Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wana JF, nina rafiki yangu anafanya kazi kwenye compuni ana mtoto mmoja na hawana mawasiliano na baba wa mtoto tangu mtoto azaliwe ana umri wa miaka miwali, Kuna mwanaume ofisini kwao...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Over and over, wanaume ndo wamekuwa wakifukuzia kitendo. Wadada ndo wepesi wa kusema muda bado, tusubiri kidogo na visingizio vyote. Can that change, at least wakati huu wa ukweli na uwazi?
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kama hawa Mawaziri vivuli amabao hutoa alternative budgets, plans etc nk......je kuna wanandoa ''kivuli'' (somebody anayesubiri ndoa ya mtu iharibike nae aingie ndani kuchukua nafasi)
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Jamani nataka kujua ntajuaje kama namridhisha mwenzangu? Maana sijawahi sikia mwanaume akilalamika kuwa hajafikishwa kileleni
0 Reactions
74 Replies
26K Views
Kuna bint nampenda sana lakini yeye haoneshi kunipenda mm je nifanyeje?
1 Reactions
46 Replies
8K Views
hivi kwanini siku hizi watu uanza mahusiano ktk umri mdogo ata kutenda tendo la ndoa.?tofauti na enzi za mababu zetu?
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Jamani kaka na vijanaume vyetu mbona mnazidi kuvaa hizo kata K mpaka mnatia kichefuchefu, nimeangalia sijui tamasha la fiesta huyo anaitwa Ney yaani yeye ni boxer kabisa na wala sio bukta, Linex...
3 Reactions
60 Replies
8K Views
Kwa shuga mamy liekuwa ready to take me am here.0717-927771
0 Reactions
53 Replies
10K Views
.........
24 Reactions
42 Replies
4K Views
Je! ni sababu gani husababisha mvulana au msichana kuwa na wapenzi wengi?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wajameni nina kaka yangu sasa yeye ana tatizo linamsumbua,Yeye alikuwa na uhusiano na binti mmoja wa kiarabu na akazaa naye mtoto wa kike ingawa katika mahusiano yao wao walipendana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu, hii ni hadithi niliyoisikia kwa muda mrefu. Sasa naiona kwenye youtube ikiwa imetokea huko Kenya. Ktk kuulizia nimeambiwa ni matukio ya mara kwa mara ktk kanda ya Tanga, Moshi, Arusha na...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wanawake watakuwa na haki ya kuwatongoza wanaume,kulipa mahali na hatimaye kuwaoa kama wanaume walivyokuwa wanafanya hapo Kabla.Haya ni maoni ya watu wengi wa Mkoa wa Ruvuma kuhusu katiba...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Wengi wetu tuna kwenda misikitini, makanisani, na hata jamatini na kwenye mahekalu au kutambika. Kote huko lugha ya upendo inazungumzwa sana. vitabu vyetu vitukufu vinatuambia kwamba ni jambo...
2 Reactions
18 Replies
6K Views
NAMPENDA SANA,NAE ANAFAHAMU ILO YANI MPAKA NATESEKA, :A S embarassed:NIFANYEJE?
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu ebu nisaidieni kuna umuhimu wowote kumwandalia chakule mumeo wakati housegirl/houseboy yupo na analipwa kwa ajili ya kuhakikisha kila kitu kuanzia usafi hadi chakula kinaenda vizuri?
0 Reactions
61 Replies
12K Views
I think is wrong.they have no chemistry,and wana emotional disconnection .
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Hivi unapotaka kuzaa na kidume au hata yule uliyezaa naye au yule ambaye ungependa kufunga naye pingu za milele au yule ambaye sasa hivi unatesa naye....lol..................sifa ipi huwa kwako...
7 Reactions
249 Replies
16K Views
kama we ni mwanaume bac kaz ya kwaoza unazofanya ni ya jembe hizi kazi ni kama kulima kusoma kupigana n.k ili mrad utoe jasho ya pili ni ile ya mfikicho inayomfanya mwanaume apate raha wewe je...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
habari zenu wadau... hivi ni athari zipi zilizopo wapenzi wanapokuwa na tofauti za kiuchumi/kifedha? tafakari mfano huu... kuna kijana na binti wanapendana sana, yaani saaaana. kijana ni mtu...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom