Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wanaume wanahitaji swicth moja tu, lakini wanawake wanaihataji switch nyingi sana pamoja vikorokocho kadhaa kabla hawajafika.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile nyumbani tulikuwa tuna ng’ombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea kwao. Akanenepa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi naombeni mnishauri............... kuna mshkaji wangu ana aibu kwa wadada kupita maelezo haswa inapokuwa katika swala la kuapproach! nambieni namna ninavyoweza kumwondolea hiyo hali...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
wana jukwaa habari za michakato naomba ushauri wenu juzi jumamoc trh 10 ya mwez na mwaka huu muda wa saa8mchana nilibipiwa na new number baada ya kuigia akapokea msichana na nilipo muuliza we...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Nimehamia nyumba hii sina zaidi ya miezi miwili, Huyu mama bado ni binti na mtoto wa miaka mitatu hivi, tunaishi mimi na yeye nyumba nzima. sasa vituko haviishi mara atoke chumbani kwake kifua...
1 Reactions
29 Replies
8K Views
inauma sana upo ndani ya ndoa mme wa anawahi kumaliza namaanisha anatumia sekunde kumaliza kuunganisha hawezi, akirudia anamaliza ndani ya sekunde 2, anakuacha ukiwa bado na ny**********ge za...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Kikojozi, au Nocturnal enuresis kwa Kiingereza Kikojozi ni jina analopewa mtoto anayekojoa kitandani hasa wakati wa kulala. Ni kawaida kwa watoto walio na miaka 6 kukojoa wakiwa usingizini...
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Jamani ukisikia Mumeo au mkeo ana kucheat au affair.please leave ukikaa ndio yatazidi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani,ukistaajabu Ya Musa,utayaona ya Filauni.. Kuna Jamaa yangu Mmoja,alikuwa na Mahusiano na Demu mmoja hivi..Katika Mahusiano yao,hawakuwa na Lengo la kuoana zaidi ya Burudani tuu..Kwa...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Je boss wako akutake utamkubali au
2 Reactions
82 Replies
6K Views
A man asks, “I know you’re crazy about that little daughter of yours, Steve. What are you going to do when she starts to date?” The father replied, “I imagine that I’ll take the first young man...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna tafiti ndogo ambayonifanya inaonyesha kuwa viongozi wengi wa inchi wameoa wanawake wenye elimu ya kati kama vile certificate au diploma mfano mzuri ni Mr. president,mawaziri wakuu wote...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
This is serious, there's this beautiful mchumba of mine vry beautiful I've been dating for close to 2 months now. She's been quite loving and shows so much care and affection. I really love her...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
hallo wana jf kunarafiki yangu wa kike ana mpenzi na mahusiano yao yana mwaka moja analalamika mpenze wake hamjali kwalolote.huyu dada hajui kuomba ni mtu ambaye anayesubiri lamda mpenzi wake ampe...
0 Reactions
66 Replies
6K Views
Nilipokuwa nachungulia kwa nje kupitia dirishani mke wangu akiwa anaosha vyombo kwa njee. Alipita kijana moja, ile mke wangu kumuona tu, akawa kama kabanwa na mkojo. Mara glass iliyomkononi mwake...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Expired
0 Reactions
78 Replies
5K Views
The Top Ten Myths of Marriage|PREPARED BY ELMA FRANK SILKILUWASHA AND HARRIET BUJIKU A discussion of the most common misinformation about marriage. 1. Marriage benefits men much more than...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
KIKWAPA HUSABABISHWA NA NINI? Kawaida mwili wa Binadamu una harufu nzuri sana ukiwa msafi na ukitunzwa vizuri na naturally Mungu alituumba kila mmoja ana harufu yake nzuri kiasi kwamba hata...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari za jioni wana JF, Birthday ya mpenzi wangu is around the corner. Nataka nimnunulie saa nzuri ya mkoani. Naombeni ushauri wa aina ya saa na bei then ntajipanga from your opinions. Asanteni...
1 Reactions
38 Replies
16K Views
Back
Top Bottom