Hiv jamani mbona bongo tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na sura zao mbaya. Hii inafaida ya kupunguza USHOGA. Lakini hasara pia inaongeza biashara ya ukahaba...
Hellow wadau,,,,'
Leo katika peruzi peruzi yangu nimekutana article ya mtafiti na mwanasaikolojia mmoja anaitwa Prof:Hellen Zsigmond,anasema
katika utafiti wake wa miaka 8 amegundua 20 sex...
Jamani niki post tu kwnye thread yeyote akaunti yangu ya JF inaji Log out outmatically. Haka kaugonjwa kameanza jana na kana tokea pale ninapotumia kilaptop changu. nikitumia Li desk top la...
Hey wapenzi niliwamissije? hebu plz nisaidieni mawazo wajameni!
Ero na kihere here changu cha kumiss sex na staili zote matata kumenifanya niwe na husuda
ya kufanya sex non-stop. Nikaweka...
Matumaini yangu kila mtu yuko poa wanajamvi. . . .
Niko huku kusini mwa Tanzania for almost a month sasa hivi, kuna jambo nimevumilia huku toka nimekuja, labda naomba niwashirikishe wadau.
Yaani...
habar wadau.naombeni ushauri nilikuwa na boyfriend wangu lakini 2liachana yapata mwaka sasa na akawa na uhusiano na rafiki yangu,sasa ananipiia cm anaomba 2rudiane nae kwa madai kuwa amegundua...
Kwa waliosikia yaliotokea huko temeke hospital mwizi mmoja wa mke wa mtu amekutwa akimfanya kinyume cha maumbile mke wa mtu na baad aya hapo machine ikakataa kutoka na mpaka sasa wameelekea...
Samahani sipokuwatetea wanaokula wake za watu ama waume za watu
lakini ni vyema tukawakana sawa m naamini hata kama kuna watu wanapenda wake za waatu ama binti wanapenda waume za watu kuna baadhi...
jaman wana jamii hiv hz news za Temeke kwamba kuna watu (mme na mke) wame nasana kama mbwa baada ya kuvunja amr ya sita... Mwenye more info jaman naomben...
Rafiki yangu hapa ofisini, amekuja kuniomba ushauri leo. Jana alipo rudi home, alimkuta mke wake kwenye dimbwi la mwazoi. Majibu ya mke wake yalionyesha kunawalakini. Mida ya usiku alikagua simu...
Number 10
Not enough sex
Remember the good old days when you could stay up forever fooling around? Then responsibility entered the mix -- and kids -- and before you knew it, sleep was more...
Hivi ushawahi kucheat na mbaya sana unamcheat mtu ambaye unajua she/he loves u na yupo committed kwako na pengine unajua kabisa hajawahi kukucheat?? How do u feel???????Uzoefu wenyu!!!!!!!!!!
Wakulu naona hili linahusiana nzaidi na mahusiano na urafiki,
Nimepata wazo mi na wenzangu kadha wa kadha kuwa ingekuwa vizuri kama siku zijazo sisi kama marafiki basi tukajiopiga piga tukaenda...
Mapenzi ndoa na mahusiano kwa ujumla yameonekana kuwa na nafasi kubwa sana katika maisha ya wanadamu huku yakiwagusa watu wote bila kujali jinsia rangi,umri wala cheo,lakini nashangaa kuona hamna...
Nakaribisha kukosolewa, huu ni mtazamo wangu tu, na wewe pia waweza weka wako.
GHARAMA ZA KUOA
GHARAMA ZA UZINZI
· Kujitambulisha .. 20,0000/=
· Maandalizi ya mihadi...
Nawasalimia wana JF.
Nashukuru sana kwa kunipa ushauri kipindi kile nina matatizo na mchumba wangu. Nafurahi kuwa ushauri ulisaidia na nilishawafahamisha kuwa tunaelekea mipango ya ndoa.
Kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.