MUME AMWAGIWA MAJI YA MOTO NA MKEWE
KIZITO Mahamba (50) (pichani), mkazi wa Mwananyamala Mtaa wa Msili B jijini Dar es Salaam, amelazwa katika Hospitali ya Mwananyamala wodi namba 5A baada...
Jamani wanajf,nina suala linanitatiza sana kwa sasa.mmoja wa wahadhili wa chuo kikuu kimojawapo hapa jijini dar es slaam,amekuwa kwa kipindi sasa anamtaka kimapenzi mchumba wangu hali inayotishia...
Heshima kwenu wakuu..!
Kuna Dada mmoja huko Mwanza amenidokeza anataka kuachana na mumewe kwani mumewe kampa mimba mwanamke wa nje.
Ni long Story but kwa kifupi ni kwamba yule mke wa jamaa...
A man who is interested in a woman usually starts with a glance or look. If the woman acknowledges that look, the man is supposed to walk over to where she is and starts to get to know her. This...
jamani msaada
kuna jamaa nilim,pa lift baada ya muda nikasimama sehemu akaongea na binti mmoja nikasikia tu short time then wakaenda kwenye bajaji..akaoma nimsubiri afrikasana nikia nasubiri...
Your vagina doesnt have to smell like roses
Or be douched. Just because hundreds of products have been created to help you clean up your vagina, doesnt mean thats what men want. If you like...
:A S-baby: Ofisini kwetu kuna sherehe inayofanyika kuanzia saa 2 usiku nami inanibidi nihudhurie, sio ya bwana & bibi............. lakini ni lazima nirudi nyumbani kwa ajili ya kuoga na...
Nisaidieni jamani. Nilikuwa na msichana ambaye nilimpenda sana, lakini aliolewa wakati sikuwa na pesa. Huko aliko ananyanyaswa sana na mme wake. Siku moja alikuja kwangu amepigwa vibaya akiwa...
Wanaume siku hizi hujui yupi mwanaume wa kweli yupi mwanamme-jike.
In short wanawake siku hizi tuna wakati mgumu sana kutambua A REAL MAN.
Mwanaume kutwa yu salon - kuoshwa kichwa/nywele...
poleni na majukumu wana jamii forum,
Jamani kuna mkaka nilikutana kwenye basi tulikaa siti moja tukitokea mwanza tu darf, ilikua 2010, lakini katika stori za hapa na pale tukabadilishana namba za...
Kwa nini wanaume mnashindwa kuvumilia mkiona kitumbua hata kama mnajua kabisa madhara na kasheshe zitakazowapata
nyinyi, wake zenu, familia zenu, JAMII na wapendwa wenu?
Hamuwezi kuvumilia na...
Habarini boys and gals in here. Naombeni msaada. Leo nimepata dada wa nyumbani kutoka agency flani hivi Mwana Nyamala. Ni Msambaa kutoka Tanga. Naombeni kujua sifa za wasichana walikotokea huko...
Wanawake ambao hawajaolewa wengi wao ndio wanaongoza kutembea na waume za watu, kuliko wanaume ambao hawajaoa
kutembea na wake za watu, idadi ya kike ni kubwa na inazidi siku hadi siku.
Nini...
Habari barazani,
Hivi wandugu mwenzenu nina mambo yananichanganya sana....Hivi haya mambo ya wanamuziki wetu haswa hawa bongo fleva kuvaa visuluari vya kike huku BOXER {CHUP} zinaonekana ndo wana...
Kutokana matatizo ya ndoa yanayoikabili jamii kuzidi kuongezeka, nivizuri wanawake nao wakajitosa kuanza kuwa washenga. Mara nyingi ukimpata mwanamme mshenga, huwa haangalii mambo mengi kama tabia...
Inakuwaje mwanamke aliyeolewa (mke wa mtu) anakubali kirahisi kufanya mapenzi na wewe usiye mume wake? Hii yamaanisha kwamba
Hana mapenzi na mumewe?
Haridhishwi katika ndoa yake?
Amekupenda kupita...
Napita tu, ila nimeona niwaachie kaushauri kadogo.
Najua kwamba watu wengi uchukulia kama sifa kuwa na likitanda likubwa sana bed room, 6*6 au 6*5, Lakini kiukweli haya mavitanda makubwa ni moja...
Habari wana JF,nina kerwa sana na jambo hili kwa muda mrefu nimelileta kwenu ili nipate mawazo yenu,Mimi ni kijana nina mchumba ila tabia za mchumba wangu zinanitia mashaka mpaka nimeanza kuhisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.