Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ilikuwa ni Mwaka 1997, ndipo mimi na mpenzi wangu wa awali tuliamu kufanya kile wazungu wanachoita Trial Marriage, yaani kuishi kinyumba kabla ya ndoa ili kupima kama tutaweza kumudu maisha ya...
18 Reactions
90 Replies
13K Views
Kila tukiwa na mtafaruku na mama watoto wangu ananambia kauli hii "Nitawapisha wengine waje wajaribu, nina kwetu" Hivi mwanamke aliyeolewa, yuko ndani ya ndoa zaidi ya miaka 10 anaweza kuendeleaje...
5 Reactions
265 Replies
14K Views
Mke: Mume wangu pamoja na kunichunga koooote huko, lakini nakwambia kuna siku utanivua pichu mwenyewe niende kuduiwa na mwanaume mwenzio Mume: Unajidanganya wewe, kamwe huwezi na haitoweza kutokea...
14 Reactions
51 Replies
7K Views
honestly nimekua nikiwaheshimu na kuwaogopa watu ila kwa hili nlo lisikia imenisikitisha sana japo imekaa kama story ila naamini imetokea hata kama sio copyrighy basi with the same theme,juzi...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Leo asubuhi mida ya saa 1 na robo nipo kwenye gari natokea nyumbani mtaa wa pili nasikia kipaza sauti kinasema''msaada msaada nasumbuliwa na ugonjwa wa kisasa mwenye 100,200,500 anisaidie atalipwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
1.Unachotaka hukipati (MAPENZI) 2.Unachokipata hukifurahii (NDOA) 3.Kinachokufurahisha hakidumu (BOY/GIRL FRIEND) 4.Kinachodumu kinakera (MUME/MKE) 5.Chenye thamani kinadhalilisha (FEDHA)...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Kalikuwa ni kabinti kadogo kazuri.....! Ilikuwa ni Jumamosi mwaka 1999, Januari. Nilikuwa natoka nyumbani Mwananyamala kwenda kibaha Picha ya Ndege mkoa wa Pwani. Hapo Picha ya Ndege ndiko...
10 Reactions
28 Replies
3K Views
Penzi lako ni la ndoa au la kustarehesha miili ya watu? “Hapana huyu si mume wangu, ila niko naye tu kwa ajili ya kujipumzisha” “Aah, yule msichana wa jana usiku? Siyo mchumba wangu, ‘nazuga’...
8 Reactions
63 Replies
5K Views
Babu alisema, hata kama unampenda, katu usimwambie kuwa unampenda, na wala asijue kuwa wewe kwake ni dhaifu. Ukifanya kinyume na hapo utakutana na hiki.
1 Reactions
9 Replies
4K Views
The man who sued his wife for birthing an ugly baby Apparently in China, bad genes are grounds for divorce — and six-figure fines "Failed relationships can get ugly," says Ji Lin at the Irish...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Especially when one of them is (very) slow to love you back!
6 Reactions
111 Replies
6K Views
Wapenzi wanauana kwa ajili ya pesa,love triangle,scorned lovers ,Mara nyingine kaolewa na muuaji dah .wanawake ndio wananishangaza wanavyokuwa ha wivu mbaya wa kuuua .usiombe mwanamke awe Ana...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Hello. Jaman 3 days no call no text. I have played ma party mpaka naona iam using a lot of energy to secure uhusiano huu. Kama sipig then hakuna mawasiliano. Kama sijamtumia SMS basi hajib...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi mwanamke mzuri ni yupi? Nini sifa za mwanadada mzuri? Je, kuna mwanamke mbaya? Wataalamu wa kuchambua mambo naomba kupata maoni yenu.
0 Reactions
16 Replies
6K Views
jamani mwenzenu miye nina miaka 23 ila naogopa kupenda sasa, maana nilipendaga kama mara mbili hivi mademu wakanizinguaga so yaani hadi sasa nawachukia mademu wote, ila tatizo ashiki bana...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Cheating Wife Gets Busted on Live Radio - YouTube Kwa hali hii ndoa ni salama kweli, huko maofisini ni balaa tupu OMG!!!
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Salama wakuu. Habari za jioni na poleni sana na majukumu ya ujenzi wa taifa? Natumai mu wazima. Niko karibu na kijana mmoja hapa anahitaji ushauri juu ya shida iliyomkuta ndani wiki mbili...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Heshima zenu jamani, post ya kwanza hii, waungwana leteni busara zenu. Katika jamii yetu ya sasa wanaume wengi wanaugulia kimya kimya kwa ajili ya mapungufu katika ndoa zao (zetu). Mara tu mama...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wana JF, Kuna rafiki yangu amekuwa mbali na mke wake kwa miaka miwili. Kipindi anaondoaka alimwacha mkewe akiwa na mimba ya miezi nane. Mtoto lizaliwa na sasa anakimbia na kuongea kwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa mwaka huu ,I'm pregnant nategemea kujifungua mwezi wa 12, Tatizo langu ni huyu mume wangu its like he's irresponsible,kila kitu kwake anaona hakina maana...
1 Reactions
58 Replies
4K Views
Back
Top Bottom