Yapo mambo mengi ktk mahusiano,wapenzi huyafanya siri.Mojawapo ni ile hali ya mtu kumhitaji mwenzake ila akatumia neno au ishara ambayo wao wanaielewa na kuwafumba wengine.Mfano baadhi...
Mungu Baba,
najua mimi si mkamilifu kiasi cha kusogea mbele yako
najua sina utakatifu wa kuisogelea meza yako
lakini baba katika udhaifu wangu na wa wenzangu
twaja mbele yako tukiomba msaada wako...
Suala uaminifu limeelekezwa kwa wapenzi ktk ndoa au nje ya ndoa.Wapo watu walio nje ya uhusiana fulani.Wao kila kukicha wanapanga,wanabuni mbinu za kila aina ili ampate mke/mme au mchumba wa...
Hili limetokea sasa hivi naomba ushauri wako ili angalau maamuzi yangu yasiwe mabaya.
Mimi nina ndugu yangu amabaye ni mtoto wa Mama yangu mdogo yeye kwa sasa ni marehemu ambaye alijaliwa kuzaa...
"Here is the mess," the warder said when he shoved Michael Adams* into an overcrowded cell in Allandale Prison, near South Africa's Cape Town, 10 years ago. That first night, Adams was raped by...
Dah.. Hebu jaribu hii uone matokeo. Kaa siku tatu bila kumpigia simu rafiki yeyote au mpenzi wako uone utapata wangapi watakato piga, kutuma SMS au angalau kubeep... Nadhani hiki ni kipimo kizuri...
Hapa tujadili..... jamaa kamuaga mkewe kuwa anakwenda Mbeya kikazi, kumbe yuko hapa hapa anajirusha kwa kula bata tena na mke wa mtu na akafumaniwa kupewa kipigo cha mbwa mwizi na kudhaniwa kuwa...
Hali zenu wana JF, imenibidi nitumie jukwaa hili ili kuweza kupata ushauri wa busara na hekima. Mimi nimekua na mahusiano na msichana mmoja hivi kwa takribani miaka 6 hivi na hatimaye mwanzoni mwa...
Wanaume na wanawake hudanganya, hilo halina ubishi, lakini sidhani kama kuna sababu iliyo nzuri katika kuelezea jambo hilo, kwamba kwa nini wanaume na wanawake hudanganya katika mapenzi...
Usemi wenyewe unasema 'Dont judge the book by its cover'..actually unaweza sometimes kuwa una maana iliyokusudiwa!..but believe me the viceversa might also be true..najua mtabisha!!..Any way ni...
Ameoa mwezi wa nne. sasa hivi mkewe ni mjamzito, wiki iliyopita mkewe amedai arudi nyumbani , jamaa akamgomea, lkn ikawa tifutifu hadi jamaa kamsafirisha, kufika nyumbani ...
Hapa wataalamu mtaniambia,Kwamba kupiga chafya wakati wa Tendo la ndo huongeza Raha na hamu ya kulitendea haki zote tendo hilo...
Kwa mwanamke chafya yake humshtua Mwanaume na kuna nguvu fulan...
- Mwanadamu anajipenda nafsi yake
- Mwanadamu anapompenda mwanadamu mwingine ni mwendelezo wa kujipenda nafsi yake mwenyewe
- Mwanadamu anapomwagwa, anapokataliwa ama anapoacha kupendwa na...
Bwana Awe Nanyi Wakuuu! (Wakubwa zangu shikamooni!!!!)
Watu kwa kujifanya mambo ya kiswahili/ kichawi HAMYAPENDI wakati mmevamia thread kwa kasi!!! Kweli padri au mchungaji akikufuma unasoma...
The terrifying world of child brides: Devastating images show girls young enough to be in pre-school who are married off to older men.
At age 11, Ghulam was married off to 40-year-old Jaiz in a...
Mwanadamu anapozaliwa anajikuta yupo duniani bila kujua ni jinsi gani aliingia ndani ya mama yake. Wapo watoto waliopatikana kwa njia baba kumbaka mama ake au mama kaleweshwa pombe kalegea kapanua...
UINGEREZA
Karen Cosford age 27,amehukumiwa kwenda lupango Miaka 3 baada ya kupatikana na hatia ya kufanya Mapenzi na mfungwa jina Brian McBRIDE anaetumikia kifungo kwa makosa mbali mbali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.