Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wewe ni mwanaume na umepitia mengi linapokuja suala la mahusiano ya kimapenzi. Kifupi una mengi umejifunza na kuona: Umeumizwa na kuumiza mpaka roho imeingia uyabisi. Halafu unakuja katika...
5 Reactions
78 Replies
5K Views
Hebu fikiria,unatoka safari;unafika nyumbani unamkuta mkeo katika hali/mazingira haya.Utachukua uamuzi gani?
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Njia 3 za kufanya kuwa mahusiano mazuri zaidi Mimi sio expati wa mahusiano. Ila nimegundua kuwa japo kila mahusiano ni ya kipekee na yanatofautiana ya kati ya mtu na mtu kuna vitu vitatu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Niajeeeeeeeeeeee!!!! Wakubwa zangu shikamooni!!!! (Itabidi nipewe tuzo ya kuheshimu wakubwa jf!!! LOL!) Nauliza tu wajameni, maana hamkawii kunigeuzia kibao!!!! Eti jamani if you meet a...
7 Reactions
145 Replies
15K Views
Habarini waungwana; Nimependa sana kutumia usafiri huo nikiwa na mke wangu siku ya ndoa. Ninauliza Farasi Hususani wale WEUPE, kama hakuna hata hao wengine. 1.Wanapatikana wapi? 2. Kwa bei gani...
0 Reactions
61 Replies
9K Views
UDSM student hangs himself By Elisha Magolanga The Citizen Correspondent Dar es Salaam. A first-year University of Dar es Salaam (UDSM) student has committed suicide by hanging himself with...
0 Reactions
91 Replies
9K Views
Waungunwa nini uelewa wenu katika hili? Katika agano la kale Deut. 24:1-2 Musa aliruhusu mume kutoa taraka. Ila katika agano jipya Mat. 19:3-9, Yesu anasema alicho kiunganisha mungu, mwanadamu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26,maumbile yangu ya kiume ni makubwa kiasi cha kulizisha tu yani nnchi 7.3urefu na nnchi 2.1 upana,mwenzenu wakati wa kufanya mapenzi na chelewa sana...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
utafiti uliofanyika ujerumani na shirika moja la ustawi wa jamii na haki za kijamii unaonyesha kuwa (90%) ya watu wakiwa kwenye foleni ya magari barabarani nyakati za kurudi kazini, huwazia...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nilikuwa kwenye dimbwi la mapenzi na kijana mmoja,kwa kipindi hiko nilikuwa ninampenda mnoo,ikatokea ya kuwa tunataka kuoana lakini kwa kuwa tulitofautiana imani basi ndugu zake waliweka kizuizi...
1 Reactions
70 Replies
5K Views
Yawezekana Ni Girl/Boy Wako Uliyewahi Kumuudhi Kwa Kufanya Yale Hasiyoyapenda...Eidha Ulikunywa Pombe Au Kivingine. Alipogundua Hayo,Kwa Hasira Anakuambia "Hakupendi Na Amekusamehe Ila Bora...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Jamani naombeni ushauli wenu , wanawake kwa wanaume, Mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa mwezi wa kumi na moja ktk mkoa wa Morogoro, sasa uyu mwanaume sasaiv amekuwa mkali kila...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
‎7 TYPES OF WOMEN EVERY MAN SHOULD DATE I am going to give men a starting point for the type of women I feel are a good consideration to date. Men, know the goal is to have a woman u can...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Miezi michache nilikuwa kijijini ambako rafiki yangu alinifuata kuniomba ushauri kuhusu mpenzi wake(demu) kuwa na mimba ambayo hawakuitarajia,hawa wapendanao.Ushauri wangu ulipingana bila huruma...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kuna wa2 wanakera katika jukwaa hili kuna wengine wanao kejel post za watu wengine hata kama m2 kapost kwa lengo la kutaka msaada au ushaur na kuna wengine haipit cku hawaja post kitu hata kama...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
KENNEBUNK, Maine (Reuters) - Every summer, vacationers come to this lighthouse-studded stretch of the Maine coast to nibble on lobster and admire the scenery. Now locals are confronting...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nawasalimia kwampigo wana JF. Kuna matatizo mengi yamekuwa yakitokea katika uhusiano kati ya mme na mke. Hii labda vijana wengi wa kiume wanakuwa hawajafundwa na kufundishwa jinsi ya kuishi na...
8 Reactions
23 Replies
7K Views
Yako wapi mapenzi yenu ya mara ya kwanza mlipokutana hadi mkaamua kufunga ndoa..halafu mwisho wa siku ni kukatana mapanga?jamani hii akili au?si bora muwe ma senior bachelor kama uwezi as ndoa...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Kuna zawadi ambayo mpenz wko akikuletea hautomsahau maishani?!! hata km mkiwa mbali utamkumbuka kupitia zawadi iyo!! Apart from love..? Kwa upande wangu mm ni cmple one saa(watch) coz...
1 Reactions
129 Replies
14K Views
Jamaa mmoja mkaazi wa Lamu amempa mkewe talaka baada ya kukasirishwa na maneno yaliyokuwa yameandikwa katika kanga aliyovaa mkewe. Jamaa alikuwa amesafiri kwa muda wa miezi 3, alishtuka...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Back
Top Bottom