Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna utamaduni watu, hususani vijana wa Kitanzania, wameiga kutoka nchi za magharibi wa kuchora alama, jina, n.k sehemu za usiri, husussani kwenye makalio au kwenye mapaja ili kuashiria wanaupendo...
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Kwa mila na desturi za duniani kuna mgawanyo wa Kazi na Majukumu ya wanawake au wanaume. Lakini kutokana na kubadilika kwa mitizamo ya wanadamu baadhi ya vitu vinatakwa kufanywa na jinsi zote...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile nyumbani tulikuwa tuna ng’ombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea kwao. Akanenepa!! Penzi...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
All men are different and what one man finds attractive is not necessarily going to be the same as the man next to him finds attractive. Plus, depending on what that man is looking for at the...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Leo asubuhi mida ya saa 12 nimekutana na watoto wadogo 2 wakiwa na mdada wa kazi maarufu kama beki 3 au House girl, nikiwa natoka mazoezini dada yule alikua anawasindikiza wale...
8 Reactions
20 Replies
4K Views
Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kutokana na ama kutojua staili au kuwafikilia zaidi wanaume wawapo kwenye majamvozi hivyo basi kwa kutambua hili nimeamua...
6 Reactions
57 Replies
16K Views
Eti wanafunzi wa vyuo vikuu wana wapenzi wa aina mbili: 1. KISERENGETI BOY- WA KUTOKA NAYE 2. JIBABA- WA MATUMIZI NA KUTUMIA HELA YA JIBABA KUMLISHA KISERENGETI BOY Jibaba Ukijua hilo utafanyaje...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Hi!nimewahi kutoa mada kuhusu aliyekuwa mchumba wangu,ambaye ni mwana chuo kunitosa!nahisi yuko ktk mahusiano mapya kwa sasa baada ya kuniweka waz kuwa hanihitaji, kwa sasa ana mtu anayempenda...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Nilikua katika uhusiano na msichana mmoja wa chuo fulani,kwa mda mfupi tulipendana kwa kiasi ambacho sikutarajia,tukapanga jinsi maisha yetu yatakavyo kua hapo baadae,cha ajabu baada ya kufungua...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Kwanini wasichana wa kizungu and most ladies in Europe and America preffered to be used from the back? and kwanini America na baadhi ya nchi za ulaya na Afrika wanashabikia sana ndoa za jinsia...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Village chief dies after month long erection SHARE THIS STORY Updated Monday, October 29 2012 at 10:58 GMT+3 By David Odongo A village chief, Cuthbert Kasikai Majada died last week after his...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwananmume mmoja (pichani) toka India aliammua kumzuia mkewe kutoka nje ya ndo kwa namna yakikatili.Sohanial Chouhan (38) ni mwanamume mwenye wivu sana na anashutumiwakumfunga na kufuli sehemu za...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nilienda kumzika ibilisi wangu! Ilikuwa ni ajali kubwa na hata mimi sijui niliweza vipi kupona. Dereva na mke wangu walifia pale pale kwenye eneo la tukio. Tulikuwa tukitokea Chalinze kurudi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwezi mmoja uliopita binti mmoja (jina lake silitaji) alikwenda kujifungua kwenye Hospitali moja ya Umma na kufanikiwa kupata mtoto wa kiume. Tangu baada ya mtoto yule kuzaliwa muda mwingi wa kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
uwa naona wazungu vijana kwa wazee wakiweza kupanda mlima kilimanjaro adi kufika kilelen,mimi na rafik yangu tumejaribu sana kupanda mlima kilimanjaro ili tufike kilelen kupitia mlango wa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Tulikuwa tumekaa sehemu na rafiki zangu baada ya lunch ambayo ilitanguliwa na kazi nzito toka asubuhi. Basi tuliona ni vyema kupumzika kidogo kabla ya kurudi kazini. Basi watu wakanzisha stori...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Leo Marietha anatimiza miaka 50 kamili na ana watoto 4 wakubwa wanaojitegemea na ametengana na mume wake kwa mwaka wa 10 sasa. Marietha ni mwanamke msomi na mjasiriamali na pia ni mwanaharakati...
3 Reactions
35 Replies
5K Views
Salaam wana JF, Mimi ni mmoja kati ya vijana wapatao 17 wanaohudhuria mkutano wa vijana hapa kwenye ukumbi wa mkutano wa Twaweza-kinondoni. Huu mkutano ni wa maandalizi wa mkutano mkubwa wa...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Hivi una ukakika gani kuwa uliye naye anakupenda wewe mwanajamvi mwenzangu? Do you think hawezi kubadilika as time goes? What if akija kubadilika, what will you do?????
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ronald Tumusiime, 30, is lying in severe pain at Mulago Hospital after his girlfriend cut his private parts, leaving them hanging by the skin. Tumusiime, a farmer, said the incident took place...
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Back
Top Bottom