Enyi wanawake mliobahatika kuhudhuria hapo Diamond, Mwanamke mwenzenu huyu, ameshindwa kuwa nanyi katika hiyo kitu mnaiita " KITCHEN PARTY GALA'. Yeye yupo Matombo Morogoro, alisikia kwenye...
Many Ladies ask this question of knowing the safe period when pregnancy can not occur when they have unprotected sex with their partner. The safe period is certainly a period when a couple or two...
Najua wengine watapinga lakin huu ndio ukweli,naandika hivi kwa sababu nimeona wake za watu wengi wakidanganywa na kujipendekeza kwa wanaume wengine kwa sababu ya vitu vidogo dogo kama vocha,pesa...
BABY WILL YOU MARRY ME?
There was a blind girl who hated herself just because she was blind.
She hated everyone, except her loving boyfriend.
He was always there for her.
She said that if...
Habari za muda huu wapendwa. Naombeni msaada wenu, nimesikia kwamba kanisa la nabii florah linapatikana mbezi beach, ni sehemu gani hapo mbezi beach? Then if kuna mtu anayemjua mchungaji/mtumishi...
My son anaenda kuanza form one, (preform one next month) boarding school he is going to be 12 next year.
As a mother namuambia nini? Nafeel kuna kitu napaswa kumwambia sijui nimwambie nini na...
The Power of Acceptance
When someone is doing something or is about to do something, in a way we don't want it to be done and when we are not able to accept it, we become angry.
However, when...
Heshima kwenu brothers an sisters
Nimebanwa sana na my best friend kutoa ushauri hadi kichwa kinauma naombeni msaada wa mawazo,
My best ni kjana (me) age yupo mid 20's ni graduate na...
Habari za jioni,hebu naomba tushauriane hili limenikuta.Nina g'fnd wangu anakituko ambacho sijakifurahia,alinikaribisha room kwake siku 1 tu kiukweli tulishea oral sex!lakini baada ya hapo hataki...
Ivi km una mke wako,umegundua anatembea nje ya ndoa waziwazi bila vifisho na una vithibitisho,ukaamua kumfukuza,mkatengana kln akiwa na ujauzito wako na sio kutoka nje tu ila na matatizo mengine...
Ndugu wanajamvi, kama heading isemavyo; hivi migogoro katika mapenzi ina nafasi gani? Je inaimarisha penzi baada ya kusolve au inapunguza kiasi cha upendo kati ya wapendanao? mchango wako please!!!!!
Wanawake wake wengi ukikutana nao watakudanganya hivi.
1. Yani mimi wewe ni mwamme wa pili kutoka nae
2. Yani mimi mpaka namaliza form four nilikuwa sijawahi ku do
3. Yani huyu mtu nilie zaa nae...
Habari zenu wana jf, Mimi ninamfanyakazi wa ndani au (mdada wa nyumbani) ninapokua sipo nyumbani namwachia uhuru, ivyo anaacheki move atakavyo tatizo ni pale anapoangalia move za...
Nina rafiki ingawa si kiviile sana, juzi tulikuwa tunapiga story za hapa na pale kuhusu maisha.
Ghafla tukaingia kwenye story za mahusiano ambazo zimenifanya niandike uzi huu.
Anasema aliambiwa...
Wanajamvi, kuna ndugu yangu ana miaka 38, mtoto wa baba yangu mkubwa tunaelewana sana. Aliweka appointment na mimi kuwa ana jambo la kunieleza na anaomba sana nimpe nafasi hiyo. Jana nilionana...
Wadau, nina rafiki yangu mmoja tunafanya nae kazi, leo kaja na story za ajabu kuhusu ulalaji wake kitandani, yeye na mkewe. Kaja kachelewa kazini, kisa kalala saa 10 ya usiku, baada ya kuuliza...
habari zenu mabibi na mabwana! leo nimekuja na mada hapo juu
Unajiskiaje pale unapomsisitiza mwenz wako asizime simu wakati we unazima? kuna kitu gan nyuma ya pazia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.