Kenya leo wamependekeza sheria hii kuwa wewe kijana ukiishi na mdada ndani ya chumba chako kwa miezi 6 "USHAOA TAYARI" Wanakupa cheti cha ndoa.
Je, changamoto nini hapa kwa nchi ye2 kuhusu hili...
Sijawahi kusikia mwanaume Ana lalamika kuhusu mama mkwe ila wanawake wengi mama mkwe inakuwa kelele kwa nini?.mimi mama Mkwe wangu ananipenda ila sina mpango nae
Mpaka sasa hivi I'm still shocked.paula alikuwa anamtishia maisha mwanamke mwingine ambae ni kimada wa petraus.sasa inakuaje mwanamke unajua wazi mwanaume Ana mke na wewe kimada una mume unaanza...
Habari wana MMU,
Ivi mume anapokuuliza maswali kama "Ivi mke wangu ukisikia nna mwanamke au nimeoa utajisikiaje'?
anamaana anakutayarisha au anakuharifu au anakupima utakaposikia habari hizi?
au...
Chama cha makahaba chasajiliwa rasmi
ZAIDI ya makahaba 2000 nchini Malawi wameungana kwa ajili ya kupinga manyanyaso wanayoyapata na kuboresha mazingira ya afya, baada ya kuzindua rasmi chama...
Huyu msicha nimekua nae michezo yote ya utoto nimecheza nae! Ila alikuja kuwa Malaya sana baada ya mimi kuondoka hapo niliopo kua na kaa lakini habari zake zote niliambiwa na baadhi ya matukio...
Habari zenu wapendwa:
Toa maoni ama changia mada kuhusiana na hili:
Mi ni Sistar zangu wa damu wa 3 tunashare Mama mmoja Baba tofauti, Mashallah wanajiweza baba yao amefariki akiwa safi...
Habari zenu?
Kama uko single na hutajali naomba kampani yako, ni kamapani ya mambo yooote isipokuwa sex tu. Mambo kama kuhang out pamoja, kwenda church kama ww ni muendaji na kubadilisha uzoefu...
mpenzi wangu haeleweki nikimpigia simu, tupange lini tuonane ananijibu kuwa hana muda siku nyingine anasema ana kazi nyingi mara anafua mara anaenda kanisani alimradi visingizio kibao :A S-baby:
Niko pub flani ya maeneo ya home uku navuta mida.. Mara ghafla mmama m1 kambwagia jamaa watoto wawili m1 wa miaka 4 hivi wa kiume n mwingine wa kike mdogo ka mwaka na nusu hivi.. Jamaa alikuwa na...
Wandugu nimevumilia mwisho nimeshindwa wife hajaridi nyumbani toka jana aage anaenda mbagala kwa dada yake na kwenye cm hapatikani kabisa na hata dada yake anadai hakufika nimekumwa mwoga hasa...
Ni mama wa watoto wawili,nimeolewa miaka 8 iliyopita, lakini mwaka huu mume wangu akazaa na mwanamke mwingine kwa madai kuwa mimi sio wa kabila lake, ameondoka ndani kahamia huko anafanya...
Kuna mstari mwembamba sana kati ya mahitaji na madai hasa kwenye suala la mahaba na unyumba. Mtu akihitaji (sana) mapenzi ila akawa hapewi basi huishia kudai na madai hayo ya kutendewa haki...
Kuna ukweli wengine wake zao upenda vijana lakini ukijua ni mke wa mtu jihadhari hata kama anakupenda huu ni ushauri tu ingawa mida hii nimetumiwa msg na mmtu ati kuanzia leo
ukihisi huyu mke wa...
Jamani mimi nimempta demu wa kilangi..
ana sifa zote za kuolewa,
ila kwetu wananiletea ngumu eti kabila lile si zuri kwa kuoa..
ukweli mie silifahamu kwani sikutaka mke kwa kigezo cha kabila..
ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.