Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari za muda huu waungwana? Nimepokea taarifa asubuhi hii kuwa member wenzetu Madame B na Kijino wamefiwa na baba yao. Taarifa niliyoipata toka kwa Madame B mwenyewe inafafanua zaidi kuwa...
3 Reactions
198 Replies
13K Views
Katika uzi huu, unaweza kuweka uzoefu wako kuhusu mambo ya kuzingatia unapokuwa kwenye mtoko (Date). Si lazima iwe ni yale yanayokera, bali unaweza kuweka mambo yanayovutia kufanya wakati wa...
5 Reactions
44 Replies
8K Views
In your relationship or marriage life and it happened someone came to you and say “I’m very so sorry I had affairs with your spouse". Will you,,...?
0 Reactions
26 Replies
2K Views
habari wana jf! Heri ya sikukuu ya eid el hajji kwa ufipi nilikuwa na girlfriend tulipendana sana nilidumu nae kwa muda wa miaka 5 na mimi ndiye niliyemfundisha mapenzi tangu tupo secondari...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Mimi ni mwanamke wa aged 30 nina watoto watatu ambao umri wao ni 10, 8 and 10. Tatizo lililosababisha mpaka kuamua kuandika hili ni kwamba niko njia panda katika mahusiano yangu na mzazi...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu nimeshtuka kusikia kuwa chimpazee nao wanapenda sana kale kamchezo ka wakubwa, wako tayari kuhonga windo lote ili apate. Wanyama wengi sayansi inatuambia wanafanya hako kamchezo kwa ajili ya...
2 Reactions
70 Replies
5K Views
habar wana jf katika harakat zangu za kumtafuta mwenza kuna binti mmoja nimekutana nae facebook tukabadilishana namba yeye ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa dar na kwao ni nje kidogo ya mkoa wa...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu, Simnakumbuka tangu last year nilikuwa namtafta mwandani? Duh! Mara kama zari si akajitokeza JF member, mzee bila hiyana nikaridhia!! Nikawa nachati nako kiutu uzima, na bando...
0 Reactions
72 Replies
5K Views
Hi wadau. Mi mgeni sana humu ndani so kama vipi ikikosea natanguliza msamaha; B4 kuwa member niliwahi soma issue inahusu namna ya kujua kama mwenza wako ana mawasiliano na mtu mwingine na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wana Jamii Forums wote. Madame B na Kijino Pamoja na familia nzima, tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa, Members wote wa Jamii Forums kwa kuwa pamoja nasi na kutufariji kwa...
20 Reactions
154 Replies
9K Views
Tukusuma Mpoki alikuwa amesimama kwenye baraza la nyumba yake, uso wake ukiwa umekunja ndita, jasho likimtiririka, na macho yake yakiwa yanabubujikwa na machozi. Alikuwa amejifunga kanga moja...
15 Reactions
48 Replies
28K Views
Wana JF heshima mbele, na poleni sana na overhang or sorry hangover ya blue monday last week nilikuwa pande za mo twn (moshi), club moja hivi inaitwa malindi, infact nilikwenda pale kuwinda baada...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
nauliza sawli hili serious nataka mawazo au mnaofahamu au mliona au kusikia kama yapo kweli mapenzi ya dhati kutoka moyoni kati mtu mweusi mwanamke au mwanaume na muhindi mwanamke au mwanaume ...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
#Smart man +smart woman=romance #Smart man +dumb woman=affair #Dumb man +smart woman=marriage #Dumb man+dumb woman=pregnancy
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna nyimo moja iliimbwa zamani na Paul McCartney wa The Beetles inaitwa -Will you still love me when i am 69' Ironically alipofika 69 alikuwa dirvoced na single again lol Anyway umewahi...
7 Reactions
64 Replies
4K Views
#A woman worries about the future until she gets a husband #A man never worries about the future until he gets a wife #A successful man is one who makes more money than his wife can spend #A...
1 Reactions
2 Replies
489 Views
Usinuilize kwanini sababu Utaninizinguaaaaaaaaa!!!!!!!! Ukitaka jiunge na mimi, Kama ni Pesa Kunywa Mimi Nitanunua!!!!!!!!! Mimi mwanzo sikuamini, Nikajuaga vya UZWAAAA!!!!!!!!!! Kumbe MJINGA ni...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Kunafaida 7 za kuishi bila mpenzi. Nazo ni;.... (1)Unaweza kulala mda uutakao. (2)Hujali unavyo onekana/kujishtukia. (3)Hakuna sms wala call zisizo zalazima usiku wa manane...
5 Reactions
58 Replies
5K Views
Imetokea Published on Jul 18, 2012 by ndtv When a woman who had tried to commit suicide by drinking rat poison was rushed to hospital on Tuesday, doctors discovered a lock around her private...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Alikua mume mwema sana,Mwenye upendo wa hali ya juu sana na mimi na mwanae,Alianza kubadilia baada ya mimi kubeba mimba,Alikua mkatili sana kwangu na hakunijali kabisa kwa kipindi chote cha...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Back
Top Bottom