Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Tuchukulie mmejuana kwa muda mrefu kidogo, labda tuseme kwa takriban miezi miwili hivi, lakini hamjawahi kuwa na mtoko, zaidi ya kukutana mara kwa mara katika mazingira yenu ya kazi. Je ni wapi...
3 Reactions
119 Replies
8K Views
na Sitta Tumma, Mwanza WAK ATI vilio, simanzi na huzuni jana vikighubika jiji la Mwanza wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoani hapa...
0 Reactions
74 Replies
7K Views
Mimi nina wachumba wawili na wote wananipenda na mimi nahisi nawapenda wote,nishaulini wana jf,nifunge pingu za maisha na yupi kati ya hawa wawili?
1 Reactions
89 Replies
10K Views
Kuna msemo katika Kiingereza kuwa kuzimu hakuna moto mkali kama mwanamke mwenye kuwaka moto (hell has no fury like woman scotched!) Kimsingi msemo huu unatuambia kuwa mapenzi ya mwanamke yakigeuka...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Hivi ni busara mwanaume anapomlazimisha mpenzi wake abadili namba baada ya kuanza uhusiano? Jamaa alikataliwa na mpenz wake akaamua kumchafua fb akatupia status "mm ni msichana vivian natafuta...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimecheka balaa...kuna ka Hilux pick up keupe kalikua mbele yangu kameandikwa hivyo kwa nyuma... maandishi meupe ndani ya mstari mwekundu kama hilo tangazo la airtel hapo juu. Nimetafakari sana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Amani iwe kwenu wadau!!!!! (Wakubwa zangu shikamooni japo mwaitikia kimya kimya) Leo bwana naleta MADA VERY SERIOUS!!! NAOMBENI NA NYIE USERIOUS WENU SABABU SOMEBODYS FUTURE HAPPINESS DEPENDS ON...
1 Reactions
84 Replies
7K Views
Sikumbuki kama jambo hili lilishajadilia,lakini hata kama tayari lilishajadiliwa nilitaka kujua na nina sababu.Ni kwamba tangu nizaliwe sijawahi kuona ndoa ya uke wenza ina amani baina ya hao wake...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Habarini wapendwa, ndugu zng ninawakati mgumu sn, naumia sn moyoni ila yote namwachia MUNGU. Nina miaka 30 nimeolewa na nina mtoto 1, namshukuru MUNGU kwani toka tuoane MUNGU amekua akitupa rizk...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Habarin,Wkt naolewa mume wang hy alikua anamiliki kitanda tu na alikua ni dreva nami nilikua sekretary wa kiwanda cha uchapishaji, kwakweli tumepitia mitihani mingi sn wkt mwngn tulikua tnalala...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Kama kawaida yangu ambavyo situlii mahali pamoja nchi hii ya thelathini kwa ukubwa duniani, katika safari zangu za hapa na pale nikatumbukia wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, moja kati ya mikoa...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa miaka 26,nimetokea kupendana na binti mmoja wa kinyarwanda,sasa nikaamua ni vizuri kujitambulisha kwa wazazi wake kwanza harafu nifanye mpango,upande wa kwetu wamjue pia,nikaona...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Je, inawezekana ukampenda mtu pasipo kumuona physicaly ila kwa kuongea tu kwenye simu hadi kutamani kuvunja amri ya sita? Mmeonana sasa for the first time, je mwanaume unaweza kuzama chumvini...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
takribani miezi 2 iliyopita niliingia hapa jamvini kuomba ushauri wenu, nanyi bila hiyana mlinishauri kadiri mlivyoona inafaa nashukuru sana kwni ushauri wenu niliuzingatia na mimi nikachanganya...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi kwanini mtu huwa haaminiki pale anapobadilika kutoka kuwenye tabia mbaya kwenda kwenye tabia njema? je inamaana mtu akishakuwa mkosa maisha/jamii haimpi nafasi ya kubadilika tena?
5 Reactions
50 Replies
3K Views
Ninaye shemeji ambaye anatutia aibu sana sisi kwenye ukoo wetu. Yeye hujifanya mtu wa heshima nyingi,ana cheo kikubwa, mali na kila kitu.ana mke na watoto na kila ambacho mtu angetamani akipate...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Ndio,ni mazuri sana,wanaume wengi hupenda sana kuya chezea na hata kunyonya, of course,nami nimo pia. Lakini,moja kati ya matatizo yanayo wapata wanawake wengi ni kansa ya maziwa. je,tuna usalama...
0 Reactions
30 Replies
10K Views
Eti kwa kuwa wewe umekua na umeshajitambua, unadhani kuna faida muhimu ya kulelewa au kulea jamii katika familia ya kizamani baba mama watoto na jamaa? nikimaanisha kuacha kulea wazee wetu kuzaa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
hv mtu akiomba kuhave sex na wewe ni kwamba anakupenda?anakutamani?anakukubali?unamvutia?,au anakuona easy goin?haswa boy akimuomba msichana ambaye sio galfrnd wake
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Wadau najua mko poa..na kwa wale mliopatwa na masahibu au mnaumwa au kuuguliwa poleni sana......... .:focus:Kila sehemu kuna haki ya 'faragha'..na hata kwa kulitambua hili utakuta katiba za nchi...
2 Reactions
55 Replies
3K Views
Back
Top Bottom