Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mahusiano na mapenzi ni vitu viwili vinavyoshabihiana lakini havifanani ingawa vinabebana. Unaweza kumpenda mtu lakini usiwe na mahusiano naye na unaweza kuwa na mahusiano na mtu lakini usimpende...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Does your blood group type reveal your personality?According to a Japanese institute that does research on blood types, there are certain personality traits that seem to match up with certain...
0 Reactions
0 Replies
810 Views
Pengine si mbaya kukumbushana hizi kwa wale vijana wanaoendelea ku google jamani usiogope ama kukimbia katika mambo moja wapo unaweza kumpenda mwenzio kweli kweli na bahati mbaya akakupitia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau wa MMU naomba kushare na ninyi kuna kitu cha ajabu sana nimexperince weekend hii iliyopita, inshort nina rafiki yangu ambaye tumekuwa wote wakati wa childhood lakini kutokana na kila mtu...
5 Reactions
37 Replies
3K Views
Samahani wadau kama ipo humu basi mod waiunge,ujumbe nimeupata Facebook nimeona wadada pia wa JF waupate. Ukijaliwa kuwa Msichana mzuri na mrembo, usidhani utatetemesha kila Mwanaume, kuna...
5 Reactions
46 Replies
4K Views
Utakuta baba zima anajisifia eti ye ni kiboko kwa mabinti , akitongoza tu, binti hachomoi. Kwa taarifa yenu ni kuwa mwanamke hakukubali kwa ushawishi wako, ila kwa kuwa yeye mwenyewe ameamua
5 Reactions
32 Replies
4K Views
. . .haipendezi sana mume na mke mmepanda gari lenu asubuhi mnaenda ku kazi huku mmenunaaa njia nzima! Bora mmoja ashuke akatafute daladala apate kucheka na vituko vya wapiga debe! Hata mfungwa...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Sina uhakika kama binadamu wote tuna tabia kama hizi nilizo nazo mie, hii kuna dada mmoja mzuri kwa sura,na hata muonekano wake kwa ujumla,huyu dada mie sijawahi kabisa hata kusalimiana...
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Ndugu zangu nisaidieni ni dalili zipi ambazo zitakufanya ujue mwenzio anakutumia tu (hana mapenzi ya dhati na wewe?) Nimeuliza hivyo kwa kuwa naanza kumhisi mtu wangu ndivyo sivyo sasa sijui...
1 Reactions
388 Replies
70K Views
Nilikuwa ughaibuni kwa kipindi cha miezi 2 hivi na nililimiss Jukwaa la Mahusiano,mapenzi na urafiki. Niliporudi tu nilifukuzia huko lakini hamu yangu imekatishwa tamaa. Naona ile spidi ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Morning My People. Ilikua Asubuhi mishale ya Saa Moja Na Dakika Kama Arobaini, nikiwa nimetulia katika Mgahawa wa Yummy Yummy pale mitaa ya kati, oh i mean City Center, nikipata kifungua kinywa...
4 Reactions
52 Replies
9K Views
katikaka mahusiano mnaishi vzr 2 we na mwenza wako hadi inafika cku ya kupeleka kwenu posa inakubalika sasa inabakia cku ya kumpeka huyo mchumba wako nyumbani kwenu kwa ajili ya utambulisho...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimeyapitia haya maneno wee, nikajiuliza. Hini ni kweli wanawake wanahukumiwa zaidi kwa makosa yale yale wanayofanyawanamme sababu tu wao ni wanawake? I can see you’redisappointed By the way...
6 Reactions
35 Replies
3K Views
inakuaje mnapo anza mahusiano wewe na mpenzi wako hata wiki haijaisha anaanza kukuomba pesa na huyo anaye kuomba ni mwanaume nisaidien jaman
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Katumiwa ujumbe na afande; ameshindwa kujibu -- akubali au akatae. Ilikuwa ni mfululizo wa SMS SMS 1 - Unajua nakuthamini zaidi ya POSHO na MSHAHARA, bila wewe siwezi kuishi ni sawa na kukosa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
What's your Mood right now?? Be sincere here: 1.HAPPY 2.ANGRY 3.LONELY 4.HORNY 5.MISSING SOMEONE 6.BORED 7.BROKE 8.CONFUSED 9.IN LOVE 10.SLEEPY 12.OTHER(specify)
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini. Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia...
2 Reactions
46 Replies
4K Views
Dear Wewe, Yapata wiki ya tatu sasa nakuona ukiwa unatokea upande wa kaskazini wa pale ninapokuona kila siku asubuhi. Najua huenda hunijui lakini mie nakufahamu vyema kwani katika kipindi cha...
2 Reactions
122 Replies
9K Views
Jaman nilishawahi ambiwa kuwa katika ndoto unaweza waota watu mbali mbali lakini sio mpenzi wako, mie binafsi hili jambo linakaukweli fulani sijawah muota mpenzi wang. Pia wanasema ukimuota mpenzi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom