UTAPELI wa aina yake, umeibuka mkoani Kilimanjaro ambapo kundi la matapeli hula njama na wanawake kuandaa mitego ya fumanizi na kujipatia mamilioni ya shilingi...
jamani, kwa nyie mnaomiliki saloon za kike afu mnaajiri wacongo, hebu wafunzeni basi kuosha sarawali zao zote?!
Baadhi yao yaani full mtindi, utadhani ng'ombe ananyonyesha maziwa ya mgando...
Ni kujidanganya mwenyewe. Pia ni kumdanganya mwenzako. Tena ni kuwadanganya wengine. Hili la kudai kuwa inawezekana. Eti mwanaume na mwanamke wasio katika mapenzi au wasio katika mchakato wa...
Kuwa mkweli na muwazi ni moja ya misingi ya kujenga mahusiano yanayodumu na hata kukabiliana na dhoruba mbalimbali za maisha ya mahusiano ya ndoa.
Swali kubwa ambao wengi hujiuliza, wanaume kwa...
Jamani mwenzenu nina tatizo ambalo kiukweli linanikosesha raha kabisa naomba mnisaidie Inshu yenyewe ni hii mm ni Kijana wa miaka 24 nilikuwa na tabia ya kuwa na wanawake mara huyu kesho huyu...
Wadau wa MMU naomba ushauri wenu.Kuna dada ana miaka 23, ana mpenzi ambaye alianza naye uhusiano miezi minne iliyopita. Kabla ya hapo alikuwa na uhusiano na mvulana mwingine ambao ulivunjika...
KUNA WANAUME AMBAO WANAFAA KUWA WAUME, BABA WA FAMILIA, NA KU NA WANAUME AMBAO HATA UFANYEJE NI KUJITAFUTIA PRESSURE, NA KISUKARI TU
eupukana na wanaume "KACHIRI
Kwanini umng'ang'a nie Kim na...
Wakubwa shikamoooni!!!!!!!
Wakuu habari zenu!!!!!!!!!!!
Leo nimemkumbuka rafiki wa Mama Lara 1, aliejiua baada ya kulikoroga na kushindwa kulinywa!!!! Nilikua mdogo that time ila jinsi ilivokuwa...
Je wewe ni mmoja kati ya waathirika wa mapenz, yaani mpaka ibustiwe ndo isimame?
Je imekuwa ukilalamikiwa na mpenzi wako kuwa himrizishi?
Je Kwako kutumia dawa za kuongeza nguvu imekuwa kawaida...
Mara nyingi wanawake huwacheka sana wanaume ambao visamaki vyao ni vidogo sana kwa kuwatania kwamba hata ukikohoa tu wakati wapo sita kwa sita kanachomoka, wakati huohuo wanaume nao huwacheka...
Si kweli kwamba kuguswa na sex ni vitu hatari sana, vibaya na uchafu.
Ukweli ni kwamba
Katika ndoa kupeana raha kwa kugusana (touching) na sex ni mlo kamili wa moyo, mwili, nafsi na roho.
Si...
It makes some people religious: Oh my God! Yes! My God!
2 It gives some people their first musical lesson: mmmm .aaaahh ooooh...aaahhh
3 Makes some people natural competitors: Ffaaast! Fasterrr...
Kuna sehemu moja hapa Moro (waliopo moro wanapafahamu), its a kind of a medium level Lodge, ambapo parking yake ni ya kipekee
Kuna chambers maalum za kuegeshea gari, yaani zimewekewa mapazia...
Kwanza naanza kwa kuwasalimia akhsalaam aleukum wana JF.
Mimi ni kijana niliye fundwa katika maadili mazuri ya kiafrika.
Katika kufundwa kwangu nilifundishwa kuwa mapenzi ni sanaa. Ni lazima uwe...
Mwanaume mmoja nchini uganda aliyejulikana kwa jina la Lorant Tumsime amekatwa sehemu zake za siri usiku wa juzi alipokuwa amelala. Mwanaume huyo amekatwa nyeti zake na mkewe...
Naishi na mke wangu vizuri tu siku nyingi, lakini familia yangu ni kubwa kiasi kwamba kila baada ya muda fulani napata mgeni wa kuja kututembelea. Kama ni mwanaume kidogo afadhali hata...
Wakuu ni hivi: mimi ni mwanaume, umri wangu ni 30yrs. Mwaka jana mwanzo nikiwa nyumbani kwangu nawaza jinsi nitakavyopata mke wa kumuoa, alikuja mwanamke 1 mjamzito. Akanikuta niko kwa nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.