Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
ukitaka kutoa kitu kichwani kwako kabisa kabisa unafanyeje nimefikiria au nidrink?
0 Reactions
53 Replies
4K Views
Kuna kitu nimekiona (labda na wengine wamekiona pia) ukiangalia sana mijadala inayoendelea kuhusu suala la mahusiano na mapenzi hapa mingi inahusiana na aspects mbalimbali za kungonoka. Nani...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Heshima kwenu brothers and sisters, Nimetoka home asubuh dada yangu kanishangaza sana, anafanya kazi somewhere na huwa anaenda mwenyewe na usafir wake siku zote ..na tena toka amenunua hako...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
I'm back.
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Yaani Dunia ya Leo zawadi kanga nimemwambie amrudishie na ampige kibuti
1 Reactions
74 Replies
6K Views
Wanawake wengi huwa na matatizo na wanaume waangalia porn, hawapendi kuona wenzi wao kuwaona mademu bomba wakiwa uchi ktk tv au comp. Embu fikiria umemkuta mumeo kajificha anachek porno...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Wazo letu la sasa juu ya wanawake ni kuwa mtaalamu, mtemedeni, mrembo na maridadi. Hukaidi ukubwa na utawala wa mwanaume katika mambo yote ya maisha. Hushindana na mwanaume kwa ajili ya uhuru wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni miaka miwili sasa tangu nimfahamu huyu rafiki yangu, jirani yangu, mwenyeji wangu nk...... Tumeishi vizuri yeye na familia yangu nami pia vivyo hivyo........... tumekuwa kama ndugu Toka muda...
17 Reactions
232 Replies
13K Views
'Baby every time you touch me i become a hero...I'll make you safe no matter where you are' 'And bring you everything you ask for nothing is above me..I am shining like a candle in the dark when...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau wa Jf,tupeane maujuzi hapa,hivi ni kitu gani au dalili gani itakayokuwezezesha kugundua kuwa mkeo katembea nje ya ndoa?Yaani kakuaga anaenda kwenye shughuli zake na alipofika huko ka-du na...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Mimi ni mvulana mwenye umri miaka 35. Nimewahi kuwa na rafiki yangu wa kike ambaye tulipependana nae kwa miaka mitatu hivi. Lakini kilichonishangaza kwa muda wote huo, huyo girlfriend wangu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Somo langu la jumatatu ya leo ni kuwa machizi fanyeni kila namna muavoid hiki kitu cha kuwekwa kwenye FRIENDZONE otherwise mtakuwa hmpati kitu in otherwords be friendly but don't be her friend...i...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Mnaonaje hili swala la kunyoa vikwapa. Wewe unapenda demu anayenyoa makwapa yake? Na vipi wanaume kunyoa makwapa yao, ni ok?
0 Reactions
44 Replies
9K Views
Najiuliza hili swali sipati jibu kabisa,utasikia watu wanatafuta dawa na wengine kulalamika sana kuhusu hili tatizo,je wenzetu hawana hili la upungufu wa nguvu za kike?kama lipo inakuwaje na tiba...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Heshima mbele wana MMU, Nami nimeona sio mbaya kupitia huku walau mara moja. Hoja yenyewe ni kama ilivyo: Mke wangu ametubu kutembea nje ya ndoa nilipokuwa safarini. Hii ilikuwa baada ya kukuta...
1 Reactions
94 Replies
11K Views
Natumai wote tu wazima, Hii imemtokea rafiki yangu anayesaka ndoa kwa udi na uvumba,na akanisimulia jinsi alivyokutana na huyo mtu wake.baada ya kunielezea yote hayo nikaamua kuja kuwauliza na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ni rafiki yangu kipenzi, wamo ndoani mwaka wa 5 sasa, kuna cku frnd wetu mmoja alikuwa saloon, mdada wa saloon kama wanavyoeleweka tena wengi wao ni mapepe sana,akawa anapiga stori kwamba...
0 Reactions
80 Replies
8K Views
Leo nimeona tuzungumze kitu hiki ambacho nimekiona mahala.. Wanawake weengi wanasema au wanataka waume zao wa demand na kupewa 'mahitaji yoote' ya sex na burudani za kingono kutoka kwa wake...
10 Reactions
262 Replies
18K Views
Morning People Its Furahi Daaaaay!!!!! Hivi Unazijua Shortest Days In The Week.....Hahahaha Kama Huzijua Worry Out I am Going To Tell You Fella....Ziko Siku Mbili Ndani Ya Wiki Ambazo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nawashukuru kwa kunipokea katika JF. Naamini kabisa ni mahali pa watu kupata msaada wa kimawazo,n.k.Nilikuwa natafuta ni wapi pa kusemea ,naona labda nianzie hapa naombeni ushauri.. sijui...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Back
Top Bottom