Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Za mid night wapendwa. Leo usiku huu nilikuwa na maumivu yangu moyoni, someone hurts me somehow. I was crying though not loudly Sasa mwanangu wa 8 months alikuwa na kaka zake kabebwa, then...
7 Reactions
47 Replies
6K Views
Heart touching story My mom only had one eye. I hated her She was such an embarrassment. She cooked for students and teachers to support the family. There was this one day during elementary...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna wakati mtu anajikuta anajibizana vibaya na wakwe kwa sababu mbalimbali. Wanaweza kuwa ni wazazi wa mwenza wako au shemeji na wifi zako. Jamii zetu zinatilia mkazo sana heshima kwa wakwe...
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Kuna mama mmoja (jina ninalo) ana tabia ya kutafuta visa na mikasa kwa kuchunguza maisha, makosa madogo madogo ya ndugu jamaa hasa wa upande wa mumewe. Visa hivi huanza mara tu baada ya ndugu hao...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Henry amejikuta mikononi mwa vyombo vya dola baada ya kumchoma mkewe sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia pasi na kumuua mtoto wake wa mwaka mmoja kwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Being in an open relationship is very a mixed blessing. While in some respects it is the perfect solution for those of us who want to be in a steady relationship but are afraid of commitment, it...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimeamua kuuliza swali ninalokwenda kuuliza kutokana na ndoa 4 ninazozifahamu kuvunjika kutokana na wanawake kusababisa kuvunjika huko kwa kutaka matumizi ya mtandao.Najua ndoa hizo ni chache sana...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Jambo hili limetokea wiki iliyopita,na liliyemtokea ni bro wangu(siyo wa tumbo moja) Aliachana na mkewe kutokana na mke huyo kutokua ametulia,waliachana kwa bifu sana.Miezi sita baadae bro alioa...
2 Reactions
74 Replies
6K Views
Habari jenyu bhanaa!! Wana JF nina imani sote tupo poa, kwa wale wenye matatizo mungu awape faraj. Binafsi nimefurahishwa na cahangamoto mbalimbali kutoka kwa wenye busara hasi na chanya zilizomo...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
Hivi bikra yaweza kutoka bila kuingiliwa kimwili? Great thinkers nisaidieni
0 Reactions
63 Replies
10K Views
Aliyekuwa boyfriend kaoa tokea January this year, lakini nimeshindwa kuabsorb hii hali, mbaya zaidi tunaishi mji mmoja so mara nyingi namuona. Wadau kama ilishawahi kukutokea, ulichukua hatua gani...
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Wakubwa zangu shikamooni!!! Peoples Niajeeeeeeee!!!!!!!! Hivi ishawahi kukutokea una mtu wako wako wa kudumu na unampenda sanaaa ila ukakutana na mtu wa jinsia tofauti, basi ukamuadmire...
7 Reactions
59 Replies
5K Views
Kuna tabia au mazoea mapya siku hizi ambapo wazazi wanaamua kupeleka watoto wao shule za bweni. Wengine wanafanya hivyo kuanzia elimu ya msingi (sijui kama kuna chekechea za bweni). Utakuta...
4 Reactions
103 Replies
18K Views
Naomba kuuliza wanaJamvi wenye watoto. Zile kamba nyeusi wanazovalishwa watoto wadogo viunoni na wakati mwingine kwenye mikono huwa zina kazi gani? Mungu akijalia nikaja kupata mtoto na mke wangu...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
A lot of men and women are moving around with wounded hearts. Who wounded you??? .. know whats keeping you from moving on with your life you have already survived it let go forgive and make...
25 Reactions
156 Replies
10K Views
Nasoma nje ya mkoa wa DSM, mke na familia wapo DSM, weekend moja nikaamua kufanya suprise kumtembelea wife na familia bila kumtaarifu kuwa nakuja, sasa kumbe naye siku hiyo hiyo naye amepanga kuni...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Inanikera na leo imenikera zaidi hadi nasikia kukereketwa kooni! Jamani hapa ninapoishi kuna jirani ambaye ni baba mwenye familia ya mke na watoto wanne. Kati ya watoto hao mmoja wa kufikia ni wa...
1 Reactions
79 Replies
7K Views
arusha, baba mngoni, mama mchagga .........duh nimeisha..........wana jf nina mchumba na staki acha naye kwa vyovyote ila kuna mkaka yupo floor ya tano ni mzuri na mpole kupindukia.Nahisi...
5 Reactions
145 Replies
11K Views
Ndugu zangu akiwemo mama mzazi wamenichukia kwa kumkabidhi mke wangu tuliyeishi naye miaka 16 kusimamia biashara niliyoanzisha na mke wangu. Wana Jf nisaidieni kwa maoni, hili ni kosa au...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Wadau mimi nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwa muda wa miaka miwili sasa, ila tupo mbalimbali yeye yupo Dar mimi nipo Dodoma, nimekuwa nifanya kila linawezekana kumwonesha kuwa nampenda...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Back
Top Bottom