Ukilitazama neno MAADILI kwa kiingereza linatafsirika kama 'ethics' au 'morals'...kwa wenye kujua kiingereza vizuri mnaweza kunisaidia kueleza kinagaubaga nini maana ya morals or ethics.. na wale...
LEO NI WKEND WENGI WENU MTAENDA KUUZA SURA KWENYE VITI VIREFU
LAKINI KUNA JAMBO NAWAOMBENI HEBU ACHENI VICHENJI KIDOGO MNUNUE HATA DEODORANT
NI ELFU TATU TU HATA ELFU MBILI UNAPATA ILA...
Nimekuja hapa Dodoma sijapata mdada mwenyeji kabisa wa kunikaribisha mpaka nabakia mpwekee. Naomba mmoja ajitolee basi ani host leo jamani au mmebanwa kiasi hicho? kuni host si maanishi mnipatie...
Ndg wana Jf najitokeza leo,naombeni ushauri wenu,nimepata mchumba ambaye ni mzuri,mpole na tunaependana sana.LAKINI tatizo nina taarifa kutoka kwa wazee,kuwa kwao ni wachawi.NAOMBENI ushauri...
Wanaume wengi wanajitahidi sana kuficha mambo mengi yanayoendelea akilini mwao,yafuatayo ni baadhi tu:
1.Wanaume wanapenda wanapotoka kazini wawakute wake zao wapo nyumbani.Anapokuwa wa kwanza...
LITTLE JOHNNY DOING
EXAMS
Q: Why are condoms transparent?
A: So that sperms can at least enjoy the scene even if their entry is Restricted!
Q: What is the new AIDS awareness slogan?
A: Try...
Wandugu Salam
Kwa takribani miezi kadhaa niliweka tangazo natafuta mke humu JF nikapata response kibao ila katika chache mabazo zimetia fora ni ile iliyonikuta pale MARYLAND MWENGE ya kuvamiwa na...
Nilikuwa na mchumba niliyetarajia kufunga nae ndoa 2002 lakini ghafla alinikimbia.Sasa hivi ananipigia simu akitaka ni msamehe na turudiane na mimi sasa hivi nina mke na kila nikimwambia hanielewi...
NDUGU MARAFIKI
Inahuzunisha lakini kuna
fundisho kuu kwetu
sote. Nilipofika nyumbani usiku
ule, mke
wangualiponitay arishia chakula,
nilimshika
mkono na kumwambia, Kuna kitu
nataka...
Usafi ni tabia si uwezo kifedha!Hata kama mwonekano wako wa nje si kila kitu bado ni kitu muhimu sana katika mahusiano na mwenzi wako.
Binadamu hunagalia kwa nje na Mungu huangalia moyo (1Samweli...
Helllo My People
Huwa Nashangaa Sana Pale Napoona Wanaume Wanapotafuta Dada Poa Ili Wakajiridhisha na Tamaa Zao Za Kimwili.....hivi ina maana hawana mademu hata wa kusingiziwa ama hawajui...
Nimeshindwa mtu wa kuzungumza naye kuhusu hili sababu naona linanizidi kidogo na kuni overwhelm kwa namna flani sababu limenitokea mfululizo
Namjali kila moja kwa jinsi ninavyoweza na pia...
In our society marriage is the structure people use to create
a stable family unit. A man and woman marry with the
intention of staying together for life. Within that bond they
usually have...
Kuna watu linapokuja suala la mapenzi sijui wamerogwa....!!
Kuna mpangaji mwenzangu hapa yeye hachagui mwanamke wa kufanya naye mapenzi machangudoa, mahouse girl, mama lishe, wauza mboga...
Miaka 4 iliyopita nilikuwa naanza kusoma chuo fulani hivi hapa mjini
siku moja nilikuwa nimeingia admission nilikuwa na shida na kitambulisho changu cha chuo ,my teacher akaniona akashtuka...
MKAZI wa Mtaa wa Mpanda Hotel, Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, Nzego Vicent (33), amejiua kwa kujinyonga na kamba baada ya mkewe kumnyima tendo la ndoa.Tukio hilo limetokea hapo juzi majira ya saa...
A man in London walked into the produce section of his local supermarket and asked to buy half a head of cabbage.
The boy working in that department told him that they only sold whole heads of...
Habari za leo wana JF,
naombeni ushauri nifanyeje katika hili, maana linanikosesha raha kabisa.
ni Jmosi ya juzi baada ya mim kupata vihela vya tempo ninayopiga kiaina, ikabidi nitoke kidogo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.