Habari wapendwa,
mimi ni mdada wa miaka 29 nimeolewa nina mume na mtoto wa mwaka mmoja na miezi 7, tatizo kubwa sana, jumapili ya juzi mume wangu alinipiga na akanivuta nywere na kuniweka alama...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la TIENA MWAZEMBE mwenye umri wa miaka 28 mkazi wa kijiji Hangomba kata ya Bara wilayani Mbozi mkoani Mbeya amenusurika kufa...
Jamani wanajamiiforums nisaidieni ,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 ,ni muda mrefu sasa yapata miaka mitano kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa nishaurini nifanyeje watalaamu umri nao...
Habari wana MMU,
Waungwana husema ya kwamba, "Hasira hasara", na wengine pia wakatabanaisha ya kwamba, "Hasira za Mkizi,furaha kwa mvuvi". Binafsi kama ilivyo kwa wanadamu wengine nina kiboksi cha...
Habari wana MMU,
Hivi ni lazima ukitaka kumuonyesha mkeo kwamba unamjali umsaidie kazi za ndani? Mfano: kupika, kufua, kudeki na nyinginezo... hata kama wote mnafanya kazi?
Binafsi naishi na...
Samson alikutana na Delila chuoni, akampenda na kumweleza, lakini Delila akawa hajatoa maamuzi yeyote.
Wakati huo huo, Delila akakutana na Ibra, wakaelewana na wakaendelea na mapenzi yao...
Ndio. Kijana rijali na mtanashati mwenye haiba yenye mvuto. Anayejipenda na kupendeka. Yeye naye anaweza kujichukia nafsini. Hasa akipigwa vibuti mfululizo. Kiooni akijitizama huishia kujiona...
Naam. Usisikitike. Wala usilie. Sio kosa lako. Wala sio lake. Akikuona unamkumbusha mpenzi wake wa zamani. Japo hujamfanya lolote anakuona kama vile wewe ndiye uliyemuacha hivyo na kumuumiza. Kisa...
Wadau,
Nina demu mmoja ambae tunapendana sana kwakweli, na nlipanga awe aje my wife wangu hapo baadae. Demu huyu kwa sasa amesafiri hivyo nimebaki mpweke karibia mwezi mzima.
Sasa nikajikuta...
Ndoa nyingi zinavunjika kila uchao.Vilio vinaongezeka ktk mioyo ya wanandoa kutokana na kutoridhishwa ktk tendo la ndoa,maarifa mengi yanatolewa kuhusu kuridhishana mpaka mengine...
habari za jioni wanajamii? Nipo kwenye daladala natoka kwenye mihangaiko yangu hapa maeneo ya ubungo
kuna dada kaka jirani yangu kavaa umini a.k.a mini skirt wa kufa mtu na umepanda hadi taiti...
The Six most important words.
"I admit l have made a mistake"
The Five most important words.
"You did a great job"
The Four most important words.
"What is your opinion"
The Three most...
Mmekutana mmoja (Mke/mume) anazo za kutosha labda za kuzidi.
Mmoja anamwambia mwenzake wakubaliane, ikitokea wakaachana au mmoja akifa. Yaweza kuwa 'asiye nazo' ili amuhakikishie 'aliye nazo'...
Ni jambo la kusikitisha lakini ndiyo mambo yaliyotokea kwetu wiki iliyopita.
Mwanamke mmoja alikuwa na hawara wake na mume wake ni mtu wa biashara kwa hiyo mara nyingi yuko safari. Mume wake...
Haya hapa natetemeka nimekwenda kwa mama mkwe Ana miaka 70 nimemkuta anafanya mapenzi sebleni na mume wa best wake.hatupigagi simu tukienda kwake na nilienda hapo kumpelekea mzigo.waliniona na...
Nilimtembelea jamaa yangu mmoja,wakati naingia getini kwenye nyumba anayoishi,nilimuona akikurupuka na kuingia ndani,nilipokaribia eneo alilokua nikaona kuna vyombo jamaa alikua anaosha,kuingia...
Habari
Inawezekana hili lilishawahi kujadiliwa. Kama ndiyo nikiwekewa link itakua poa. Kama halijawahi kujadiliwa nitashukuru kupata ushauri wenu.
Je mkaka unaye mdate mdada anayekuzidi kipato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.