Wana JF naomba ufafanuzi. Ni kawaida kusiikia mwanamke ambae anafanya ngono na watu wengi akiitwa malaya. Ni mara chache au nadra kusikia mwanaume mwenye tabia kama hiyo akiitwa malaya. Kwa nini...
Umemuona mwanamke ukampenda mtu mzima ukaamua kumuapproach kwa gia ya urafiki,baada ya muda ukaamua kumwambia hisia zako za kweli then Anakureject(Anakutosa).Sasa naomba niwaulize kuna umuhimu wa...
USA na nchi Za ulaya mwanamke anayejirusha mwenyewe bar na restaurant peke yake bila mume wake kuwepo wanaitwa wanawake wenye high self esteem na not insecure na independent mind .bongo wanaitwa...
Wana JF,
Kuna jirani yangu, mdada wa makamo ana watoto wawili wa kiume wa kuzaa mwenyewe na mmoja wa kiume wa ndugu yake anaishi nao huko boko. Amewafumani jana wakiwa wanafanya mchezo mchafu kwa...
Wana jf,
Ifahamike kwamba mapenzi huanzia sehemu ndogo sana hatimaye ndoa.
Kabla hujawa na mpenzi/mke kuna tabia ulizokuwa nazoambazo kwako uliona kama nzuri, kuna vitu hasa wanaume huwa...
Wadau,
Habari za mchana huu, naomba tubadilishane mawazo kwa hili.
Una mchumba ambaye bado kama miezi 2 kufunga pingu za maisha.
Kila kitu kipo tayari lakini unafika kugundua kuwa mchumba ako...
Eti unapokuwa umekaa sehem na mwanamke (popote pale), na ukawa mara nyingi uko kimya hivi kisha anakuambia, 'mbona huongei? Ongea basi...' Hii inamaanisha nini?
Mtoko wa kwanza huwa unawaweka wanawake katika wakati mgumu ukilinganisha na wanaume. Wakati wanaume kwao sio tatizo kubwa la kuwaumiza vichwa, kwa wanawake huwa wanajiuliza maswali mengi sana...
Nina rafiki yangu wa karibu sana...yeye ana mwanamke aliyemuoa mkewe kwa mda wa mwaka mmoja hivi,lakini wakati akiwa nae,huyo dada alikuwa na mpenzi mwingine.Katika kuishi na mkewe kiukweli jamaa...
Akikuomba pesa ya gas mwambie atembee kwa miguu.pesa yako shopping nywele na starehe.a men treats you the way you want to be treated.pete ya uchumba ni sigh ya kwanza .pete isipungue dhamani...
Amani kwenu wakuu! (Wakubwa Shikamooni)
Leo ujio wangu si wa Verse moja nyingi Baba V LOL!
Kweli ile tabia ya kuperuzi na udadisi simu za patner wenu muache!!! Tena unakuta mtu anatime mwenzie...
Unyanyasaji dhidi ya wanawake wilayani Meatu unaendelea kuongezeka kwa kasi, kama inavyoonekana kwenye picha.
Mwanamke huyu alikuwa anapokea kichapo kutoka kwa wanaume. Hizo fimbo ni maalum...
Adam ni mwanadamu na Hawa akimaanisha
Hawaeleweki
Hawabebeki
Hawajiheshimu
Hawanahuruma
Hawashukuru
Hawapendeki
Hawaridhiki
Hawajatulia
Ukitaka kuwaelewa Oa alafu mchukue mama yako uishi naye...
I dont love my wife.
We are going through a hard time and I will soon be separating. Thats a LIE. Men dont advertise leaving home to the other woman. If they are really in a bad relationship...
Nna jirani yangu mwenye mtoto wa mwaka mmoja. Ye na mume wake wote wameajiriwa kwahiyo huwa wanamuacha mtoto na dada wa kazi.
Kitu cha kwanza kunotice ni kwamba siku mmoja wao akiwepo nyumbani...
Inasemwa kwamba wanawake ni viumbe wa ajabu lakini naamini wanaume ndio viumbe wa ajabu kupindukia. Kwa nini ninasema hivyo? Ninasema hivyo kwa sababu, wanawake kwa ujumla wao wanavyo vibweka vyao...
nliwahi weka kuhusu uhusiano wangu na mkaka wa kiislam ,kiukweli nlikuwa nampenda sana bila kujali mambo yote aliyowahi kunifanyia kwani tuliamua kuanza upya na kusahau yote ila inafika mwezi sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.