Mmekuwa wachumba kwa takriban miaka miwili hivi, lakini kila mmoja akiishi kwake(mwanaume amepanga nyumba nzima kubwa na mwanamke anaishi kwenye nyumba yake aliyojenga mwenyewe). Mmeshakubaliana...
Kupenda na kupendwa raha sana.Raha hii itakuongezea umri wa kuishi, itakufanya uwe mng'avu kwa kutabasamu kila wakati hata ukiwa gizani au peke yako.Ukiwa kwenye uhusiano unaokufanya ujisikie uko...
Jamaa mmoja hapa kati alikuwa anamwagilia bunge Kwa marafiki zake wamshauri, anasema alimstukia mkewe kwamba kuna njemba linamparamia. Kwa ustaarabu jamaa hakuwa Na papara Kwa sababu wana 2kids Na...
Mary Kay LeTourneau
Mtoto Vili Fualaau
Mary Kay LeTourneau na Mtoto Vili Fualaau walipofunga ndoa
Vili Fualaau na wanae Audrey mkubwa na Geogia Alexis
Mary Kay LeTourneau alikuwa na...
Juzi nilikua maeneo ya Buguruni mishale ya saa sita usiku nikipata moja moto, moja baridi. Baada ya kilaji kukolea mbele yangu kulikuwa na kidada, nikajiexpress akanielewa, alitaka 20,000 ya kazi...
Wana Jamvi weekend hii nimepata kadi ya mchango ambayo sijawahi kuchangia mchango wa aina hiyo, kadi yenyewe ina heading isemayo "Mchango wa Maulidi" inaendelea kusema Bwana na Bi xxx wanaratajia...
Kila siku huwa wanaachwa ,utakuta mtu anamkatia ticket tafuta visa mtu anakuja USA anasomeshwa na anamwacha huyo mwanaume.kuna mdada alisomeshwa udaktari 7 years mdada akapata udaktari mdada...
jamani kila mtu atupie hapa sehemu ambayo uliwahi kuwa faragha na mpenzio mbali na chumbani kwako unakolala au sehemu uliowahi kuwafuma au kuwaona wengine ikakushangaza,mfano kwenye...
Mimi ni msichana wa miaka 20 naishi magomeni jijini dar nimejitokeza kwenu kushare tatizo langu. mimi sina wazazi wote walifariki kwa ajali ya gari mwaka 1998, Mimi waliniacha nasoma shule ya...
Mabinti wa siku hizi wakiwa kanisani wakat wa kufunga ndoa,wanakuwa bize na simu wakichat facebook na mitandao mingine ya kijamii,badala ya kusikiliza nini kinaendelea,mi nawaomba mabinti wenye...
Ndugu Zanguni Tunarudi Tena Na Somo Kwa Wale Mabinti Wanaoolewa Au Waliioolewa,,jamani Hakuna Starehe Kama Mme Kujua Mkewe Anamtii Na Kumheshimu......kumekuwa Na Wanawake Wengi Ambao Hivi Sasa...
Wakuu, ilitokea nimefahamiana na dada mmoja, na tukawa marafiki wazuri, ila sikuwahi kumwambia chochote kama uchumba. Baadae nikawa mbali naye kidogo, kilicho nishangaza ni majibu ya mkato...
I got to know her because she was the friend of my friend's girlfriend and because they used to come to our place then we became very close...Unfortunately, it had turned from bad to worse..u know...
Ni boyfriend wangu ambaye nimedumu naye kwa muda mrefu,amenisaliti mara kibao na tunaachana akija kuniomba msamaha,Hata kama nina hasira kiasi gani najikuta nimemkumbatia na kumsamehe kbs.Sijui...
Mnamo Agost 23, 1973, majambazi wawili wenye silaha aina ya machine gun, walivamia benki moja jijini Stockholm, Sweden. Mmoja kati yao ambaye Alikuwa ametoroka jela siku chache nyuma, Jan-Erik...
60 Ways to Keep Your Husbands Love
Behave like a female, i.e. all the tenderness of a femalea man doesnt want a man for his wife!
Dress pleasantly/attractively. If you are a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.