Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ukiwa km ndugu, jamaa na rafik yng , napenda kukaribisha kwenye kikao changu cha kwanza kitakachofanyika blue pearl ubungo, plaza 28/10/2012 nahitaji mchango wako wa hali na mali kuniwezesha...
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Rangi ya mwili nadhani ina nafasi flani mapenzini na ndio maana watu wanajibadilisha. Kwa mtazamo wako ww mwana jf, hili unalichukuliaje
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Utafiti usio rasmi unaonyesha sugu hiyo inatokana style za mapenzi zinazopelekea viwiko kusugua godoro au sakafu. Utafiti uliofanywa kwa watu 50 kati ya 250, umethibitisha kwa kwa asilimia 93...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kama aujawahi kupenda basi usithubut twakimu zinaonyesha wengi waliopoteza maisha na wengine wanaendelea kuumia ni kwa ajili ya kupenda sasa zamau yako kuomba Mungu upendwe kabla ujapenda
1 Reactions
42 Replies
9K Views
ni kosa kubwa mwanamke kumpenda mwanaume ni kosa zaidi mwanamke kuishi na mwanamme unayemuhudumia kwa kila kitu ni kosa kubwa zaidi kuishi na mwanamme asiekujali kwa lolote zaidi ya ngono bora...
2 Reactions
31 Replies
45K Views
Najiuliza hivi wanawake wanakuaga nafeeling kama sisi? wife kasafiri hapa nilipo mpaka kazi haziendi....nina genye mpaka nachanganyikiwa....alafu kila demu namuona mkali......hata mama mpika chai...
2 Reactions
40 Replies
5K Views
Nimemuonga Mpenzi wangu Sumsung Duos Galaxy GT B5512 jumatatu, jana kamuonga jamaa. Nimempeleka Police anirudishie kakataa kata kata sikumpa. Pamoja na yote police walimueka mahabusu baada ya...
1 Reactions
115 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu,huyu dada tulifahamiana tukiwa safarini, alinionekana kuwa mcheshi na mkarimu sana kwangu kumbe alikuwa analake,kwakuwa tulikuwa tumekaa siti moja sikusita kuongea nae mawili...
0 Reactions
147 Replies
14K Views
Mara kwa mara nimekuwa nikipata huduma zao kwenye madanguro ya Temeke, Tandika na Sokota nilikuwa sijawahi kwa wale wanaosimama barabarani. Juzi nikaamua kujaribu huduma zao. Ah, hawafai kabisa...
2 Reactions
42 Replies
6K Views
Maisha ya vijana wa siku hizi yamebadilika sana linapokuja swala la kutafuta mwenza, tofauti na miaka ya zamani. Siku hizi vijana wengi hutumia mitoko kama njia ya kutafuta mwenza kwani kwa kuwa...
1 Reactions
30 Replies
5K Views
sisi kama wazazi hivi tunakuwaga na muda kweli wa kuaangalia watoto wetu hata mara moja kwa wiki ipasavyo? ukiangalia na hivi tunavyobanwa na majukumu kazini na sehemu za kutafutia tonge.. Nyumba...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Hivi ni kwa nini wanaume wazuri na wenye muafaka kwa maisha ya ndoa hujitokeza kwa wingi kwa nia ya dhati ya kutaka kuoa baada ya kuwa mwanamke keshapata mwenza, lakini wakati alipokuwa singo...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
2 b special. as im im meeting her 4 the 1st tym... nimwambie nini.. nimtamkie nini.. nimuombe vipi ..... kinda huyu... ...kaniahid penzi leo kwa mara ya kwnza na sitaki kosea hata hatua moja...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Kuna jamaa anafanya kazi kama lab technician. Kaniambia kuwa watu wanaokuja kupima damu % kubwa wana ngoma. Nikamwambia toa mfano. Akaniambia leo kapima wadada wajawazito sita. Na wanne kati...
10 Reactions
353 Replies
19K Views
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 27, nina rafiki wangu wa kike ambae tunakula tunda pamoja mara kwa mara. Ila nilisafili mara moja kwenda kijijini kuwasalimia wazazi kwa muda wa wiki 2.abia so...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Many people end up making a life time mistake just to please society. Some think they're in love, some are in it because the other spouse was recommended by God , parents, friends...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Kwa mila nyingi za kiafrika jambo ambalo halizungumzwi sana lakini linafanyika ni NGONO. Ngono imegawanyika katika sehemu mbili kubwa ya kwanza ni ya kimaumbile na ya pili ni ya kisaikolojia. Hii...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
REAL BOYS Real boys are getting busy investing on their future making money, Using most of their time thinking and gettingready for future. FAKE BOYS Fake boys are swaging, showing off...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mie tatizo ndugu zangu karibuni sote tushereheke hii cku ya leo bila tatizo......
0 Reactions
1 Replies
759 Views
Najaribu Kujiuliza Sipati Jibu Ina Maana Wao Wanapenda Kuliko Sisi Au?? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Back
Top Bottom