1. Start each day with a kiss.
2. Wear your wedding ring at all times.
3. Date thrice a week.
4. Accept differences.
5. Be polite.
6. Be gentle.
7. Give gifts.
8. Smile often...
Heshima kwenu wadau,
Hivi inakuaje kwa vijana wanaoanza maisha especially kwenye career kuwasema sema wanatumia vipato vyao vibaya,, you can't imagine mwingine anaponda dogo unatumia hela...
Sasa hivi wale wakware wa wake za watu, wamekuja na mbinu mpya. Wakifika nyumba ya wageni, wana test kwa kidole ili kuangalia kama imetegwa au ipo fresh. Kidole kikitoka tu, mambo poa. Kidole...
Heshima kwenu wana MMU
Hakika mapenzi ni mchezo mtamu sana hasa pale inapotokea wawili walioshibana haswaaaa.Nilimpenda sana Mpenzi wangu H,na mimi niliamini ananipenda kama nilivyompenda hii ni...
Khabari za jioni! (Leo nipo kimajonzi zaidi)
Wakubwa zangu Shikamooni!
Siku si nyingi nilipata kusimuliwa MKASA WA KUTISHAAAA kuhusu shosti mmoja hivi, ambae hakujipanga mambo yake mwishowe...
I shopped daughter for having sex with her long-lost dad
One of the most disturbing stories you'll ever read
Innocent cuddle ... Andrew Butler holds two-week-old Nicola
PROUD mum Katrina...
Wataalam mpo pouwaaa...
Ebwana mi nina Mpenzi wangu nampenda sana real frm my heart
Ananiambia ana mimba nimefurahi na nipotayari kwa hilo bt simuamini totaly maana najua Wadada warembo niwazuri...
Mwaka 1990 wakati nafunga ndoa na mume wangu sikutarajia kwamba , ningekuja siku moja kumfumania na mwanamke yeyote. Alianza kunisimulia mama huyu, ambaye hapa ningependa mumfahamu kama mama...
eti kisa ana family conflict mchumba wangu ananiomba nimpe likizo ya kimapenzi kwanza asolve hayo matatizo then atanirudia yakiisha looh tamthilia zimewaharibu sana mabinti zetu wa kiswahili...
haya haiya sasa muda wa malovedovee weekend leo, hii ni to all the gentle mans and womans wa huu uzi before kwenda kwa nightmaclub, cinemas, dinner, mkeshani, beach, wale walevi, wale wa...
Kuna mambo yanakuboa tu ukiwa na mmeo/ mkeo au bf/gf ila huwezi kumwambia japo vinakuboa kinomaaaa!!!!
1. I wish nikae na hiyo simu yako nijue yote yanayoendelea ukiwa mbali na mimi.
2.I wish...
Wanajf habari zenu? Naomba 2jadili jambo hili. Katika pitapita zangu kwnye ktk kutafuta mkate wa kila siku nimekuwa nikiktana baadhi ya wanaume wanalalmika kuw kwao tendo la ndoa limekuwa janga la...
Wakienyenyi ni wale wa uswazi....makazi duni,maisha duni,siyo educated na hawana future yoyote.
Hawa....daladala,mlo mmoja,simu za mchina,kulundikana chumba kimoja na kupenda sherehe she
rehe...
Ebwana mambo vp
Unapohic mpenzi wako haeleweki na unampenda kwa dhati nivizuri kujitoa mapema kwa kummwaga ama kujikaza kusubili kumwagwa ila mpenzi wako bado unampenda zaidi.
Naombeni ushauri!!
Wana jamii, how does it sound to you kwamba mnamchangia mtu mchango wa harusi alafu kadi za mwaliko hakuna, wal picha za kithibitisha kuwa alioa hakuna.
Hapa kazini kwetu watu wameanzisha uwizi...
Yaani hawa wasichana paula Ana miaka 38 huyo mwingine Kelley jill 37 wanamgombania babu mwenye miaka 60 .hawa ni wake wa watu na wasomi .jill mzuriiii kuliko broadwel.wanaume mtakoma mwaka huu
"My name is James. Im a typical Tanzanian guy and I cherish my Fridays a lot; I get to hang out with the sickest guys every Friday night and secondly, Its another escape from my nagging and...
Hi members i'm new in dis forum.kuna dada mmoja nilisoma nae o-level baada ya kumaliza tulibadilishana cöntact na kuanza kuwasiliana,bfr hapo nilikuw nampenda lkn ckuwah kumtell nikiw a-level...
Salaaam mabibi na mabwana
salam marafiki zangu,,
tupo na shughuli zetu za kujenga taifa letu kama kawaida
mdada mmoja wa rika lapata miaka 33 anatoa simulizi kwamba ana jirani yake amepatwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.