Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hali ya hewa mjini Dodoma imebadilika, wanachuo wa vyuo karibu vyote wamefungua na hivi sasa wamejaza guest house zote za hapa mjini, yani ni mwendo wa wawili wawili (Pairs) tu, eti wanadai kila...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
power to you...basi usikomoe na misupu ya pweza au karanga mbichi plus miogo mibichi kuchanganya na wine heheheh
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Naomba tuwe wakweli kabisa kwenye kujibu hili swali.
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Ninashangazwa sana na hii tabia.....Hivi kwa nini wanawake wanapoolewa wanabadilisha line za simu??? Kwa mfano Dada yangu alipoolewa kabadili, mademu wengi ninaowajua nikisikia wameolewa...
11 Reactions
42 Replies
4K Views
Ni maajabu ila ni simulizi la ukweli kabisa,Dada mmoja kafunga ndoa mwezi mmoja haujaisha,Mumewe yupo mbali kikazi,Na kabla ya hapo alikuwa na uhusiano na kibosile mmoja wa council.Sasa baada ya...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mimi ni mtu wa bara mambo ya pwani siwajui naomba kujua au ndi haya kwenye blog hii:
0 Reactions
4 Replies
4K Views
mimi ni kijana wa makamo ya kati mkazi wa jijini dareslaam kinachonileta katika jukwaa hili ni kutaka ushauri kutoka kwa wanajamii wenzangu.nina mpenzi ambaye hatuna muda mrefu sana katika mapenzi...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
:embarassed2:Nina mpenzi wangu wa kiume nampenda sana.ila nashindwa kumuelewa kabisa,ebu soma story hii baadae unipe ushauri wako wewe kama wewe. Mpenzi huyu nimekaa naye kimahusiano kwa...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
KWENU WENYE MAARIFA NA MSIO NA MAARIFA, KWA WALE WALIO KATALIWA NA WASICHANA WALIO TAKA KUWAOA NA WALE WALIO KUBALIWA. NAPENDA KUULIZA NI VITU GANI VYA KUZINGATIA UNAPO TAKA KUMWAMBIA MSICHANA...
0 Reactions
52 Replies
10K Views
Habari wana JF,mimi ni kijana wa miaka 21,kuna msichana 2lizoeana sana paka ikafikia akawa ananiletea visuprise vidogo vidogo,baada ya mda mrefu nilimwambia yamoyoni kwangu,hakunijibu,akasafiri...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nataraji kumuaga binti yangu natafakari maneno gani yanafaa siku hiyo bila ya kuwachosha na kukwepa boredom kwa wageni kwa hotuba ndefu.Naamini wana jamii mnaweza kunisaidia maneno ya hekima...
0 Reactions
16 Replies
19K Views
wewe ni mume wa mke na watoto 2. unaish nje ya nchi, mkeo yupo tanzania sasa mkeo kapata safari ya kikaz kwenda nje ya nchi je utakubali aende ama utakataa? nchi anayokwenda ni tofauti na uliyoko...
2 Reactions
91 Replies
6K Views
Habarini wangwana? Ni mara ya 1 mimi kukutana na mwanamke na hakika demu wangu game nilihisi ananizidi mautundu .kaniambia nimfanyie mambo mengii nikashindwa Naomba kufundishwa Jinsi ya kufanya...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
Kwa makabila mengine sina uhakika,lakini uchagani nina uhakika.Pia sijui kama jambo hili linafanyika hata leo.Ni kwamba,kwenye familia anapozaliwa kijana wa kiume,na jogoo akawa hapandi mtungi,au...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Home - Edward Sharpe and The Magnetic Zeros Acoustic Cover (Jorge & Alexa Narvaez) - YouTube
2 Reactions
45 Replies
4K Views
Kama mnakumbuka mwana JF mwenzetu KakaKiiza alimpoteza mkewe hapo mnamo Agosti 31, 2012 siku ya Ijumaa. Leo hii kutakuw ana mkesha wa Arobaini tangu msiba huo utkee na watu watakutana Tageta kwa...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Ngoja niyadadavue malalamiko ya wanawake kwanza hapa chini: 1. Wanawake wanalalamika kwamba wanaume sio waelewa wazuri, yaani huwa wanatafsiri mambo tofauti na isivyo. 2. Wanalalamika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
River Viiperi is a 21 year old Spanish model. He started dating Paris Hilton 31 last month after the two met at the New York Fashion Week. The two reportedly met through DT Model Management owner...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Wanawake ni watu wenye utambuzi wa hali ya juu sana kwenye swala zima la mapenzi. Unaweza kusema neno moja tu na kupitia neno hilo wakajua kwa usahihi kabisa kwamba wewe ni mtu wa aina gani. Kuna...
10 Reactions
24 Replies
44K Views
Hivi kwanini linapokuja swala la kuoana huwa hamjiamini?mnakimbia majukumu?hauamini kama mwanamke uliyenae ni sahihi wakati kila siku uko naye?au kuoa ni kuwa na pesa nyingi?kwanini hamjiamini...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom