Peopleeeeeeeeessssssss!!!!!!!!!!!
Wakubwa zangu shikamooni!!!!!!!
Aisee hizi mambo uko na mtu anakaa kwao, wajitia mwanamke na maendeleo kumshawishi ajitegemee na kuanza maisha zimenitokea...
Habari zenu bandugu
Naomba msaada maana inanila kichwa
Nilikua na bf wangu since cjajua maana ya mapenzi,I real loved the guy ,nakumbuka mara ya kwanza kukutana nae machoni nilikua form one ye...
Heshima kwenu brothers and sisters
Nina jambo linanisumbua sana kutoa ushauri ,, jamaa yangu ambaye mama yake alipata matatizo akili kama ikavurugika, yaan hana kumbu kumbu yeyote huyo mama...
habar wadau.naombeni ushauri nilikuwa na boyfriend wangu lakini 2liachana yapata mwaka sasa na akawa na uhusiano na rafiki yangu,sasa ananipiia cm anaomba 2rudiane nae kwa madai kuwa amegundua...
Jana kumejitokeza uvumi kuwa kuna mwanamke na mwanaume wameng'an'ganniana baada ya kufanye mapenzi . Kila mtu amekuuwa na maoni tofauti wengine wakishangilia na wengine wakilaani.Hivi tujiulize...
Nilisikitishwa sana jana wakati nasikiliza redio moja ya kenya ambapo jamaa mmoja mkalenjini kwa kabila anayeanzia na jina la Joseph (ubin wake nimeusahau) alipokuwa akielezea kwa uchungu mazira...
Adabu za kizamani kwa baadhi ya maeneo ilikuwa ni pamoja na watoto kutokula vyakula fulani fulani
Vyakula hivyo ilikuwa ni kwa ajili ya baba mwenye nyumba au watu wazima
Kule nitokako ilikuwa...
Eti jamani nisaidieni kujua hili, kwenye siku za hivi karibuni karibu harusi 75% nilizohudhuria au kusikia basi bi harusi wanatoka Arusha au Kilimanjaro. Kunani huko siku hizi wanaume wote...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, sijaoa kwasababu bado nipo shule,ninaisha kwa kakaanga. Kila ninapopiga stori na shem hupenda kunisogelea nakufanya jitihada za angalau kunigusa, pia huja...
She is the one who agreed to date me for the last 3 years ago,ananipenda sana na cku zote yupo pamoja nami ktk shida na raha,inapobidi kucheka huwa 2nacheka pamoja na inapobidi kulia huwa twalia...
Leo nimeona niseme jamani maana inaboa sana, baadhi ya Tax drivers wamekua tishio kwa mahusiano ya watu mtu, si kijana wala mzee, tabia ni zile zile........ mrembo asikodi gari zenu kosa mnataka...
Jamani naomba kuwauliza swali linalonitatiza sana.
Miaka ile ya themanini wakati mi niko mdogo kule Kinondoni kulikuwa na tajiri mmoja mwenye magari mengi aina ya scania 111, jamaa mwenyewe...
Nilikuwa na mpenzi toka mwaka 2006 nimeishi nae nikiwa chuo na bahati nzuuri tukapata mtoto lakini si bahati akafa baada ya miezi michache!, nilibahatika siku moja kwenda mkoani kusalimia wakti wa...
Habari wandugu
kwa niaba ya rafiki yangu naomba mchango
"Nina BF ambaye ameniletea posa home na kupangiwa mahali wikend iliyopita
kabla ya kupanga mahali home waliniuliza nikawatajia kiwango...
HABARI zenu ndugu zangu wana jamii forums.... Natumaini mpo salama kama ni mgonjwa pole sana
Nina mpenzi wangu ambaye yupo mbali kidogo na mimi kwa mwezi sasa kutokana na masomo[chuoni]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.