...
11 Reactions
43 Replies
6K Views
Habari zenu wana jamvini, Nimekaa kwa muda mrefu nikitafakari mwanamke gani niweze kumuoa ila leo nimeona ndo siku nzuri yakuweza kutaja ni mwanamke menye sifa gani ambaye ninamwihitaji. Sifa ni...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wanajf nisaidieni hapa, kuna dada mmoja alikua rafiki yangu, na nilimwahidi ntamwoa, urafiki ulidumu ndani ya miaka 4, wakati nikiwa chuoni nlitengana nae kutokana nlienda kusoma Dar yeye...
1 Reactions
78 Replies
7K Views
Mimi ni msichana nina miaka 27, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli,asiwe mlevi wa kilevi chochote,sichagui dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
TORY FUPI YENYE MAFUNZO KWENU WADADA Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile nyumbani tulikuwa tuna ng’ombe, niliiba maziwa kila siku na...
0 Reactions
27 Replies
42K Views
Kwenye mahusiano nimepita pengi kiasi. Na hapa nazungumzia uzoefu wangu binafsi ambao hata mimi unanitisha: Ni rahisi kumulika mwizi au kuujua uongo. Iko hivi, Ni kwamba naweza kuwa kwenye...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Clouds fm, wanapatanisha ndoa kati ya Tobby na Tausi, hivi kweli ndio njia sahihi.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
http://youtu.be/mYHfN5PsTkY
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwanza nawasalimia wandugu, Hvi huu mlipuko wa waganga wa kienyeji na vibao vya matangazo ndo ajira au njaa embu cheki hizi tiba... pata dawa ya 1.kuongeza uume 2.kufanya mke/mume anase akifanya...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wanajf Je kuna ukweli wowote, kuwa mwanawake anaweza kukaa muda mrefu bila tendo la ndoa (ku-do, ngono) kuliko mwanaume?. Sababu kuu ni kwamba kila mwanaume anaposafiri kikazi au ki masomo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari za wikend wanajamvi, jamani miaka kadhaa huko cku ya leo nilifanikiwa kuja duniani, sasa tangu niamke asubuhi naskilizia licha ya kupewa zawadi hata wishes za mdomo sijazickia kutoka kwa...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Mimi ni mpare na mume wangu ni mchaga (MMACHAME)....ndoa yetu ina miaka 6 na miaka yote tumeishi kwa furaha na upendo..Mumgu ametujalia watoto 2 mkubwa 5yrs wa kike mdogo 3 month wakiume...Toka...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Habari zenu wanaJf wenzangu. Juzi jirani yangu alirudi kutoka safari ya kikazi ambayo alikua huko mkoani Mbeya, alivyorudi alikua amemmiss sana mke wake kias ambacho alishindwa hata kuvumilia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Washkaji niaje? Hopin wekend inakwenda poa Washkaji, brothers, gentleman, hustlers and all boys around there let's love our ladies at our best,, hata kama life haiend tunavyotaka tusihamishie...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Mimi ninacho amini ni kwamba kiumbe katili sana duniani ni mwanamke...........na kiumbe mwenye huruma ni mwanamke.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna uvumi umeenea jijini Dar kwamba kuna mwanaume kanasiana na mke wa mtu wakati wakijamiiana. Sina uhakika sana na uvumi huo, lakini katika kukua kwangu nimewahi kusikia hiyo habari ya wanaume...
10 Reactions
50 Replies
5K Views
too sadi ila ni kweli. i thank God yameisha.
4 Reactions
75 Replies
8K Views
Habari wanaJF,I wish ningekapa babyMamaz,kwa kweli maana nimechoka na hawa mademu wa kileo,wanasumbua sana!! BabyMamaz mpo jaman??
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom